Mkuu si unajua hali ya uchumi saizi ngumu sana? huku kwa vijiji uapatikanaji wa chumvi umekuwa mgumu kaka hali ni mbaya... chumvi kibaba kimoja mia tano...
mi nahisi mama ake alimwambia afanya mpango wa kuongeza chumvi hapo..so hamna kichapo!! ukizingatia mkojo wa mtoto harufu yake sio kali kama ya mtu mzima... huo mchemsho uataenda tu kaka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.