OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 3,647
- 9,233
Pengine huenda ndio maana GAMOND hapend kumtumia huyu bwana mdogo tangu nimjue kila shuti analopiga huenda juu usawa wa paa la mkapa ila kiufundi namfananisha na chatu ambaye huwa anatabia ya kubana sehemu na kuvizia kitoweo kijisahau kisha kukivamia haraka na kukimezea huyu jamaa anakipaji cha kukaba na kupokonya mipira kwa haraka kama upepo