DuhNdio,yupo single tukupe koneksheni
Baba yake Akiwa mpiga picha ndo inamnyima haki ya kuwa Ded?
Nepotism inakuwa Kwa Kasi sana Tanzania.Ndio ni binti wa Ankal Michuzi...ni huyo mwenye joho kulia
Ni Binti yake ndioKwa anayejua!!!
Watt ambao sio wa vigogo wamefanya nn cha maana nchi hiiNepotism inakuwa Kwa Kasi sana Tanzania.
Ndio maana, nchi hii maendeleo hakuna, maana watu hawapewi nafasi kwasababu Wana uwezo wa kufanya kazi.
Wanawekwa kwasababu ni watoto wa vigogo wao.
DED kama huyo usitegemer atafanya chcochote Cha maana huko.
Nepotism inakuwa Kwa Kasi sana Tanzania.
Ndio maana, nchi hii maendeleo hakuna, maana watu hawapewi nafasi kwasababu Wana uwezo wa kufanya kazi.
Wanawekwa kwasababu ni watoto wa vigogo wao.
DED kama huyo usitegemer atafanya chcochGeita
Geita. Iko shirikisho mkuuNepotism inakuwa Kwa Kasi sana Tanzania.
Ndio maana, nchi hii maendeleo hakuna, maana watu hawapewi nafasi kwasababu Wana uwezo wa kufanya kazi.
Wanawekwa kwasababu ni watoto wa vigogo wao.
DED kama huyo usitegemer atafanya chcochote Cha maana huko.
Ndio ni Binti yake,kamaliza udom bila shaka mwaka 2015/16,hajawahi ku hustle huyo,katoka shule akatunukiwa ajira fasta!kwa jina la baba yake,Kwa anayejua!!!
This is tanzaniaNepotism inakuwa Kwa Kasi sana Tanzania.
Ndio maana, nchi hii maendeleo hakuna, maana watu hawapewi nafasi kwasababu Wana uwezo wa kufanya kazi.
Wanawekwa kwasababu ni watoto wa vigogo wao.
DED kama huyo usitegemer atafanya chcochote Cha maana huko.
Ni kuulize ww unae sema kwa kuwa huyo binti ni mtt wa kigg hana cha maana atakachokwenda kufanyaUna akili timamu?
Muajiri wake ndio anajuaKwahiyo ameshafanya ni I?