Huyu DED wa Geita TC, Zahra Michuzi ni Mtoto wa Issa Michuzi aliyekuwa Mpiga picha wa Ikulu?

Ndio ni binti wa Ankal Michuzi...ni huyo mwenye joho kulia

MMGM1187.jpg
 
Nepotism inakuwa Kwa Kasi sana Tanzania.

Ndio maana, nchi hii maendeleo hakuna, maana watu hawapewi nafasi kwasababu Wana uwezo wa kufanya kazi.

Wanawekwa kwasababu ni watoto wa vigogo wao.

DED kama huyo usitegemer atafanya chcochote Cha maana huko.
Watt ambao sio wa vigogo wamefanya nn cha maana nchi hii
Tupunguze chuki zisizo kuwa na msingi
 
Nepotism inakuwa Kwa Kasi sana Tanzania.

Ndio maana, nchi hii maendeleo hakuna, maana watu hawapewi nafasi kwasababu Wana uwezo wa kufanya kazi.

Wanawekwa kwasababu ni watoto wa vigogo wao.

DED kama huyo usitegemer atafanya chcochGeita

Nepotism inakuwa Kwa Kasi sana Tanzania.

Ndio maana, nchi hii maendeleo hakuna, maana watu hawapewi nafasi kwasababu Wana uwezo wa kufanya kazi.

Wanawekwa kwasababu ni watoto wa vigogo wao.

DED kama huyo usitegemer atafanya chcochote Cha maana huko.
Geita. Iko shirikisho mkuu
 
Back
Top Bottom