St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,638
- 4,522
Nakumbuka miaka ya nyuma niliwahi kuwa na mpenzi wangu ambaye mpaka leo nimeshindwa kumuelewa alikuwa akimaanisha nini.Kila siku alikuwa akifika kulala kwangu lazima aache nguo yake ya ndani aliyokuja nayo na yeye kuondoka bila vazi hilo.Mara ya kwanza na ya pili sikuona tatizo,lakini zilipofikia kumi na bado anaziacha nilishindwa kuelewa nikamuuliza,sikupata jibu lolote zaidi ya kicheko na kikafuatiwa na halohaloooo.Sasa ndugu zangu naomba msaada alikuwa anamaanisha nini huyu mwenzangu?