makandokando
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 299
- 20
ndio anahamia hivyo, imekula kwako hiyo
Hizo chupi anaacha safi au chafu??? :coffee::coffee:
Nilikuwa nahisi hivyo pia, PakaM kumbe upo!... ni kitambo..
du sio wote sikumbuki mara ya mwisho nimeenda lini kwa mpenzi wangu:coffee:
Ina maanaaaaa ..................................................
Nnao sana ila siamini vitanda vyao,vinanukanuka janaba hivi:sick:
Mh...!!! Nnao tena ......... ??? Wangapi ...!!!???
acha kurukaruka au ndio walewale vibogoyo wanaolilia mifupa:coffee:
Nimetamani kuingia ndani ya PC yangu nikidhani nitakukuta..............
ungenifanya nini:first:
Hii kali.. mi mwanamke lakini hapa sin jibu. Yaani anarudi bila chupi? na ameziacha mpaka kumi, duuu hata kama security warudi uchi? zote kumi? Mhh
mhhh kwani nyie mnaachaga nini mkienda kwa mademu zenu:sick:
Hii kali.. mi mwanamke lakini hapa sin jibu. Yaani anarudi bila chupi? na ameziacha mpaka kumi, duuu hata kama security warudi uchi? zote kumi? Mhh
una uhakika au kwa kuwa hatusemiNo, hamna kinachoachwa!
mhhh kwani nyie mnaachaga nini mkienda kwa mademu zenu:sick:
Mara mojamoja tunaachaga Mimba.........................