Huwa inamaanisha nini?

Hii kali.. mi mwanamke lakini hapa sin jibu. Yaani anarudi bila chupi? na ameziacha mpaka kumi, duuu hata kama security warudi uchi? zote kumi? Mhh

Hahahaaaaaaaa! Remmy usishangae watu wanambinu bwana!
 
Hii kali.. mi mwanamke lakini hapa sin jibu. Yaani anarudi bila chupi? na ameziacha mpaka kumi, duuu hata kama security warudi uchi? zote kumi? Mhh

Hilo joto na humidity hapo Dar kwani akina dada bado mnavaa chupi? Si mtakuwa mnasweat sana!
Mademu wote niliopata kuwa nao hapo Dar walikuwa hawavai chandani!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom