Huu upepo si mzuri kwa Spika Tulia. Je, unaweza kupita naye?

KARLO MWILAPWA

JF-Expert Member
Apr 10, 2019
2,590
4,603
Kuna mambo ukiyaangalia kwa undani sana Tena kwa jicho la tatu utagundua kuna kaupepo fulani kana mchanganyiko wa joto na baridi kakivuma upande wa kiti Cha Spika. Je, upepo huu una madhara kwake?

Mambo fulani fulani yanatoa picha ya vuguvugu la upepo huu. Kwanza, kitendo Cha Shabiby kusema kauli yenye kuashiria Jambo zito, nanukuu sehemu ya kauli yake "...hata wewe Spika ukileta siasa zako tutakuazimia". kwa wenye kuangalia mambo kwa jicho la tatu watagundua kauli hiyo imebeba kusudi na dhamira. Je, ni siasa zipi Spika anazifanya? Je, zipo kinyume na sera za CCM?

Jambo la pili, Punde tu baada ya kupokea ripoti ya CAG kamati kuu ilikaa na kutoa maazimio kwa Serikali kuchukua hatua za haraka kwa wote waliohusika na ubadhirifu. Spika ni mjumbe wa vikao vya kamati kuu na azimio hilo aliridhia. Kama mchakato wa kuchukua hatua ,unaanzia bungeni huku Spika amesema kwamba Ripoti itajadiliwa mwezi Novemba. Je, utekelezaji wa maazimio ya kamati kuu utakuwaje?

Jambo la tatu, wakati wa mjadala wa mambo ya ushoga , Spika aliagiza Serikali ifanye mabadiliko ya sheria. Kwa uelewa wangu mdogo, sioni kama spika ana mamlaka ya kuiagiza Serikali. Kwa sababu katika mchakato wa kubadili sheria , serikali hupeleka muswada bungeni na mwisho bunge huufanya muswada kuwa Sheria. Je, Spika ana hayo mamlaka?

Nne, kitendo cha Waziri Mkuu na Makamu wa Rais kwa nyakati tofauti wameweka mkazo wa kuchukua hatua kali kwa haraka kwa wahusika waliotajwa na ripoti ya CAG. Je, hiyo inaashiria nini?

Hapa ndipo akili ya ziada inatakiwa itumike katika kuona kilichopo katikati ya mstari. Nimalizie kwa kusema ,huu ni upepo mbaya sana kuelekea kwenye kiti Cha Spika. Je ,upepo utapita naye au utavuma na kutulia ?
 
Ila Tulia Ackson ni kichwa aise pamoja na yote. Sidhani kama aliongea hayo yote kwa kukurupuka. Naamini ni mtu msomi na anaijua nafasi yake. Ova
 
KUMWONDOA SPIKA AU NAIBU SPIKA MADARAKANI

Taarifa ya Hoja ya kumwondoa Spika Madarakani 158.

(1) Mbunge yeyote anayetaka kuwasilisha hoja ya kumwondoa Spika madarakani chini ya Ibara ya 84(7) (d) ya Katiba, atawasilisha taarifa ya maandishi ya kusudio hilo kwa Katibu akieleza sababu za kutaka kuleta hoja hiyo.

(2) Mara tu baada ya kupokea taarifa ya maandishi ya kusudio la kumwondoa Spika kwenye madaraka, Katibu ataipeleka taarifa hiyo kwenye Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kwa ajili ya kuijadili.

(3) Endapo Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge itaridhika kuwa zipo tuhuma mahsusi dhidi ya Spika zinazohusu uvunjaji wa masharti ya Ibara ya 84(7) (a), (b), (e), (f), (g) na (h) ya Katiba, Sheria au Kanuni zinazoongoza shughuli za Bunge, basi Kamati hiyo itaidhinisha kuwa hoja hiyo ipelekwe Bungeni ili iamuliwe.

(4) Naibu Spika, atakalia Kiti cha Spika wakati wa kujadili hoja ya kutaka kumwondoa Spika madarakani na Spika atakuwa na haki ya kujitetea wakati wa mjadala.

(5) Spika atakuwa ameondolewa kwenye madaraka endapo zitapigwa kura zisizopungua theluthi mbili ya idadi ya Wabunge wote za kuunga mkono hoja hiyo na uamuzi wa Bunge utafanywa kwa kuzingatia kura za siri.

(6) Spika anayetuhumiwa anaweza kujiuzulu nafasi yake kwa kutoa maelezo ya kujiuzulu kwake Bunge
 
KUMWONDOA SPIKA AU NAIBU SPIKA MADARAKANI

Taarifa ya Hoja ya kumwondoa Spika Madarakani 158.-

(1) Mbunge yeyote anayetaka kuwasilisha hoja ya kumwondoa Spika madarakani chini ya Ibara ya 84(7) (d) ya Katiba, atawasilisha taarifa ya maandishi ya kusudio hilo kwa Katibu akieleza sababu za kutaka kuleta hoja hiyo.


(2) Mara tu baada ya kupokea taarifa ya maandishi ya kusudio la kumwondoa Spika kwenye madaraka, Katibu ataipeleka taarifa hiyo kwenye Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kwa ajili ya kuijadili.

(3) Endapo Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge itaridhika kuwa zipo tuhuma mahsusi dhidi ya Spika zinazohusu uvunjaji wa masharti ya Ibara ya 84(7) (a), (b), (e), (f), (g) na (h) ya Katiba, Sheria au Kanuni zinazoongoza shughuli za Bunge, basi Kamati hiyo itaidhinisha kuwa hoja hiyo ipelekwe Bungeni ili iamuliwe.


(4) Naibu Spika, atakalia Kiti cha Spika wakati wa kujadili hoja ya kutaka kumwondoa Spika madarakani na Spika atakuwa na haki ya kujitetea wakati wa mjadala.


(5) Spika atakuwa ameondolewa kwenye madaraka endapo zitapigwa kura zisizopungua theluthi mbili ya idadi ya Wabunge wote za kuunga mkono hoja hiyo na uamuzi wa Bunge utafanywa kwa kuzingatia kura za siri.

(6) Spika anayetuhumiwa anaweza kujiuzulu nafasi yake kwa kutoa maelezo ya kujiuzulu kwake Bunge
Kwa mantiki hio tulia bado yupo sana
 
Spika yupo sahihi na pia Rais Dkt Samia yupo sahihi. Ripoti ya CAG huwa ni maoni/mashaka na siyo verdict ya kumhukumu mtu. Tulieni mpaka mchakato wa wajibu hoja upite ije hiyo fina ingawa hata hiyo ili kuthibitisha ni wizi ni lazima forensic audit ifanyike.
 
KUMWONDOA SPIKA AU NAIBU SPIKA MADARAKANI

Taarifa ya Hoja ya kumwondoa Spika Madarakani 158.-

(1) Mbunge yeyote anayetaka kuwasilisha hoja ya kumwondoa Spika madarakani chini ya Ibara ya 84(7) (d) ya Katiba, atawasilisha taarifa ya maandishi ya kusudio hilo kwa Katibu akieleza sababu za kutaka kuleta hoja hiyo.


(2) Mara tu baada ya kupokea taarifa ya maandishi ya kusudio la kumwondoa Spika kwenye madaraka, Katibu ataipeleka taarifa hiyo kwenye Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kwa ajili ya kuijadili.

(3) Endapo Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge itaridhika kuwa zipo tuhuma mahsusi dhidi ya Spika zinazohusu uvunjaji wa masharti ya Ibara ya 84(7) (a), (b), (e), (f), (g) na (h) ya Katiba, Sheria au Kanuni zinazoongoza shughuli za Bunge, basi Kamati hiyo itaidhinisha kuwa hoja hiyo ipelekwe Bungeni ili iamuliwe.


(4) Naibu Spika, atakalia Kiti cha Spika wakati wa kujadili hoja ya kutaka kumwondoa Spika madarakani na Spika atakuwa na haki ya kujitetea wakati wa mjadala.


(5) Spika atakuwa ameondolewa kwenye madaraka endapo zitapigwa kura zisizopungua theluthi mbili ya idadi ya Wabunge wote za kuunga mkono hoja hiyo na uamuzi wa Bunge utafanywa kwa kuzingatia kura za siri.

(6) Spika anayetuhumiwa anaweza kujiuzulu nafasi yake kwa kutoa maelezo ya kujiuzulu kwake Bunge
Kumekuchaaaa !!
 
Kuna mambo ukiyaangalia kwa undani sana Tena kwa jicho la tatu utagundua kuna kaupepo fulani kana mchanganyiko wa joto na baridi kakivuma upande wa kiti Cha Spika. Je, upepo huu una madhara kwake?

Mambo fulani fulani yanatoa picha ya vuguvugu la upepo huu. Kwanza, kitendo Cha Shabiby kusema kauli yenye kuashiria Jambo zito, nanukuu sehemu ya kauli yake "...hata wewe Spika ukileta siasa zako tutakuazimia". kwa wenye kuangalia mambo kwa jicho la tatu watagundua kauli hiyo imebeba kusudi na dhamira. Je, ni siasa zipi Spika anazifanya? Je, zipo kinyume na sera za CCM?

Jambo la pili, Punde tu baada ya kupokea ripoti ya CAG kamati kuu ilikaa na kutoa maazimio kwa Serikali kuchukua hatua za haraka kwa wote waliohusika na ubadhirifu. Spika ni mjumbe wa vikao vya kamati kuu na azimio hilo aliridhia. Kama mchakato wa kuchukua hatua ,unaanzia bungeni huku Spika amesema kwamba Ripoti itajadiliwa mwezi Novemba. Je, utekelezaji wa maazimio ya kamati kuu utakuwaje?

Jambo la tatu, wakati wa mjadala wa mambo ya ushoga , Spika aliagiza Serikali ifanye mabadiliko ya sheria. Kwa uelewa wangu mdogo, sioni kama spika ana mamlaka ya kuiagiza Serikali. Kwa sababu katika mchakato wa kubadili sheria , serikali hupeleka muswada bungeni na mwisho bunge huufanya muswada kuwa Sheria. Je, Spika ana hayo mamlaka?

Nne, kitendo Cha Waziri Mkuu na Makamu wa Rais kwa nyakati tofauti wameweka mkazo wa kuchukua hatua kali kwa haraka kwa wahusika waliotajwa na ripoti ya CAG. Je, hiyo inaashiria nini?

Hapa ndipo akili ya ziada inatakiwa itumike katika kuona kilichopo katikati ya mstari. Nimalizie kwa kusema ,huu ni upepo mbaya sana kuelekea kwenye kiti Cha Spika. Je ,upepo utapita naye au utavuma na kutulia ?
Nyie genge la wasukuma mtahangaika sana mpaka mjinyee hadharani hamtafanikiwa hata kwa nukta moja. wakati wa marehemu wenu ripoti za CAG ZILIWAHI KUJADILIWA? Mlikuwa wapi wakati ule? Nje ya nchi? Washamba msio na haya mliojaa ubinafsi. Hii nchi si yenu wenyewe hamjatosheka na upendeleo wote mliofanyiwa?
 
Nani atakaewajibishwa?
labda baraza zima lipigwe chini na sio Speaker tu

Tuna mambo mabaya sana na tabia chafu ambayo watu wanashindwa kuiacha
Kubebana
 
KUMWONDOA SPIKA AU NAIBU SPIKA MADARAKANI

Taarifa ya Hoja ya kumwondoa Spika Madarakani 158.-

(1) Mbunge yeyote anayetaka kuwasilisha hoja ya kumwondoa Spika madarakani chini ya Ibara ya 84(7) (d) ya Katiba, atawasilisha taarifa ya maandishi ya kusudio hilo kwa Katibu akieleza sababu za kutaka kuleta hoja hiyo.


(2) Mara tu baada ya kupokea taarifa ya maandishi ya kusudio la kumwondoa Spika kwenye madaraka, Katibu ataipeleka taarifa hiyo kwenye Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kwa ajili ya kuijadili.

(3) Endapo Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge itaridhika kuwa zipo tuhuma mahsusi dhidi ya Spika zinazohusu uvunjaji wa masharti ya Ibara ya 84(7) (a), (b), (e), (f), (g) na (h) ya Katiba, Sheria au Kanuni zinazoongoza shughuli za Bunge, basi Kamati hiyo itaidhinisha kuwa hoja hiyo ipelekwe Bungeni ili iamuliwe.


(4) Naibu Spika, atakalia Kiti cha Spika wakati wa kujadili hoja ya kutaka kumwondoa Spika madarakani na Spika atakuwa na haki ya kujitetea wakati wa mjadala.


(5) Spika atakuwa ameondolewa kwenye madaraka endapo zitapigwa kura zisizopungua theluthi mbili ya idadi ya Wabunge wote za kuunga mkono hoja hiyo na uamuzi wa Bunge utafanywa kwa kuzingatia kura za siri.

(6) Spika anayetuhumiwa anaweza kujiuzulu nafasi yake kwa kutoa maelezo ya kujiuzulu kwake Bunge
Asante sana kwa kuiweka hii..

Hata hivyo kisheria na kikatiba ni kweli iko hivi. Lakini kwa maslahi mapana ya siasa za ki - CCM za kulindana, kutosana na kuchokana, mtu aweza kuponyeshwa au akatoswa..

Rejea tukio la kutoswa kwa spika wa bunge lililopita Job Yustino Ndugai. Kwani alikuwa na kosa gani linaloangukia katika Ibara ya katiba 84 (7) a, b, d, e, f & h....?

Jibu ni hakukuwa na uvunjivu wa katiba wala sheria yoyote uliofanywa na Spika huyo..!!


Isipokuwa ni kwa kuwa ma - godfather wa nchi hii hawakuwa na shida ya kumtumia tena. Hakuwa anafaa kwa mipango yao tena. Wakasema hatufai huyu, atoswe..!!

Kwa "nia" hiyo ya "ma - godfather" wa nchi hii, mara nyingi huwa hakuna kusubiri mchakato wa kibunge kumwondoa bali aliambiwa aidha aondoke tu yeye mwenyewe kwa hiari yake au aondolewe kwa aibu ya kupigiwa kura ya kutokuwa na imani...

Hata Dr Tulia Ackson, ili aondoke inategemea uhusiano wake na hawa ma - godfather wa nchi hii..

Wabunge tu kama wabunge kwa mfumo wa utawala kisheria na kikatiba kama ulivyo sasa, hawana uwezo wa kumwondoa Spika wa bunge isipokuwa tu "establishment class" iamue hivyo..!
 
Kuna mambo ukiyaangalia kwa undani sana Tena kwa jicho la tatu utagundua kuna kaupepo fulani kana mchanganyiko wa joto na baridi kakivuma upande wa kiti Cha Spika. Je, upepo huu una madhara kwake?

Mambo fulani fulani yanatoa picha ya vuguvugu la upepo huu. Kwanza, kitendo Cha Shabiby kusema kauli yenye kuashiria Jambo zito, nanukuu sehemu ya kauli yake "...hata wewe Spika ukileta siasa zako tutakuazimia". kwa wenye kuangalia mambo kwa jicho la tatu watagundua kauli hiyo imebeba kusudi na dhamira. Je, ni siasa zipi Spika anazifanya? Je, zipo kinyume na sera za CCM?

Jambo la pili, Punde tu baada ya kupokea ripoti ya CAG kamati kuu ilikaa na kutoa maazimio kwa Serikali kuchukua hatua za haraka kwa wote waliohusika na ubadhirifu. Spika ni mjumbe wa vikao vya kamati kuu na azimio hilo aliridhia. Kama mchakato wa kuchukua hatua ,unaanzia bungeni huku Spika amesema kwamba Ripoti itajadiliwa mwezi Novemba. Je, utekelezaji wa maazimio ya kamati kuu utakuwaje?

Jambo la tatu, wakati wa mjadala wa mambo ya ushoga , Spika aliagiza Serikali ifanye mabadiliko ya sheria. Kwa uelewa wangu mdogo, sioni kama spika ana mamlaka ya kuiagiza Serikali. Kwa sababu katika mchakato wa kubadili sheria , serikali hupeleka muswada bungeni na mwisho bunge huufanya muswada kuwa Sheria. Je, Spika ana hayo mamlaka?

Nne, kitendo Cha Waziri Mkuu na Makamu wa Rais kwa nyakati tofauti wameweka mkazo wa kuchukua hatua kali kwa haraka kwa wahusika waliotajwa na ripoti ya CAG. Je, hiyo inaashiria nini?

Hapa ndipo akili ya ziada inatakiwa itumike katika kuona kilichopo katikati ya mstari. Nimalizie kwa kusema ,huu ni upepo mbaya sana kuelekea kwenye kiti Cha Spika. Je ,upepo utapita naye au utavuma na kutulia ?
Hua mnawaza nini mnapoandika mambo makubwa kama haya? Unadhani kwa wabunge waliopo jambo kama hilo linawezekana?
 
KUMWONDOA SPIKA AU NAIBU SPIKA MADARAKANI

Taarifa ya Hoja ya kumwondoa Spika Madarakani 158.

(1) Mbunge yeyote anayetaka kuwasilisha hoja ya kumwondoa Spika madarakani chini ya Ibara ya 84(7) (d) ya Katiba, atawasilisha taarifa ya maandishi ya kusudio hilo kwa Katibu akieleza sababu za kutaka kuleta hoja hiyo.

(2) Mara tu baada ya kupokea taarifa ya maandishi ya kusudio la kumwondoa Spika kwenye madaraka, Katibu ataipeleka taarifa hiyo kwenye Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kwa ajili ya kuijadili.

(3) Endapo Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge itaridhika kuwa zipo tuhuma mahsusi dhidi ya Spika zinazohusu uvunjaji wa masharti ya Ibara ya 84(7) (a), (b), (e), (f), (g) na (h) ya Katiba, Sheria au Kanuni zinazoongoza shughuli za Bunge, basi Kamati hiyo itaidhinisha kuwa hoja hiyo ipelekwe Bungeni ili iamuliwe.

(4) Naibu Spika, atakalia Kiti cha Spika wakati wa kujadili hoja ya kutaka kumwondoa Spika madarakani na Spika atakuwa na haki ya kujitetea wakati wa mjadala.

(5) Spika atakuwa ameondolewa kwenye madaraka endapo zitapigwa kura zisizopungua theluthi mbili ya idadi ya Wabunge wote za kuunga mkono hoja hiyo na uamuzi wa Bunge utafanywa kwa kuzingatia kura za siri.

(6) Spika anayetuhumiwa anaweza kujiuzulu nafasi yake kwa kutoa maelezo ya kujiuzulu kwake Bunge
Hivi ni kwanini Katibu wa Bunge anateuliwa na Rais ambaye ni Mkuu wa Mwimili mwingine?
 
KUMWONDOA SPIKA AU NAIBU SPIKA MADARAKANI

Taarifa ya Hoja ya kumwondoa Spika Madarakani 158.

(1) Mbunge yeyote anayetaka kuwasilisha hoja ya kumwondoa Spika madarakani chini ya Ibara ya 84(7) (d) ya Katiba, atawasilisha taarifa ya maandishi ya kusudio hilo kwa Katibu akieleza sababu za kutaka kuleta hoja hiyo.

(2) Mara tu baada ya kupokea taarifa ya maandishi ya kusudio la kumwondoa Spika kwenye madaraka, Katibu ataipeleka taarifa hiyo kwenye Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kwa ajili ya kuijadili.

(3) Endapo Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge itaridhika kuwa zipo tuhuma mahsusi dhidi ya Spika zinazohusu uvunjaji wa masharti ya Ibara ya 84(7) (a), (b), (e), (f), (g) na (h) ya Katiba, Sheria au Kanuni zinazoongoza shughuli za Bunge, basi Kamati hiyo itaidhinisha kuwa hoja hiyo ipelekwe Bungeni ili iamuliwe.

(4) Naibu Spika, atakalia Kiti cha Spika wakati wa kujadili hoja ya kutaka kumwondoa Spika madarakani na Spika atakuwa na haki ya kujitetea wakati wa mjadala.

(5) Spika atakuwa ameondolewa kwenye madaraka endapo zitapigwa kura zisizopungua theluthi mbili ya idadi ya Wabunge wote za kuunga mkono hoja hiyo na uamuzi wa Bunge utafanywa kwa kuzingatia kura za siri.

(6) Spika anayetuhumiwa anaweza kujiuzulu nafasi yake kwa kutoa maelezo ya kujiuzulu kwake Bunge
Sheria nzuri ipo wazi ila inahitaji watumishi weledi vinginevyo tutabaki pale pale
 
Kuna mambo ukiyaangalia kwa undani sana Tena kwa jicho la tatu utagundua kuna kaupepo fulani kana mchanganyiko wa joto na baridi kakivuma upande wa kiti Cha Spika. Je, upepo huu una madhara kwake?

Mambo fulani fulani yanatoa picha ya vuguvugu la upepo huu. Kwanza, kitendo Cha Shabiby kusema kauli yenye kuashiria Jambo zito, nanukuu sehemu ya kauli yake "...hata wewe Spika ukileta siasa zako tutakuazimia". kwa wenye kuangalia mambo kwa jicho la tatu watagundua kauli hiyo imebeba kusudi na dhamira. Je, ni siasa zipi Spika anazifanya? Je, zipo kinyume na sera za CCM?

Jambo la pili, Punde tu baada ya kupokea ripoti ya CAG kamati kuu ilikaa na kutoa maazimio kwa Serikali kuchukua hatua za haraka kwa wote waliohusika na ubadhirifu. Spika ni mjumbe wa vikao vya kamati kuu na azimio hilo aliridhia. Kama mchakato wa kuchukua hatua ,unaanzia bungeni huku Spika amesema kwamba Ripoti itajadiliwa mwezi Novemba. Je, utekelezaji wa maazimio ya kamati kuu utakuwaje?

Jambo la tatu, wakati wa mjadala wa mambo ya ushoga , Spika aliagiza Serikali ifanye mabadiliko ya sheria. Kwa uelewa wangu mdogo, sioni kama spika ana mamlaka ya kuiagiza Serikali. Kwa sababu katika mchakato wa kubadili sheria , serikali hupeleka muswada bungeni na mwisho bunge huufanya muswada kuwa Sheria. Je, Spika ana hayo mamlaka?

Nne, kitendo cha Waziri Mkuu na Makamu wa Rais kwa nyakati tofauti wameweka mkazo wa kuchukua hatua kali kwa haraka kwa wahusika waliotajwa na ripoti ya CAG. Je, hiyo inaashiria nini?

Hapa ndipo akili ya ziada inatakiwa itumike katika kuona kilichopo katikati ya mstari. Nimalizie kwa kusema ,huu ni upepo mbaya sana kuelekea kwenye kiti Cha Spika. Je ,upepo utapita naye au utavuma na kutulia ?
Na wewe kumbe una jicho la tatu ?
 
Back
Top Bottom