Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,780
Kwa wenzetu wanaoitwa wamagharibi (wazungu) hii tamaduni ya mtu kutoka na ama Mke au girl friend wa rafiki yake wa karibu, ni kitu cha kawaida.
NOTE :- Kutoka huku simaanishi kufanyanae mapenzi laa!.
Kutoka huku kunahusisha kwende na mwanamke wa rafikie kunako maeneo ya burudani ambako huko watavinjari kwa kunywa, kudansi N.k.
Kinachofanyika ni mwenye mwanamke kumruhusu kwa ridhaa (kwa kua wanaminiana) yake mwenyewe mali zake zikavinjari na rafiki yake na baadae mwanamke anarudishwa! Mf. Mwanamke anaondoka na jamaa saa 12 jioni anarudishwa saa 5-6 usiku.
Kwa macho yangu nimeshaliona mara kadhaa.
Wadau hii maneno imekaa njema kweli ?
NOTE :- Kutoka huku simaanishi kufanyanae mapenzi laa!.
Kutoka huku kunahusisha kwende na mwanamke wa rafikie kunako maeneo ya burudani ambako huko watavinjari kwa kunywa, kudansi N.k.
Kinachofanyika ni mwenye mwanamke kumruhusu kwa ridhaa (kwa kua wanaminiana) yake mwenyewe mali zake zikavinjari na rafiki yake na baadae mwanamke anarudishwa! Mf. Mwanamke anaondoka na jamaa saa 12 jioni anarudishwa saa 5-6 usiku.
Kwa macho yangu nimeshaliona mara kadhaa.
Wadau hii maneno imekaa njema kweli ?