Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,599
babu DC zamani mtu ulikua unaogopa kama una mtoto wa kike ataharibikiwa kwa kupata mimba sasa hizi hofu imehamia ukiwa na mtoto wa kiume wazeena ndevu zao wanamuharibu,kweli ambasadors of christ wameimaba kweli
Sayari dunia uliumbwa wapendeza lakini sasa watupeleka wapi?....
Ni kweli Eversmilin Gal,
Kipindi fulani wakati naanza kuingia duniani, niliwahi kukorofishana na Mama yangu...alikuwa ananizuia kuchelewa kurudi nyumbani. Nikamuuliza kuwa, unaogopa kwamba nitakuletea mimba??
Sasa hivi, bora hata mimba....Kwa wazazi wenye boys (na hata girls)....ukipinga picha kuwa mtoto wako amegeuzwa jamvi la wageni kwa kuharibiwa mtaro wake wa maji taka...unatamani uondoko kwenye hii dunia ili uwaache peke yao watafute jinsi ya kupambana nayo wenyewe...It is very had to take!
Babu DC!!