Huu ni zaidi ya uvumilivu... BUT Wanaume mwisho wa Habari!

gfsonwin

JF-Expert Member
Apr 12, 2012
18,274
20,673
Habari za j3 wapendwa wangu,

Asbh hii naleta kisa hiki kama funzo kwetu na pia kuweza kueleweshana juu ya hali halisi za baadhi ya maisha ya ndoa. Ukweli ni mbaya sana but imenipa sura nyingine kabisa juu ya maisha haya. Tena hapa The Boss huwa anasemaga wanaume tunavumilia sana wanawake give yourself break and come to see this.

Ilikuwa siku a j2 ambayo maeneo meng ya Dar kulikuwa na sherehe za vipaimara. Siku hiyo dada mmoja say anaitwa Ziada alikuwa na mtoto wa dada yake ambaye alikuwa anapata kipaimara so akawa amealikwa kwenye sherehe hiyo. huyu dada kaolewa na bwana mmoja say anaitwa Juma. so Ziada akamwambia Juma juu ya sherehe hiyo na kiundugu wote wanawajibika kuhudhuria.

bwana Juma alilazimika kwanza kwenda kazini kwake ili atafute japo pesa ya zawadi ilihali mkewe atangulie kwenye eneo la tukio na akisha maliza kazi basi, bwana Juma angem-join mkewe kwenye sherehe. mambo yaikwenda as planned kiukweli na muda wa sherehe kuanza bwana Juma alikuja na rafiki yake mwingine wa kiume.

haya sherehe ikaendela huku watu wakiserebuka pasi na shaka, katika hali ya stori hivi shemejiye bwana juma wa kike akamwaabia shemeji mbona huyu rafiki yako hasomeki? mbona kama jamaa si riziki? Juma akamtetea kweli huku akiwaaamba kabisa achaneni na mambo ya watu bana nyie mmejuaje. utetezi ulipozidi basi ilibidi shemeji mtu pamoja na dada mtu (ziada) ambaye aliingilia mada wakae kimya kwa kukubali kushindwa kamba kijana wa watu si mfuasi wa camerun.

baada ya mida kusonga san bwana juma akamwambia ziada twende zetu nyumban, mke akamwambia bwana yanipasa nimsaidie dada kazi za hapa nyumban japo kuingiza viti ndani na kuosha vyombo ndipo nije.Basi bwana Juma ikabidi amchukue rafiki yake wa kiume waondoke with hope kwamba mkewe Juma atapanda hata pikipiki ili kurudi nyumban manake si mbali.

baada ya kazi mishale ya saa 4 Ziada akarudi kwake kufika akakuta taa za ndani zimewashwa na akigonga mlango hakuna anayekuja kuufungua, ikabidi azunguke dirishan manake aliamini mumewe kalala kwa ulevi so akimgonea dirirshan angeskia. uthibitisho wa kwamba kuna mtu ndani ani pamoja na redio iliyokuwa inaongea. Basi Ziada kwenda dirishan anaskia sauti za ajabu kutoka chumbani kwak kuendelea kuskiliza ni sauti ya mwanaume inalalamika kweli kuuskia utamuuuuuuuuuuuu wa mpera, kwa panic Ziada akapata kizunguzungu akajikaza hadi kwa jiran akakaa akasingizia anaumwa moyo unamuenda mbio so anataka apatiwe maji apumzike kwanza.

basi jiran akampatia maji ya kunywa, huku bibie akitokwa na jasho mwili mzima jiran akamwambia kuna tatizo bibie akajibu hapana ni presha tu inanisumbua. basi akakaaa pale mlangoni mwa jiran hadi baada ya muda kidogo, akanyanyuka kusogolea kwake akaskia maji ya bafuni yanamwagika akajua ndio wanaoga hawa basi akarudi kwa jiran akajikaza kisabuni pasi kusema kwa mtu hadi wakamaliza kabisa. kisha akaona mumewe anafungua mlango anatoka na mwanaume mwenzie yule yule waliyekuwa nae kwenye sherehe kumsindikiza, yeye mwanamke akanyunyuka kauingia ndani kwake, bila hata jiran kuagwa kufika chumban akakuta uchafua wa ajabu, but alichofanya alitoa shuka zake akakusanya na ule uchafu wote kisha akakaa pale kitandan akaanza kulia kwa uchungu sana.

baada ta dk kama 5 hivi mume akarudi kuingia tu ndani na kumkuta mkewe alipata mshtuko ina kuanza kusema hakya Mungu mke wangu sijafanya kitu. mkewe akamwambia sijasema umefanya akafunua ile shuka akamuuliza je huyu ni nani aliyefanya haya? mume hana la kujibu. zaid kuomba msamaha tu.

Lakini bana cha ajabu mke alisamehe kabisa, na yeye alisema hivi nimetumia nguvu zangu zote za ujana ili kutengeneza maisha haya sasa leo hii nikiondoka kazi yangu yote inakuwa ni sifuri? je nikiondoka watu wakijua eti mume alimfededa mtu watanichukuliaje? nilipokubali kuwa msiri wa mume wangu je nilitegemea nifiche siri gani?

Kiukweli hii habar ambayo ni ya kweli imetokea, ingawa majina nimeyabadili imeniumiza sana sana. nikasema wanawake tunavumilia mengi sana. enyi wanaume tuoneeni huruma jamani...........
 
Last edited by a moderator:
Aisee, ila amejuaje kama mumewe ndio kamDo jamaa, what if yeye ndio kaDoiwa?

mm wala sikuweza kumuuliza but labda sauti iliyokuwa inalalamika imemthibitishia. to me hivi kwel does the man love his wife? if yes why doing it at their own place? katika mazingira ambayo yanaweza kumdhalilisha mkewe?
 
Dah eh MUNGU tunusuru.
Sasa hii dah!! Huyu mume naye, sasa ndo nini kumletea mkewe chumbani kwao? tena kitanda chao?
Ama kweli dunia imekwisha. But nampongeza huyo mwanamke kusema ukweli maana yataka moyo.

aisee mimi nilimwambia kabisa dunian hakuna mwanamke kama wewe........ but kweli wanaume ni shetan anayewapeleka huko ama wanakwenda tu kwa utash wao?
 
mm wala sikuweza kumuuliza but labda sauti iliyokuwa inalalamika imemthibitishia. to me hivi kwel does the man love his wife? if yes why doing it at their own place? katika mazingira ambayo yanaweza kumdhalilisha mkewe?

Why doing it at all!
Sio tu at her place, sioni penzi hapo zaidi ya ushetwani. Nafikiri mwanamke anajidanganya kwamba kwakua mwanaume ndio alikuwa 'mfanyaji' hivyo uanaume wake uko secured; nina uhakika angefikiria kuwa mumewe ndio anafanywa huenda asingevumilia!

Investment my foot!
 
Why doing it at all!
Sio tu at her place, sioni penzi hapo zaidi ya ushetwani. Nafikiri mwanamke anajidanganya kwamba kwakua mwanaume ndio alikuwa 'mfanyaji' hivyo uanaume wake uko secured; nina uhakika angefikiria kuwa mumewe ndio anafanywa huenda asingevumilia!

Investment my foot!
Kaunga mimi ni mvumilivu but this one hapana...........makosa mengine bana yako ndani ya maamuzi ya mtu binafsi manake toka utoke nae huko ulijua unaenda kumfanyia nn, na ulipoambiwa bado ulimtetea sio hivo sasa umekuja nae ndani, ushetan huu acha nife na hiyo dhambi ya kutosamehe. siwez kuivumilia.
 
Last edited by a moderator:
Huwez tumikia mabwana wawil kwa wakati moja mke wake angeenda nae yasingetokea hayo

hahahahaa.........hivi wafikir kama wangeondoka wote halafubaada ya kufika home mwanaume akamwambia mkewe na mtoa mgeni kidogo aende kisha akaenda nae guest je asingeweza kum-do? ama je kitendo cha kudoiwa g/house na nyumban vinatofauti?
 
Ndio mwanaume asingekuwa firauni eeh?

nilichogundua my dear kuna wanaume ambao ni watesaji wa wanawake kwenye kila engo iwe hisia na hataa kimatendo. sasa hapa ona huyu bado anaona kosa ni la mwanamke jamani.
 
Why doing it at all!
Sio tu at her place, sioni penzi hapo zaidi ya ushetwani. Nafikiri mwanamke anajidanganya kwamba kwakua mwanaume ndio alikuwa 'mfanyaji' hivyo uanaume wake uko secured; nina uhakika angefikiria kuwa mumewe ndio anafanywa huenda asingevumilia!

Investment my foot!
Hah Da mkubwa Kaunga nilikuwa naisubiria hii inner reaction yako kusema ukweli hahahh eti investment my foot.

Unajua hili suala la uvumilivu linachangiwa na vitu vingi sana, elimu ya mvumiliaji, social background pamoja na hali ya uchumi. Kama gfsonwin alivyotueleza pesa ya zawadi ilikuwa hadi mume akafanye kazi ili aipate kwa siku hiyo, tunawezapima na kukisia hali ya kiuchumi ya bi Ziada. Sasa hapo aondoke aende wapi?
Pili kitendo cha yeye kushindwa kuropoka hata kwa jirani aliyemsetiri kwa glass ya maji ya kunywa ku'ishusha' presha yake kinatuonyesha jinsi alivyofundwa kikwao akafundika. Angekuwa hajafundwa angeropoka tena kwa kujifunga kibwebwe na matarumbeta mlangoni akisuburi kufumania live.

Hivyo ni baadhi tu ya vitu ambavyo vimewezakuchangia reaction ya Bi Ziada. Na pengine pia mambo ya kosa la kwanza maana si wanasema kosa moja haliachi mke/mume? Au inategemea na uziro wa kosa?? na je angemfuma na mwanamke mwenzie je? reaction ingekuwa sawa?

Pamoja na yote anastahili pongezi kwa moyo wa uvumilivu alio nao maana .................. yataka moyo
 
Last edited by a moderator:
makubwa!!mpe pole nyingi. inawezekana ziada aliolewa kama wajibu sio upendo, ninavyojua kama juma ni real gay then hiyo ndoa ni kuridhisha watu sio ya moyoni wake. ziada aongee na mumewe ili kujua ukweli. nitatoa comment zaidi nikipata more info on this.

p.s. hivi kipaimara ina wingi?
 
Mwalimu gfsonwin, hadisi hii kakufundisha nani? Alikuwambia inatufundisha nini,

Haya makofi kwa gfsonwin jamani.

Na huu ndio mwisho wa kipindi chetu cha cheichei shangazi. Tukutane wiki ijayo siku, muda na wakati kama huu.

Chei cheeeei shangazi
Tufurahi shangazi shangazi shangazi oh shangazi.
 
Last edited by a moderator:
Huyu Dada Ziada alifanya makosa kuishi na mume usiyemjua tabia km mpenda tigo, ingemsaidia hata kumtimua shoga pale kwenye sherehe
Halafu utaendaje bila mume kuselebuka kipaimara?
Sasa chagua moja Mume keshaonja
 
makubwa!!mpe pole nyingi. inawezekana ziada aliolewa kama wajibu sio upendo, ninavyojua kama juma ni real gay then hiyo ndoa ni kuridhisha watu sio ya moyoni wake. ziada aongee na mumewe ili kujua ukweli. nitatoa comment zaidi nikipata more info on this.

p.s. hivi kipaimara ina wingi?

Inawezekana pia hamu ya kutaka kujaribu ikawa imeamshwa na malumbano aloyaanzisha shemeji yake juu ya mgeni wake! Akaona atupiemo ndoano.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom