gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,274
- 20,673
- Thread starter
- #221
una bahati kweli..maana kila siku ukija na visa humu ni visa viavyoendana vya wanaume mabasha...unaukumbuka huu uzi https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/328526-kafedheheshwa-kisa-mke-wa-mpwawe.html
halafu huwa unasimuliwa na simulizi zako huwa zinaacha maswali mengi sana mfano:
1. huyo dada na mdogo wake walijuaje rfiki wa juma ni shoga?..nini viashiria walivyoviona usiku ule pale kwenye shrehe?
jibu jinsi alivokuwa ana pozi mbele za watu.
2.wakati wanamuliiza mume/shemeji huyo rafiki alikuwa wapi?
jibu:may be anacheza mziki, ama kakaa meza ya pembeni na hili ndilo jibu manake yawezekana kabisa huyu bwana juma alikaa meza ya wazazi na mgeni akakaa sehem ya wagen waalikwa.
3. ni kweli mume wa ziada alikuwa anafededwa au yeye ndo alikuwa anafededa?
jibu: hapa hatujui nani ndo alikuwa anarushwa maji but sauti iliyokuwa inalalamika sio ya mumewe ni ya huyo kijana m/ume mwingine
4. hao majirani baada ya kumpokea na kumpa maji na kukaa mlangoni kisha baadae akaondoka bila kuaga hawakushtikuka kumtafuta maana alikuwa anajisikia moyo kwenda mbio?
jibu: alipoondoka jiran alimtafuta na alipobiha hodi mume wa ziada akamwitikia basi aliona aendelee na kazi zake kama ujuavyo hapa mjini kila mtu na kazi zake