kokudo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2010
- 2,546
- 1,663
Kwanza niwasalimu nyoote mlio macho muda huu,pia nyinyi mliolala khabarini za asubuh! asante.
HEBU 2LIPITIE HILI -:MATATIZO KATIKA
UHUSIANO.
Hakuna papara wala hasira,matatizo katika uhusiano/mahusiano ni jambo la kawaida ambalo kiukweli unatakiwa kujiandaa kukabiliana na changamoto hizo.
Kubali tatizo,kisha tulia na panga jinsi ya kulimaliza kwa njia bora zitakazouacha uhusiano/mahusiano yako ktk khali nzuri.Kwanini ubadilishe wapenzi kila kukicha?Unatafuta nini?Upe ubongo wako nafasi ya kufikiri.
Maamuzi ya hasira au kukomoa mwisho wake huwa ni machozi,epuka machozi ambayo hayana 7bu.Siku zote,ukikubali kosa na kulipokea ni mwanzo mzuri wa kuelekea kwenye kutafuta njia za utatuzi.
HEBU 2LIPITIE HILI -:MATATIZO KATIKA
UHUSIANO.
Hakuna papara wala hasira,matatizo katika uhusiano/mahusiano ni jambo la kawaida ambalo kiukweli unatakiwa kujiandaa kukabiliana na changamoto hizo.
Kubali tatizo,kisha tulia na panga jinsi ya kulimaliza kwa njia bora zitakazouacha uhusiano/mahusiano yako ktk khali nzuri.Kwanini ubadilishe wapenzi kila kukicha?Unatafuta nini?Upe ubongo wako nafasi ya kufikiri.
Maamuzi ya hasira au kukomoa mwisho wake huwa ni machozi,epuka machozi ambayo hayana 7bu.Siku zote,ukikubali kosa na kulipokea ni mwanzo mzuri wa kuelekea kwenye kutafuta njia za utatuzi.