Speaker
JF-Expert Member
- Aug 12, 2010
- 6,324
- 2,238
Haya mabango nayo ona kila sehemu
1.Jk na kikongwe="anajali wazee"
VIPI WASTAAFU WA EAC?
2.Jk na watoto/pipi kwa mtoto="anajali watoto"
vipi kuwakosesha elimu kwa gharama za juu vyuoni na mikopo ya kizushi?
3.Jk na wachezaji="anapenda michezo"
TUMECHUKUA MEDALI NGAPI COMMON WEATH?
NA SABABU ZA KUSHINDWA KWAO NI KUKOSA MAANDALIZI MAANA HAWAKUA NA PESA ZA KUTOSHA
Mimi kila ntakapo mwona Jk na bibi yangu yupo ntamshauri aondoke......maana kila msaada anaotoa ana maanisha kumtimia mnyonge huyo katika kampeni
Toa msaada nenda zako Mungu atakulipa ila kwa staili hiiiiiiiiiiiiiiiii
1.Jk na kikongwe="anajali wazee"
VIPI WASTAAFU WA EAC?
2.Jk na watoto/pipi kwa mtoto="anajali watoto"
vipi kuwakosesha elimu kwa gharama za juu vyuoni na mikopo ya kizushi?
3.Jk na wachezaji="anapenda michezo"
TUMECHUKUA MEDALI NGAPI COMMON WEATH?
NA SABABU ZA KUSHINDWA KWAO NI KUKOSA MAANDALIZI MAANA HAWAKUA NA PESA ZA KUTOSHA
Mimi kila ntakapo mwona Jk na bibi yangu yupo ntamshauri aondoke......maana kila msaada anaotoa ana maanisha kumtimia mnyonge huyo katika kampeni
Toa msaada nenda zako Mungu atakulipa ila kwa staili hiiiiiiiiiiiiiiiii