Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,599
Ni wazi sababu zipo na chache kati ya nyingi ni ubinafsi, ukatili wa asili, kutokujali, na tamaa. Lakini kwa vile sababu zipo hiyo haina maana ya kwamba ni sawa. Kukiondoa kiumbe ambacho wala hata hakiwezi kujitetea ni ukatili wa kupindukia.
Nitajisemea nafsi yangu mwenyewe. Sijawahi na sitakuja kushiriki, iwe moja kwa moja au la, kwa hiari yangu, kuondoa uhai wa binadamu ambaye hajazaliwa. Huo ndiyo msimamo wangu na ninajivunia kuwa hivyo.
Hivi mkuu tumefanya tafiti na hao wanaotoa mimba wakatueleza hivyo au tunawawekea maneno mdomoni!
Hongera tena kwa msimamo wako huo.....Binafsi sina ugomvi na hilo!