Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,227
- 113,583
Nakubaliana na wewe mkuu ila sasa katika mazingira hayo ya kutoa mimba huyo unborn anaweza kujitetea mwenyewe? Kama hawezi kujitetea mwenyewe basi anabaki katika himaya ya huyo alimbeba....Kinachoendelea sasa nadhani mbebaji ndiye anajua!
Sawa mzee, lakini huoni kwamba ni jukumu la waliomtengeneza kuzilinda haki zake huyo kiumbe?