First Born
JF-Expert Member
- Jul 11, 2011
- 5,310
- 1,473
Habari wanajamvi!!! Hasa wa mambo ya mapenzi(MMU)
.Huenda tukawa tunafana kimahisia mimi na wewe,
.huenda pia huu ndo ukweli halisi hata kwako,
.huenda ilishawahi kujadiliwa humu jamvini,
.huenda ukisoma thread hii utakereka,
But I don care......
vyovyote vile itakavyokuwa na iwe,
nawachukia sana wanawake na wanaume wenye tabia ya kusapoti suala la utoaji wa MIMBA,
I dont care either you are young, student or not ready to have a child, but
kwa nini ulifanya wakati unajua kabisa ikitokea bahati mbaya utaitoa?
we mwanaume kwa nini umshauri mpenzi wako, rafiki yako, jirani, mwanao akaitoe mimba?
we mwanamke kwa nini ufanye hivyo?
Watu hamuogopi dhambi?
Watu hatuna huruma na binadamu wenzetu wachanga?
kama ni kuzidiwa na mahisia si utumie njia mbadala badala ya kuingia nyama nyama?
Assume we ambae leo una mafanikio na unayafurahia kama ndo wangekuwa wamekutoa?
kwa nini watu wanakuwa wabishi?
Kweli huwa sipendi, na nimechukua maamuzi haya baada ya kusoma gazeti mmoja hivi lililokuwa limetoa taarifa ya Masupa star wa bongo akiwemo Maimartha, Wema, Baby Madaha, Aunt Ezekiel ambao wote waliripotiwa kubeba ujauzito lakini mwisho wa siku hatuoni kitu,
Inaniboa sana na ninatamani ningekuwa na kibali cha kuwaangamiza niwapige wote kiberiti.
Wanajamvi kama familia mmoja hebu tujaribu kufikiri kiukubwa kuhusu suala hili.
toa ushauri na kero yako pamoja na mchango wako wa mawazo jamvini ili tukabiliana na hili suala linalolikumba jamii zetu,
asanteni
wenu
1stBorn
.Huenda tukawa tunafana kimahisia mimi na wewe,
.huenda pia huu ndo ukweli halisi hata kwako,
.huenda ilishawahi kujadiliwa humu jamvini,
.huenda ukisoma thread hii utakereka,
But I don care......
vyovyote vile itakavyokuwa na iwe,
nawachukia sana wanawake na wanaume wenye tabia ya kusapoti suala la utoaji wa MIMBA,
I dont care either you are young, student or not ready to have a child, but
kwa nini ulifanya wakati unajua kabisa ikitokea bahati mbaya utaitoa?
we mwanaume kwa nini umshauri mpenzi wako, rafiki yako, jirani, mwanao akaitoe mimba?
we mwanamke kwa nini ufanye hivyo?
Watu hamuogopi dhambi?
Watu hatuna huruma na binadamu wenzetu wachanga?
kama ni kuzidiwa na mahisia si utumie njia mbadala badala ya kuingia nyama nyama?
Assume we ambae leo una mafanikio na unayafurahia kama ndo wangekuwa wamekutoa?
kwa nini watu wanakuwa wabishi?
Kweli huwa sipendi, na nimechukua maamuzi haya baada ya kusoma gazeti mmoja hivi lililokuwa limetoa taarifa ya Masupa star wa bongo akiwemo Maimartha, Wema, Baby Madaha, Aunt Ezekiel ambao wote waliripotiwa kubeba ujauzito lakini mwisho wa siku hatuoni kitu,
Inaniboa sana na ninatamani ningekuwa na kibali cha kuwaangamiza niwapige wote kiberiti.
Wanajamvi kama familia mmoja hebu tujaribu kufikiri kiukubwa kuhusu suala hili.
toa ushauri na kero yako pamoja na mchango wako wa mawazo jamvini ili tukabiliana na hili suala linalolikumba jamii zetu,
asanteni
wenu
1stBorn