Bunge lililopitisha mkataba tar 25/4, lilikuwa la Tanganyika peke yao au lilihusisha wazanzibari? Sijaona sehemu spika wa Zenji akitajwa.
Mkuu hapo ilifungishwa ndoa kwa nguvu, si unaona!!!!
Bunge lililopitisha mkataba tar 25/4, lilikuwa la Tanganyika peke yao au lilihusisha wazanzibari? Sijaona sehemu spika wa Zenji akitajwa.
Wajemeni mbona hayo mambo11 mi siyaoni,,,kah!!! mweee!
Mi sijaelewa kitu hapo.Mkataba gani huu? huyu mleta uzi amequote kwenye kitabu au ndiyo mkataba wenyewe maana hakuna hata sahihi za walioingia mkataba halafu anatuambia ndiyo mkataba wenyewe.Je ni kweli uliandikwa kwa kiswahili?maana wabongo tuna kasumba ingawa vitu ni vyetu wenyewe lakini tunaandika kwa lugha za kigeni.Huu siyo mkataba bali amechukua maneno kutoka katika kitabu na kuita ndiyo mkataba.
Duuuh hivi ulitaka mpaka iandikwe 1,2,3 au a,b,c huzioni ndugu? Unaniangusha mkuu!Wajemeni mbona hayo mambo11 mi siyaoni,,,kah!!! mweee!
Ndio maana wanakataa tusiujadili........!
Kwa kuwa una mapungufu mengi.
Bunge lililopitisha mkataba tar 25/4, lilikuwa la Tanganyika peke yao au lilihusisha wazanzibari? Sijaona sehemu spika wa Zenji akitajwa.
Ndiyo kwisha habari hapo? Duh, inabidi kutafakari kweli uhalali wa huu muungano aka "bomu la muungano"
Tatizo sio mkataba wenyewe, tatizo ni kwamba mkataba haukufwatwa tangu mwanzo wake. ulichokiweka hapa ni mkataba ambao ulijadiliwa na bunge la Tanganyika. mkataba ulitaka pia bunge la Zanziba liujadili na kuupitisha ndipo usainiwe kuwa sheria rasmi ya kuanzisha Jamhuri ya Tanganyika na Zanzibar. kwa upande wa Zanzibar hawakupata fursa hiyo kwani hata bunge halikuwepo. na pia hakuna ushahidi wowote kwamba bunge la Zanzibar liliwahi kukaa na kupitisha mkataba huo, hivyo hata kama mkataba ni mzuri kiasi gani - unakosa uhalali wa kisheria.
Ndio maana wanakataa tusiujadili........!
Kwa kuwa una mapungufu mengi.