Fredrick Sanga
JF-Expert Member
- Jan 27, 2011
- 3,153
- 697
bado hizi ni taarifa za kusikia pia.
Taarifa husikiwa, husomwa NK, unataka ipi. Ngojea muujiza hiyo article itakudondokea kutoka kwa kunguru. Wanzako walikwenda mpaka mahakamani wakashindwa kupata iliyosainiwa. Tuanza kuidai, ni haki yetu. sio nyara ya serikali.