Cassava
JF-Expert Member
- Oct 11, 2010
- 282
- 36
Wakuu heshima mbele, katika pita pita maeneo ya mjini, nimenunua gazeti la
daily news la leo tar 13. Katika gazeti hilo kuna tangazo la mnada wa magari ambayo nadhani waagizaji wameshindwa kuyatoa.
Wakuu naomba kujua je, bei zao huwa sawa na kuagiza JPN? ukinunua gari hapo unalipia ushuru wa gari upya? magari hayo huwa yanakaa hapo bandarin kwa siku ngapi hafu yanapigwa mnada?
Naomba mwenye uzoefu na minada hiyo anijulishe nahisi naweza pata ninayotaka badala ya kuagiza.
daily news la leo tar 13. Katika gazeti hilo kuna tangazo la mnada wa magari ambayo nadhani waagizaji wameshindwa kuyatoa.
Wakuu naomba kujua je, bei zao huwa sawa na kuagiza JPN? ukinunua gari hapo unalipia ushuru wa gari upya? magari hayo huwa yanakaa hapo bandarin kwa siku ngapi hafu yanapigwa mnada?
Naomba mwenye uzoefu na minada hiyo anijulishe nahisi naweza pata ninayotaka badala ya kuagiza.