Nijuavyo mimi, hii case itapelekwa very slow hadi karibu na uchaguzi wa mwaka 2015 then wakati huo itapelekwa spidi sana ili kuwapotezea muda makamanda wa CDM kwenye maandilizi ya uchaguzi mkuu 2015!!!
Source: Secret cables za Magamba
Source: Secret cables za Magamba
Kesi hata haijaanza kusikilizwa,unazungumzia hukumu? ngoma bado mbichi sana!