Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,492
- 92,989
Huwa mkiingia kwenye thread mnaanzaga kusoma kuanzia page ya kwanza mpaka ya mwisho! au huwa mnarukia page ya mwisho tu?Jamani mwenzenu ndo kwanza napata nafasi,naomba kujua imekuwaje kuhusu kesi ya kina Dr Slaa na wenzake?