Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,536
- 8,624
Kenya wamezindua mradi mkubwa wa ujenzi wa mtandao wa reli ya umeme kuunganisha nairobi na vitongoji vya karibu na uwanja wa ndege ,mradi huu unakadiriwa kukamilika mwaka 2011.
Sambamba na hilo wametumia pesa walizopata kwa kuuza hoteli yao ya kifahari ya GRAND REGENY kwa serikali ya Libya kuanzishia ujenzi wa bandari mpya ya LAMU,hii inatarajiwa kuwa kubwa kuliko ya mombasa na tarari pesa za kumalizia mradi huu zimepatikana,MELI YA KWANZA ITATIA NANGA LAMU MWAAKA 2012.
Mradi wa bandari ya lamu unalenga soko la sudani kusini na sehemu ya kusini ya ethiopia...na pia reli zitajngwa kwenda huko sambamba.
Tanzania chini ya jk wameshindwa kuendeleza bandari ya kusini ya mtwara kulenga soko kubwa la kusini na ile ya TANGA kulenda soko la uganda na kaskazini ya tanzania kupitia musoma....pia pesa walizopata kwenye EPA au wanazodai kupata wameshindwa kuzitumia kwenye miradi inayopimika ...badala yake wanadai kuzitumia kwenye mradi wa kufikirika wa mbolea ambao wala hatutaweza kuupima wanananchi wa kawaida....ingekuwa busara kama wangejengea vitu vya kuonekana kama wenzao walivyofanya....
Sambamba na hilo wametumia pesa walizopata kwa kuuza hoteli yao ya kifahari ya GRAND REGENY kwa serikali ya Libya kuanzishia ujenzi wa bandari mpya ya LAMU,hii inatarajiwa kuwa kubwa kuliko ya mombasa na tarari pesa za kumalizia mradi huu zimepatikana,MELI YA KWANZA ITATIA NANGA LAMU MWAAKA 2012.
Mradi wa bandari ya lamu unalenga soko la sudani kusini na sehemu ya kusini ya ethiopia...na pia reli zitajngwa kwenda huko sambamba.
Tanzania chini ya jk wameshindwa kuendeleza bandari ya kusini ya mtwara kulenga soko kubwa la kusini na ile ya TANGA kulenda soko la uganda na kaskazini ya tanzania kupitia musoma....pia pesa walizopata kwenye EPA au wanazodai kupata wameshindwa kuzitumia kwenye miradi inayopimika ...badala yake wanadai kuzitumia kwenye mradi wa kufikirika wa mbolea ambao wala hatutaweza kuupima wanananchi wa kawaida....ingekuwa busara kama wangejengea vitu vya kuonekana kama wenzao walivyofanya....