Game theory umenifurahisha sana kwa mnyumbulisho wako
infact, nia tunayo na uwezo tunao lakini tatizo kubwa ni hawa kizazi cha rushwa, naamini pindi kizazi hiki cha sasa kitakapokuwa kimeshika madaraka mambo yatabadilika. Dalili ya mvua ni mawingu.hawa jamaa wanaendekeza sana ufisadi wakithamini familia zao zaidi kuliko jamii yao, wanashndwa kuelewa hali hii haitowasaidia hata wao pia siku za usoni mambo yatakapoharibika kama nchi zingine, angalia somalia hali ilivyo mbaya.
infact, nia tunayo na uwezo tunao lakini tatizo kubwa ni hawa kizazi cha rushwa, naamini pindi kizazi hiki cha sasa kitakapokuwa kimeshika madaraka mambo yatabadilika. Dalili ya mvua ni mawingu.hawa jamaa wanaendekeza sana ufisadi wakithamini familia zao zaidi kuliko jamii yao, wanashndwa kuelewa hali hii haitowasaidia hata wao pia siku za usoni mambo yatakapoharibika kama nchi zingine, angalia somalia hali ilivyo mbaya.