Huko ujaluoni ndani ni hatari, Uchawi umetawala vibaya mno

Eli Cohen

JF-Expert Member
Jun 19, 2023
1,311
4,018
Wakati mkoloni anaondoka mkoa wa Mara, jamii iliokuwa na mwanga wa elimu na usasa ilikuwa ni ya wajaluo

Lakini jamii hii haikuishi na kasi ya mwanga ilionesha hapo mapema, zaidi katika maeneo yao asili ya jamii yao inapoishi.

Simaanishi kuwa wajaluo hawana maendeleo kwa sasa ila yangekuwa kwa kasi na ukubwa mno kama kusingekuwa kuna uchawi na ushirikina mkali uliopo katika jamii zao.

Mitaa ya huko hakuna maendeleo ya maana kwa maana hawatakubali kuona umeinuka. Vijana hawarudi tena kuwekeza au kuonesha maendeleo yao kwa kuhofia uchawi utawaporomosha au kuwapoteza.

Inafikaga hata kipindi kwenye misiba ya wajaluo watu wa msiba ule na wanazengo waliopo hapo wanaombwa wasifanyie wageni juju ili waondoke kwa amani bila ya kurogwa.

Kwa mkoa wa Mara, vijiji vya kijaruo ni hatari sana kwa upande wa uchawi, hii sio kuabishana ila ukweli ndio huo.
 
Kwa wilaya ya Rorya vijiji kama utegi, Randa, Shirati, Kowaki ni hatari sana kwa uchawi sijajua miaka ya hivi karibuni
 
Bibi yetu alihama huko mwaka 1978 baada ya vijana wake wawili kurogwa hadi kufa kisa wasomi wamemaliza chuo hapo udsm wote walikua engineers, alianza mdogo alipomaliza chuo akapata kazi tanesco alipoenda likizo hakurudi, mkubwa alipoenda kwenye msiba tu aliporudi akapofuka na kuumwa hospitalini ikashindikana akarudishwa nyumbani akafariki, ss tulienda tu kumzika bibi na chakula tulikula ndani ya tent baada ya maziko tuligeuza siku hyo hyo tukaenda kulala Mwanza.wajaluo ni wachawi sana at the same time wengi wanajificha ktk kivuli cha dini wengi ni wasabato, mkoa was Mara atleast wakurya kidogo but the rest kama wajita, wazanaki ni balaa.
 
Kwa wilaya ya Rorya vijiji kama utegi, Randa, Shirati, Kowaki ni hatari sana kwa uchawi sijajua miaka ya hivi karibuni
Mambo yamebadilika mkuu.
Huko Shirati watu wanajenga na kufanya maendeleo.
Miaka ya 2000, nilishuhudia wasomi wengi wakifariki na watu wakisema uchawi ndiyo sababu japo sijawahi kupata namna ya kuthibitisha kwamba uchawi ndo ulikuwa chanzo, hasa ukizingatia kuwa karibia kila anayefariki watu husema ni uchawi.

Nina watu wangu wa karibu kabisa walifariki kwa magonjwa ya kawaida yaliyothibitika hospitali. Ila, bado watu walidai waliuawa kishirikina.
Uongo mtupu.
 
Mambo yamebadilika mkuu.
Huko Shirati watu wanajenga na kufanya maendeleo.
Miaka ya 2000, nilishuhudia wasomi wengi wakifariki na watu wakisema uchawi ndiyo sababu japo sijawahi kupata namna ya kuthibitisha kwamba uchawi ndo ulikuwa chanzo, hasa ukizingatia kuwa karibia kila anayefariki watu husema ni uchawi.

Nina watu wangu wa karibu kabisa walifariki kwa magonjwa ya kawaida yaliyothibitika hospitali. Ila, bado watu walidai waliuawa kishirikina.
Uongo mtupu.
Kama yamebadilika ni jambo la kumshukuru Mungu
 
Back
Top Bottom