MchunguZI
JF-Expert Member
- Jun 14, 2008
- 4,009
- 2,173
Wana jf, nakiri kwamba ktk uhai wangu wa kuisikia CCM na kuona mbwembwe zake ktk siasa nilidhani kweli kwamba hiki chama ni giant. Kumbe ni giant kama Mbuyu. Mizizi dhaifu kabisa.
Kwa wale staunch supporters wa CCM, hebu nisaidieni kumpata mtu mmoja tu anayeweza kuwa ni muhimu kutoa mchango ktk mjadala muhimu kama huu wa sasa, wa Katiba. Pale UD aliletwa Ndimala(?), completely out of touch except those old theories. Mara ya pili tena hapo Dar kwenye public hearing kaja Tambwe Hiza!
Naangalia uongozi mzima nashindwa kuona nani mwenye uwezo zaidi. Katibu mkuu, Makamba, out! Makamu mwenyekiti, Msekwa, out with solid, gray jerry! Mwenyekiti, No comment!
UVCCM nilidhani enzi hizi za wanafunzi zaidi ya laki moja elimu ya juu wangeweza kuwa na thinkers, kumbe wamejaza 'misheni tauni'.
Hata kama hawakubali, ukweli wa enzi hizi za .com, walitakiwa wavutie watu wenye elimu bora na ufahamu.
Kama huko juu hali iko hivyo, vipi hali za hao wajumbe wa chini? Halmashauri Kuu, na hata Mkutano mkuu? Inakuja 2015, hakika hawataweza kutuletea mtu wa maana.
Kwa wale staunch supporters wa CCM, hebu nisaidieni kumpata mtu mmoja tu anayeweza kuwa ni muhimu kutoa mchango ktk mjadala muhimu kama huu wa sasa, wa Katiba. Pale UD aliletwa Ndimala(?), completely out of touch except those old theories. Mara ya pili tena hapo Dar kwenye public hearing kaja Tambwe Hiza!
Naangalia uongozi mzima nashindwa kuona nani mwenye uwezo zaidi. Katibu mkuu, Makamba, out! Makamu mwenyekiti, Msekwa, out with solid, gray jerry! Mwenyekiti, No comment!
UVCCM nilidhani enzi hizi za wanafunzi zaidi ya laki moja elimu ya juu wangeweza kuwa na thinkers, kumbe wamejaza 'misheni tauni'.
Hata kama hawakubali, ukweli wa enzi hizi za .com, walitakiwa wavutie watu wenye elimu bora na ufahamu.
Kama huko juu hali iko hivyo, vipi hali za hao wajumbe wa chini? Halmashauri Kuu, na hata Mkutano mkuu? Inakuja 2015, hakika hawataweza kutuletea mtu wa maana.