ipi ni bora zaidi wadau nataka nikanunue moja wapo
Big IQ... Chief mkwawa alishasema hawezi kumshauri mtu anunue simu zenye MEDIATEK CHIP.
Maana hazina ubora na matatizo mengi
Na tecno ndo wapp kwenye chip hizo
zipo htc zenye mediatek pia
Ila Si kama Tecno sasa
Ma ant tecno mpo wengi? Kumbe.
Wewe kwanini waipenda Tecno na Kitu gani Kinakufanya Uifananishe au ushabikie watu wanaoifananisha na Samsung au HTC au LG
yap still itazidiwa display, build quality, na vyenginevyo
vp Huawei?Big IQ... Chief mkwawa alishasema hawezi kumshauri mtu anunue simu zenye MEDIATEK CHIP.
Maana hazina ubora na matatizo mengi
Na tecno ndo wapp kwenye chip hizo
Unazipondaga mediatek but nyingine nzuri sana...
Mimi nina Alcatel ya mediatec imekubali Ku upgrade OS
official au custom rom
official
taja jina tuprove
Usifuate mkumbo ndugu watu hapa kila mmoja atajaribu kuvutia kwake, fika dukani halafu chukua simu unayoona inakufaa, kamwe mi siwezi kuisifia tecno kwa sababu sijawahi kuitumia na wala siwezi kuiponda kwa sababu sijawahi kuitumia, mi najivunia simu yangu ya htc desire 601 kwa sababu haijawahi kuniletea tatizo lolote