PetCash usemalo wewe ni kweli sometimes waweza kupick outside the group but wengi hupendelea kupick from the group wakiassume kabisa kwamba it is quite possible kwa rafiki wa kawaida kudemonstrate tabia zake zote kwenye peergroup yake ukilinganisha na mtu unayemtokea in a special way. nafikir kabisa wewe waweza kunithibitishia hili kwamba uko wewe zaid when it comes to friends kuliko when it comes to your partner.Mwalimu gfsonwin, unatupeleka wenzio chaka. How do you pick from the group wakati ukiwa tu kwenye hilo group automatically feelings zako zinamuwakia mmojawapo hata kama sio the best kwenye group?
I have a friend ambaye hutoka lunch na rafiki zake wengi wa both sex. Anapendwa sana na mdada mmojawapo wa hili group na huyu dada ni mzuri, anajiheshimu sana(one of the best I have seen), ni msomi, honest, mpole na mtaratibu. Jamaa anampenda another girl ambaye ameshamtesa sana mpaka sasa hivi but hajitambui, mpaka tunamshangaa! Mi huwa namshauri wasi hang out pamoja labda itasaidia.
How do you guarantee dear madam, that if someone hangs out with many friends wont end up picking the wrong one?
.For simple analysis majeruhi wa mapenzi ni wengi kuliko majeruhi wa ajali zote zilizotokea from 1995 up to date!
(source mimi)
kweli kabisa u have ma like.
Nilivyo kuuliza nilikuwa nataka kujua kwani binadamu wengi huwanza kuwa manabii pindi wanapopatwa na matatizo naikajua wewe ni mmoja wao.duniani mtu huwez ukapitia kila mazingira ila waweza kujifunza aina zote za mazingira. so whether nimepita ama la haijalish ishu hapa ni do we real think this can help us to heal?
Nashuru nitafanya hivyo.nani huyo basi uwe unamquote ili ajue.
Time is best healer ,more take your space, grief alone if anecessary, cry out loud to take the pressure inside you and soon you will start a new fresh.
leo nalike tu na kukimbia....
.
ahsante sana kwa utafiti wako sasa majeruhi hawa wawezaje kupona? labda tumwite Mzee Mwanakijiji na Mtambuzi watusaidie manake yawezekana wengi humu ndani tu wahanga
PetCash usemalo wewe ni kweli sometimes waweza kupick outside the group but wengi hupendelea kupick from the group wakiassume kabisa kwamba it is quite possible kwa rafiki wa kawaida kudemonstrate tabia zake zote kwenye peergroup yake ukilinganisha na mtu unayemtokea in a special way. nafikir kabisa wewe waweza kunithibitishia hili kwamba uko wewe zaid when it comes to friends kuliko when it comes to your partner.
Nyie watu mbona mnachukulia mapenzi siriaz saana?!!! Mtakufa siku si zenu. Ukiona anakuzengua, scroll down kwenye simu yako, stop kwa jina la yule aliyekuwa anakutaka, piga, anseni kujirusha, maisha yanaendelea. Simple. Mnatuamini sana wanaume e? na tutawatenda hadi mchakae...
Wote wahanga tofauti ni aina ya majeraha: wengine madogo, wengine makubwa kiasi wengine donda ndugu. Mimi mara ya kwanza kujeruhiwa ilikuwa balaa na ndio the first lover duuuh nilihisi niko peke yangu niliyejeruhiwa lakini muda uliniponya, na sasa nikipiga jicho nyuma mpaka nacheka.
Lakini na mimi nilijeruhi tena haswaaa (lakini si kwa makusudi).......tena binti mwenyewe ndio alikuwa anaingia kwenye huu ulimwengu wa misukosuko.
I agree with you we are getting somewhere...Ila mi si pretend hata kidogo, I am me nikiwa na partner, I am me nikiwa na friends...Mi huwa naturaly nina demand kubwa sana toka kwa mwenzi wangu so huwa nataka nipendwe kama mimi coz I happen to believe I deserve it!
Its just that ukikaa sana na a lot of friends of opposite sex unaweza kuwa na 'crush' over someone ambaye hata hastahili...Na solution ni kukaa mbali naye(But once you are in hulijui tena hili)