How long to wait?...

habari ndiyo hiyo!!

Lakini ruksa kula na nduguyo nimesha kwandalia na kiti kabisa hiki hapa.
IMG_0436_1.jpg

Hiki kiti utakalia wewe tu maana ni wide load kitahimili uzito wako.
 
Mamushka mi nshakuwa Zuma tena? Hebu soma hapa chini anayeuliziwa. Yeye atakuwa nani sasa? MSWATI?

hahaa yaani kila wakati unammyang'anya tonge mdomoni mwenzio khaaa!!!

ngoja nikawaombee swala ya adhuhuri maana naona karibu mtaaply u-tarime kwa wakina cheusi!!!!!
 
Lakini ruksa kula na nduguyo nimesha kwandalia na kiti kabisa hiki hapa.
IMG_0436_1.jpg

Hiki kiti utakalia wewe tu maana ni wide load kitahimili uzito wako.

hahaaa fotografa wewee eeh!!!

afu kuwa makini kudandia dandia usivovifahamu, muulize masanilo kuna mtu kule kwenye jukwaa la wazee anajifanya jike kumbe ni dume
 
Lakini ruksa kula na nduguyo nimesha kwandalia na kiti kabisa hiki hapa.
IMG_0436_1.jpg

Hiki kiti utakalia wewe tu maana ni wide load kitahimili uzito wako.
aisee umefanya jambo la maana mana huwa vile viti vya kawaida nikivikalia vinaishia kubonyea miguu na vingine vinashindwa kuhimili vinavunjika.ila mbona wamesema hamna kukikalia?
 
aisee umefanya jambo la maana mana huwa vile viti vya kawaida nikivikalia vinaishia kubonyea miguu na vingine vinashindwa kuhimili vinavunjika.ila mbona wamesema hamna kukikalia?

Yaani hiki ni kwa ajili yako tu kinahimili uzito wako hata kama una 150kg hakitapinda hicho.
 
si bora angenena kilugha?mi nilikuwa naskia"Baba shusha valuu nyingi ili nimpe pearl kama divai alewe nifanye mamboz,baba nasubiria muujiza wako ,usiniangushe maana nimeshawafanyia wengi yaha maigizo"
sipati picha alivyokuwa akirukaruka huku akinena kilugha wkt wa hayo maombezi!!!cha muhimu umepona.
 
sipati picha alivyokuwa akirukaruka huku akinena kilugha wkt wa hayo maombezi!!!cha muhimu umepona.
We ukiugua tutampa kazi ya maombezi MKATEKUMENI HOMMIE KAIZER! Bahati nzuri maombi yake anafanyia mwarubaini guesti house! Church!
 
si bora angenena kilugha?mi nilikuwa naskia"Baba shusha valuu nyingi ili nimpe pearl kama divai alewe nifanye mamboz,baba nasubiria muujiza wako ,usiniangushe maana nimeshawafanyia wengi yaha maigizo"
hapa naomba nitoke kidogo internet cafe huku KITUNDA nicheke kwa nguvu:D:D:D:D:D
 
si bora angenena kilugha?mi nilikuwa naskia"Baba shusha valuu nyingi ili nimpe pearl kama divai alewe nifanye mamboz,baba nasubiria muujiza wako ,usiniangushe maana nimeshawafanyia wengi yaha maigizo"
Na pepo lilivokuwa na nguvu wala hukuanguka! Au ulikuwa huumwi vizuri?
 
si bora angenena kilugha?mi nilikuwa naskia"Baba shusha valuu nyingi ili nimpe pearl kama divai alewe nifanye mamboz,baba nasubiria muujiza wako ,usiniangushe maana nimeshawafanyia wengi yaha maigizo"

Hivi Pearl hizi mbavu zangu huzieonei huruma hata kidogo? dah:D
 
unavojali maslahi yangu! Senks! Unajua kuna msemo 'kwenye kupanga hapa mjini, kuhamia mazoezi kulipa kodi mechi!" inahusu!
Hommie kabla hujawa mjumbe wa bodi ya BAKITA, ulishawahi kufanya kazi Urafiki?
 
We ukiugua tutampa kazi ya maombezi MKATEKUMENI HOMMIE KAIZER! Bahati nzuri maombi yake anafanyia mwarubaini guesti house! Church!


Hommie kakague miedu ze nidiful kwa kujali maslahi, ila hapa kuna watu watajifanya hawana macho... wanasahau kuwa maisha sio MAGUMU ila kazi ndo NGUMU na mwanaume lazima ugangamale!

Hommie kabla hujawa mjumbe wa bodi ya BAKITA, ulishawahi kufanya kazi Urafiki?

Hommie..we acha tu....:D:D
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom