How JK snubbed Kagame

Balozi mpya wa Rwanda alikabidhi hati zake kwa Bernard Membe ambaye alikuwa amevalia shati nyeupi alafu nje, yaani barazani wizarani. Hii ilikuwa ni tofauti na utamaduni wa kidplomasia, ambapo balozi huwasilisha kwa mkuu wa nchi na kukagua gwaride...This is because JK hakutaka kusikia chochote kutoka kwa Kagame, the arrogant guy of Kigali. Nasikia they dont see eye to eye because Kagame aliwahi kusema eti akipewa Tanzania na raslimari zake ataifanya kuwa first world country! Arrogance!Na jamaa hawa hawataki kabisa kuonana tena, na mkutano wa kujadili maombi ya sudani kusini kuingia EAC bila shaka mmoja atamtuma waziri mkuu wake na mwingine makamu wa raisi

nimewahi lisikia hilo,kila Raisi anatamani kupewa Tanzania hata kwa miaka kadhaa,kuna jamaa wa SA wao wanasema kama upo uwezekano tubadirishane nchi sisi twende SA na wao waje TZ wanasema kwa MADINI tuliyo nayo tuwape miaka 10 tu,watakuwa zaidi ya SA,

Muda mwingine maneno kama hayo si mazuri kumweleza mwenye nchi,kwani unapomweleza unamaanisha kuwa yeye hawezi kutumia rasilimali zilizopo ili kukuza uchumi wa nchi,
ingawaje muda mwingine ni vyema ukayafanyia kazi maneno ya wenzako yaweza kuwa na ukweli
 
If you want to understand what Kagame means, come visit Kigali.........

Niliona aibu wakati natoka Tanzania kwenda Kigali kikazi nikapanda RwandAir and it was a shame nchi kama ya kwetu hatuna cha kujivunia........vindege vyetu wametafuna hadi mabati waliyoshindwa wameuza kama scrapper.....sasa hivi wanajisifia wameanza routes za Mwanza na Kilimanjaro wakati Kigali wanafundua njia mpya za mashariki na magharibi

Hongera sana Bwana Kagame......
 
Msidanganywe na cosmetic changes, Rwanda ni kama ki mkoa kimoja cha Tanzania na bado wana matatizo kibao pamoja na udikteta na umaskini uliokithiri.

Tusimlaumu JK bure...

Ni rais 'mtoro' labda alikuwa ka-dodge!!
 
You can hate Kagame..but at least he have achieved somewhere.....hii nchi sio Kagame tu ...hata ukinipa Mimi....nitaifanya kuwa nchi iliyoendwelea ...tatizo mmeshajiapiza kuwa kuna watu wengine hii nchi hamtakaa muwape..........sasa ili kuchochea maendeleo na kutunza utaifa wetu .....tuweke serikali za majimbo......ili watu wafanye kazi za kuleta maendeleo ....wanaotaka kwenda taratibu...na kucheza ngoma ....wacha waendelee tu.......

Majimbo Nane yanatosha nchi hii....serikali hizi zipo kila mahali na hazijavunja utaifa zaidi zimekimbiza maendeleo ...zipo China,Russia,India,Pakistan ,south Africa ....etc...la muhimu ni kuwa hakuna jimbo hata moja litaundwa kikabilan....ie

Mashariki( pwani ,dar es salaam na morogoro)
Jimbo la Kati (Dodoma,iringa na singida,sehemu ya manyara)
Jimbo la nyanda za juu( mbeya,Njombe,katavi)
Jimbo la mangaribi ( Rukwa ,kigoma,tabora)
Jimbo la ziwa ( Kagera,mwanza,Mara)
Jimbo la kaskazini(tanga ,Kilimanjaro ,Arusha ...sehemu ya manyara)
Jimbo la kusini (Lindi,mtwara na ruvuma)
Jimbo la visiwani ( defacto Kama muungano utasema serikali tatu hii tutaita ...serikali ya Zanzibar ...litakuwa eneo lenye mamlaka yote ...ukiondoa ulinzi..au usalama wa ndani na nje...tofauti na maeneo mengine amabayo yatakuwa tu maeneo ya utawala wa kimaendeleo ....na watendaji wake wataendelea kuwa vetted na central government ...ili kuimarisha utaifa)

Serikali za majimbo zitawajibika zaidi kwa wananchi serikali kuu itaendelea kutoa muelekeo wa sera ....na kusimamia mambo...,na kusaidia majimbo.

serikali ya majimbo inawezekana kabisa,kwani kila siku tumekuwa tukilalama kuwa nchi hii ni kubwa,sasa sululisho lake ni majimbo,hayajaanza leo yapo na nchi kubwa duniani wanatumia utaratibu huu,tuache uoga,SERIKALI YA MAJIMBO FOR 2015
 
  • Thanks
Reactions: Zed
Japokuwa Kagame ni dikteta, anafaa kuwa kiongozi.
Ameifanya Rwanda kuwa nchi ya 26 kwa maendeleo duniani.

Kagame is a Leader
Kikwete is a Ruler
 
Kuna Mtanzania mmoja anafanya kazi World Bank, Kikwete alitaka sana kumpa kazi ya uchumi ofisini mwake. Kijana akaenda Ikulu, na katika mazungumzo, akafanya kosa la kutaja jinsi Kagame alivyoitransform Rwanda na kwamba yeye angependa kufuata mfano huo. Baada ya hicho kikao hakusikia tena kutoka Ikulu na Kikwete hajampigia simu mpaka sasa.
 
Msidanganywe na cosmetic changes, Rwanda ni kama ki mkoa kimoja cha Tanzania na bado wana matatizo kibao pamoja na udikteta na umaskini uliokithiri.

Ribosome, are you for real or some sort of sarcasm au ....?? Hujui kuwa "wakati mwingine kuna comparative advantage ya eneo kuwa kubwa? Huoni kwamba kwa ukubwa wake Tanzania ina faida kubwa sana (geographical advantage) zaidi ya Rwanda? Na hili humuhitaji Professor wa uchumi kukufafanulia....Weka mezani Rwanda, eneo lake na rasilimali zake then weka nchi yako pia meza hiyo hiyo kisha chukua eneo lake na rasilimali zake then utaelewa.....labda uamue kutokuelewa
 
Ribosome, are you for real or some sort of sarcasm au ....?? Hujui kuwa "wakati mwingine kuna comparative advantage ya eneo kuwa kubwa? Huoni kwamba kwa ukubwa wake Tanzania ina faida kubwa sana (geographical advantage) zaidi ya Rwanda? Na hili humuhitaji Professor wa uchumi kukufafanulia....Weka mezani Rwanda, eneo lake na rasilimali zake then weka nchi yako pia meza hiyo hiyo kisha chukua eneo lake na rasilimali zake then utaelewa.....labda uamue kutokuelewa

hata kwenye soka hatuoni ndani kwa Rwanda
 
Balozi mpya wa Rwanda alikabidhi hati zake kwa Bernard Membe ambaye alikuwa amevalia shati nyeupi alafu nje, yaani barazani wizarani. Hii ilikuwa ni tofauti na utamaduni wa kidplomasia, ambapo balozi huwasilisha kwa mkuu wa nchi na kukagua gwaride...This is because JK hakutaka kusikia chochote kutoka kwa Kagame, the arrogant guy of Kigali. Nasikia they dont see eye to eye because Kagame aliwahi kusema eti akipewa Tanzania na raslimari zake ataifanya kuwa first world country! Arrogance!Na jamaa hawa hawataki kabisa kuonana tena, na mkutano wa kujadili maombi ya sudani kusini kuingia EAC bila shaka mmoja atamtuma waziri mkuu wake na mwingine makamu wa raisi


Brother nafikiri unaendeleza ile reputation ya kuonyesha hadharani ujinga na umbumbumbu wako katika matukio lakini pia katika masuala ya kidiplomasia. Nafikiri umechanganya wizara ya mambo ya nje na nje ya ofisi. Na nafikiri unachanganya kuona watu wanaagana nje ya ofisi na kukabidhi credentials. Unajaribu kushonashona migogoro hata pale isipokuwepo.

1. Rais Kikwete hana bifu na Kagame na hicho unachoita wewe bad blood ni creation yako ambayo kimsingi imechochewa na chuki zako;

2. Imesemwa wapi kwamba foreign minister lazima avae suit wakati wa kupokea credentials. Vipi kama angevaa chuenlai? Kwa bahati mbaya hujui hata thamani ya hilo shati na wewe kwa akili yako ndogo unadhani lile ni shati la Kariakoo!

3. Mbona hata Kagame mwenyewe attire yake kubwa ni mashati meupe ya casual hata kwenye formal gatherings? Shida iko wapi?

Wakati mwingine uwe na huruma na resources ambazo ni wino, umeme na airtime!
 
kagame yupo sahihi,siasa chafu na uongozi mbovu ndio vinazirotesha maendeleo ya nchi yetu ambayo kwa mali asilli imejaliwa
 
Mnaenda mbali...mimi nikipewa niongoze Tanzania bila CCM ntaipeleka first world
 
Brother nafikiri unaendeleza ile reputation ya kuonyesha hadharani ujinga na umbumbumbu wako katika matukio lakini pia katika masuala ya kidiplomasia. Nafikiri umechanganya wizara ya mambo ya nje na nje ya ofisi. Na nafikiri unachanganya kuona watu wanaagana nje ya ofisi na kukabidhi credentials. Unajaribu kushonashona migogoro hata pale isipokuwepo.

1. Rais Kikwete hana bifu na Kagame na hicho unachoita wewe bad blood ni creation yako ambayo kimsingi imechochewa na chuki zako;

2. Imesemwa wapi kwamba foreign minister lazima avae suit wakati wa kupokea credentials. Vipi kama angevaa chuenlai? Kwa bahati mbaya hujui hata thamani ya hilo shati na wewe kwa akili yako ndogo unadhani lile ni shati la Kariakoo!

3. Mbona hata Kagame mwenyewe attire yake kubwa ni mashati meupe ya casual hata kwenye formal gatherings? Shida iko wapi?

Wakati mwingine uwe na huruma na resources ambazo ni wino, umeme na airtime!

Usitetee ujinga ...... Tanzania imekwama kuendelea kwa sababu ya wizi unaofanywa na maharamia wa CCM
 
whether you call it arrogance or anything,Kagame has all the courage and right to say so, this patriotic guy is doing well and good for his country, Rwanda's economic progress is encouraging compared to TZ shrinking economy, tell me what can JK boast of for all his time as the president? we can prove more of his ineptitude than ability! Rwanda's success is due to the seriousness,patriotism and good leadership of their president also Mr. Kagame does not entertain or tolerate any ufisadi, he will immediately and harshly get rid of any corrupt or irresponsible leader, he has no time to waste for silly dilly dally discussions!
WE SONGA SONGA SONGA MBEEELE WE SONGA MBEELE, HATA WATU WAKUSEME KAGAME SONGA MBELE!!
sometimes i wish this guy was the TZ prez.
 
Msidanganywe na cosmetic changes, Rwanda ni kama ki mkoa kimoja cha Tanzania na bado wana matatizo kibao pamoja na udikteta na umaskini uliokithiri.

Wewe nina hakika huwezi hata kuandika barua ya kujiuzulu kazi kutokana na udogo wa akili ulizonazo. Wapi ulisikia kuwa maendeleo ya nchi yanategemea size ya nchi yenyewe?
 
Balozi mpya wa Rwanda alikabidhi hati zake kwa Bernard Membe ambaye alikuwa amevalia shati nyeupi alafu nje, yaani barazani wizarani. Hii ilikuwa ni tofauti na utamaduni wa kidplomasia, ambapo balozi huwasilisha kwa mkuu wa nchi na kukagua gwaride...This is because JK hakutaka kusikia chochote kutoka kwa Kagame, the arrogant guy of Kigali. Nasikia they dont see eye to eye because Kagame aliwahi kusema eti akipewa Tanzania na raslimari zake ataifanya kuwa first world country! Arrogance!Na jamaa hawa hawataki kabisa kuonana tena, na mkutano wa kujadili maombi ya sudani kusini kuingia EAC bila shaka mmoja atamtuma waziri mkuu wake na mwingine makamu wa raisi

Kagame was right, na kama JK anamchukia shauri yake
 
Back
Top Bottom