MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,563
Wapendwa am so confused and frustrated. I just want to know to what extent should we be open to our partners? Sizungumzii juu ya siri zetu sisi kama partners mfano una affair, ulipitiwa na shetani ukachepuka kidogo no.
Nazungumzia kuhusu kuwa wawazi juu ya familia zetu mfano umeoa au kuolewa then kuna vitu vya familia yako Mf. Baba yako kuwa na tabia mbaya kama fuska ambazo wewe unazifahamu. Au siri yoyote ya familia yako wewe
Je ni vizuri kumwambia mwenzako au uuchune tu?
Nazungumzia kuhusu kuwa wawazi juu ya familia zetu mfano umeoa au kuolewa then kuna vitu vya familia yako Mf. Baba yako kuwa na tabia mbaya kama fuska ambazo wewe unazifahamu. Au siri yoyote ya familia yako wewe
Je ni vizuri kumwambia mwenzako au uuchune tu?