zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
Najuta kupoteza usingizi wangu bure ! Marehemu Mwangosi kabla haja uwawa kinyama na polisi alisema "Mimi sija shiba kwa maelezo yako" alitoa kauli hii wakati wa asubuhi alipo kuwa anamuliza kamuhanda swali na kupewa majibu ambayo hakuridhika nayo.
Ndiyo ninavyo kwenye hotuba ya raisi! Hotuba yeke ni nyepesi sana kuliko majanga makubwa ya vifo yaliyo likunba taifa!
Sent from BlackBerry 8520 authorized by JamiiForums.
Ameelezea siasa za vyama vingi zisiwe ndiyo chachu kuvunja amani. Jee, hukubaliani na hilo?