zomba, Rais ame-site mfano wowote wa kutokuelewana kwetu huko anakokusisitiza? Ama anaongea kama kipofu, au ni mjenga halafu anadhani hatuujui ujenga wake? Yaani watu wamekufa, hakerwi na watu wake kufa, anahukumu kuwa mwananchi wake kafa kwa uzembe wake wakati akivunja amani?Hashawishi kutokufanya maandamano anashawishi kutokufanya fujo kufikia uvunjifu wa amani. Anashawishi kutowabughudhi wa vyama vingine wanapohudhuria mikutano ya kisiasa. Anashawishi amani na utulivu na kutofautiana kwetu kuwe ni chachu ya kutupelekea kwenye amani zaidi.
BIHECHITII najua mwaka huu hatuumalizi lazima wakuchukue jumla jumla,
sasa usiponichangia...........!hahahaha.UNATENGANISHA UKOO
Nilishasahau hata kama huwa anahutubia taifa!!!
Sasa kama kachukua hii inchi kilo ya mchele ikiwa 500 hivi sasa ni 2500, sukari kilo 1 ilikuwa inauzwa 300 hivi sasa ni 2600, kilo ya maharage ilikuwa inauzwa 250 hivi sasa ni 2500. Mapinduzi ya kilimo anayo yaongelea ni yapi kama sio siasa zisizo na mashiko? The end is near CCM will be going to hell.
..Hizo bei za bidhaa (Sasa kama kachukua hii inchi kilo ya mchele ikiwa 500 hivi sasa ni 2500, sukari kilo 1 ilikuwa inauzwa 300 hivi sasa ni 2600, kilo ya maharage ilikuwa inauzwa 250 hivi sasa ni 2500. Mapinduzi ya kilimo anayo yaongelea ni yapi kama sio siasa zisizo na mashiko? The end is near CCM will be going to hell)ni kubwa sana ama kidogo? upo nchi/mkoa gani? fungukadah hizo bei za mkoa gani mkuu maana ie kanda ya ziwa naona tofauti au my fair plaza?
Kamati ya Nchimbi haina kazo yoyote zaidi ya kufuja pesa bila sababu.Rais alifurahia vile vifo na ameshindwa kujizuia.Amezunguka wee,lakini wapi.Vile vifo labda ndo kwanza alisheherekea.
Ndiyo maana Kamuhanda alikuwa na kiburi akasema hajiuzulu.Kwasababu mauwaji hayo yana baraka kutoka "juu"
Mkulu hakutakiwa awe rais,hilo siyo siri.Rais gani anafanya na kuongea ujinga kama hivi.Kwa ujumla jamaa ni kama kasema yaliyopita si ndwele ila bado tunawaandama kupitia polisi.
..Hizo bei za bidhaa (Sasa kama kachukua hii inchi kilo ya mchele ikiwa 500 hivi sasa ni 2500, sukari kilo 1 ilikuwa inauzwa 300 hivi sasa ni 2600, kilo ya maharage ilikuwa inauzwa 250 hivi sasa ni 2500. Mapinduzi ya kilimo anayo yaongelea ni yapi kama sio siasa zisizo na mashiko? The end is near CCM will be going to hell)ni kubwa sana ama kidogo? upo nchi/mkoa gani? funguka
DHAIFU ni DHAIFU tu hakuna siku atakuja na suluhu yakueleweka ndo busara za KILAZA hizo mara zote ni upumbavu,maana husema jambo kinyume na ukweli hali ya kuwa anajua ukweli na kuuficha,kadanganya MABWEPANDE na KINA IGONDWE+RAIA wa kenya,Vitu vizito vinavyorushwa toka mbali,leo anadanganya na hili,kweli haya MAJANGA mpaka 2015!Keshawasafisha polisi,na yeye ni amiri jeshi mkuu.Kamati ya Nchimbi haina maana na ni upotevu wa pesa za wananchi.
Pili, since hajaonyesha kuwa neutral, ni wazi ni kama ameingilia kazi ya kamati hiyo.
Mwisho, kuna pahala nimesoma akisema kwamba askari aliyuwa tayari keshafikishwa mahakamani, na akasema tu wasiwe wanatumia nguvu za ziada,sasa tutegemee kamati iseme tofauti na yeye?
Kweli rais huyu ni janga la Taifa, na hii miaka iliyobaki hadi 2015 ni mingi sana kwa mwendo huu! Kiukweli ni kama ameilaumu chadema. Kumbe yale yanayozungumzwa humu na kina zomba ndo vile na yeye anaamini? Ukimya wake ulikuwa una walakini.
*Ama kweli mh rais ana roho kutu!
Keshawasafisha polisi,na yeye ni amiri jeshi mkuu.Kamati ya Nchimbi haina maana na ni upotevu wa pesa za wananchi.
Pili, since hajaonyesha kuwa neutral, ni wazi ni kama ameingilia kazi ya kamati hiyo.
Mwisho, kuna pahala nimesoma akisema kwamba askari aliyuwa tayari keshafikishwa mahakamani, na akasema tu wasiwe wanatumia nguvu za ziada,sasa tutegemee kamati iseme tofauti na yeye?
Kweli rais huyu ni janga la Taifa, na hii miaka iliyobaki hadi 2015 ni mingi sana kwa mwendo huu! Kiukweli ni kama ameilaumu chadema. Kumbe yale yanayozungumzwa humu na kina zomba ndo vile na yeye anaamini? Ukimya wake ulikuwa una walakini.
Ama kweli mh rais ana roho kutu!