Hotuba ya Mh.Mbowe yazua Utata kwa Wakazi wa Geita tarehe 27/1/2014

Anderson Shimb

Senior Member
Dec 23, 2013
169
25
Wananchi ambao walijitahidi kufika Uwanjani wakionekana na kuwa na nia mbili kuu; Kwanza kusikia toka kwa kiongozi ngazi ya Taifa tena kiongozi mkuu wa kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, mambo muhimuambayo yatawaondolea huzuni ya kukosa maji safi na salama, barabara bora ndani ya maeneo ya vijijini, jinsi ya kuboresha mishahara ya watumishi wakiwemo walimu na mafaktari, jinsi ya kuboresha shule za kata ziwe na maktaba nzuri na kuongeza ufaulu wa masomo ya Sayansi, kuongeza upatikanaji wa madawa hospitalini, jinsi ya kuongeza kipato cha mwananchi wa chini, jinsi ya kutafuta masoko ya mazao ya wakulima.
Pili wananchi wa Geita walitegemea jipya sana juu ya kwanini kumekuwepo ulazima wa kutumia gharama kubwa kiasi hicho Tshs Mil.900 kwa siku 14 tu, kuzunguka na hekcopta 3! .
Wananchi badala ya kusikia hoja za maswali yao hayo ambayo yangewapa matumaini, waliambulia patupu pale Mh.Mbowe alipowahutubia na kuwaeleza mambo ambayo yaliwaacha midomo wazi wakabaki wameduwaa; aliwasimulia juu ya jinsi alivyokaidi amri ya Naibu Spika bungeni, tena akawa anajitapa na kusema "nikataa kukaa", aliongeza kwa kusema kuwa eti alitaka kuzichapa lakini akaahirisha akawaachia "makamanda", Wabanchi wa Geita walitafakari kuwa kitendo hicho kilikuwa ni utovu wa nidhamu, walihoji kuwa mbona hakunukuu kifungu gani cha kanuni alichotumia kukataa kukaa? Pia wananchi walibaki na sintofahamu pale walipoambiwa kuwa kama wananchi wataamua kuwa hawataki serikali tatu, wanachadema watakuwa tayari kuona meno yanamwagika!, maneno haya yaliadhiria umwagaji damu. Wananchi wa Geita pia wslidhangazwa na mabango yaliyokuwa yakimdhihaki Mh.Zitto na wakati huo huo Mbowe akishadadia kuwa waandishi wa habari wayapige picha, swali vichwani mwa watu hawa likawa, Mbona awali ilisemekana kuwa hakuna ajenda ya Zitto kwenye OPD?, Kingine ni ajabu kuona kuwa wajumbe wote wale wa baraza kuu wamekusanywa na kufanya mkutano wa siri ktk ukumbi ambao jina limehifadhiwa kwa sababu za kibiashara. Ajenda ni kummaliza Zitto kwenye baraza alikokata rufaa. Wana Geita waliotutumia taarifa hii, wameuliza kuwa; hivi kuna mambo gani muhimu saaana na yalazima saana ambayo yasingeweza kuongelewa na viongozi ngazi ya Mikoa na Wilaya? Je Viongozi wa Wilaya na Mikoa ni mbumbumbu kiasi cha kushindwa kueleza juu ya mchakato wa Katiba, pia juu ya Serikali tatu,Juu ya ngumi Bungeni na utovu wa nidhamu wa Mbowe? Wameapa kutouunga mkono harakati zozote za Mbowe na chama chake kuwaandamanisha wana Geita.
 
Umewauliza saa ngapi, na umewauliza wangapi au walisoma Risala kwako? Mbona na mini nipo kwenye Mkutano hayo unayosema ni uongo mtupu? Acheni kupotosha UMMA wewe kaa na MAGAMBA yako tu na ujue kwa mazingira ya Geita sasa na aina ya maji tunayokunywa tujiandae tu kupisha wengine tu ndo waje kuishi. Pole sana kwa kazi uliyojipatia ya kudanganya watu
 
Nenda kalale upunguze ''Viroba''kichwani,umewauliza watu wote wa Geita wakakuambia hayo yote saa ngapi! wakati mwingine kaa kimya ufiche upambavu wako.
 
Mbona mnahamisha shughuli za serikali yenu za ilani yenu ya chama cha magamba, mnataka Chadema wafanye kabla ya kuingua Ikulu??? Kama yamewashinda si mtoke baru??? Kwanza sidhani kama unajua hata lengo la Opd.
 
Siyo wananchi wa Geita bali Magamba wa Geita wanaokula sahani moja na mafisadi!
 
kukosa maji safi na
salama, barabara bora ndani ya maeneo ya
vijijini, jinsi ya kuboresha mishahara ya
watumishi wakiwemo walimu na mafaktari, jinsi
ya kuboresha shule za kata ziwe na maktaba
nzuri na kuongeza ufaulu wa masomo ya
Sayansi, kuongeza upatikanaji wa madawa
hospitalini, jinsi ya kuongeza kipato cha
mwananchi wa chini, jinsi ya kutafuta masoko
ya mazao ya wakulima.




Kama mlitaka Mbowe ayajibu hayo sasa JK akija mtamuuliza nini? Je Mbowe ndo raisi wa TZ?
 
AA (23).jpg mizigooooooooooooooooooooooooooooooo
 
Wananchi ambao walijitahidi kufika Uwanjani wakionekana na kuwa na nia mbili kuu; Kwanza kusikia toka kwa kiongozi ngazi ya Taifa tena kiongozi mkuu wa kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, mambo muhimuambayo yatawaondolea huzuni ya kukosa maji safi na salama, barabara bora ndani ya maeneo ya vijijini, jinsi ya kuboresha mishahara ya watumishi wakiwemo walimu na mafaktari, jinsi ya kuboresha shule za kata ziwe na maktaba nzuri na kuongeza ufaulu wa masomo ya Sayansi, kuongeza upatikanaji wa madawa hospitalini, jinsi ya kuongeza kipato cha mwananchi wa chini, jinsi ya kutafuta masoko ya mazao ya wakulima.
Pili wananchi wa Geita walitegemea jipya sana juu ya kwanini kumekuwepo ulazima wa kutumia gharama kubwa kiasi hicho Tshs Mil.900 kwa siku 14 tu, kuzunguka na hekcopta 3! .
Wananchi badala ya kusikia hoja za maswali yao hayo ambayo yangewapa matumaini, waliambulia patupu pale Mh.Mbowe alipowahutubia na kuwaeleza mambo ambayo yaliwaacha midomo wazi wakabaki wameduwaa; aliwasimulia juu ya jinsi alivyokaidi amri ya Naibu Spika bungeni, tena akawa anajitapa na kusema "nikataa kukaa", aliongeza kwa kusema kuwa eti alitaka kuzichapa lakini akaahirisha akawaachia "makamanda", Wabanchi wa Geita walitafakari kuwa kitendo hicho kilikuwa ni utovu wa nidhamu, walihoji kuwa mbona hakunukuu kifungu gani cha kanuni alichotumia kukataa kukaa? Pia wananchi walibaki na sintofahamu pale walipoambiwa kuwa kama wananchi wataamua kuwa hawataki serikali tatu, wanachadema watakuwa tayari kuona meno yanamwagika!, maneno haya yaliadhiria umwagaji damu. Wananchi wa Geita pia wslidhangazwa na mabango yaliyokuwa yakimdhihaki Mh.Zitto na wakati huo huo Mbowe akishadadia kuwa waandishi wa habari wayapige picha, swali vichwani mwa watu hawa likawa, Mbona awali ilisemekana kuwa hakuna ajenda ya Zitto kwenye OPD?, Kingine ni ajabu kuona kuwa wajumbe wote wale wa baraza kuu wamekusanywa na kufanya mkutano wa siri ktk ukumbi ambao jina limehifadhiwa kwa sababu za kibiashara. Ajenda ni kummaliza Zitto kwenye baraza alikokata rufaa. Wana Geita waliotutumia taarifa hii, wameuliza kuwa; hivi kuna mambo gani muhimu saaana na yalazima saana ambayo yasingeweza kuongelewa na viongozi ngazi ya Mikoa na Wilaya? Je Viongozi wa Wilaya na Mikoa ni mbumbumbu kiasi cha kushindwa kueleza juu ya mchakato wa Katiba, pia juu ya Serikali tatu,Juu ya ngumi Bungeni na utovu wa nidhamu wa Mbowe? Wameapa kutouunga mkono harakati zozote za Mbowe na chama chake kuwaandamanisha wana Geita.

Safi mkuu. Watu wanatakiwa wajue kuwa CHADEMA ni genge la wavunja sheria, wahuni wakubwa na wazinzi wa kitaifa wakiongozwa na mwenyekiti wao
 
Wananchi ambao walijitahidi kufika Uwanjani wakionekana na kuwa na nia mbili kuu; Kwanza kusikia toka kwa kiongozi ngazi ya Taifa tena kiongozi mkuu wa kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, mambo muhimuambayo yatawaondolea huzuni ya kukosa maji safi na salama, barabara bora ndani ya maeneo ya vijijini, jinsi ya kuboresha mishahara ya watumishi wakiwemo walimu na mafaktari, jinsi ya kuboresha shule za kata ziwe na maktaba nzuri na kuongeza ufaulu wa masomo ya Sayansi, kuongeza upatikanaji wa madawa hospitalini, jinsi ya kuongeza kipato cha mwananchi wa chini, jinsi ya kutafuta masoko ya mazao ya wakulima.
Pili wananchi wa Geita walitegemea jipya sana juu ya kwanini kumekuwepo ulazima wa kutumia gharama kubwa kiasi hicho Tshs Mil.900 kwa siku 14 tu, kuzunguka na hekcopta 3! .
Wananchi badala ya kusikia hoja za maswali yao hayo ambayo yangewapa matumaini, waliambulia patupu pale Mh.Mbowe alipowahutubia na kuwaeleza mambo ambayo yaliwaacha midomo wazi wakabaki wameduwaa; aliwasimulia juu ya jinsi alivyokaidi amri ya Naibu Spika bungeni, tena akawa anajitapa na kusema "nikataa kukaa", aliongeza kwa kusema kuwa eti alitaka kuzichapa lakini akaahirisha akawaachia "makamanda", Wabanchi wa Geita walitafakari kuwa kitendo hicho kilikuwa ni utovu wa nidhamu, walihoji kuwa mbona hakunukuu kifungu gani cha kanuni alichotumia kukataa kukaa? Pia wananchi walibaki na sintofahamu pale walipoambiwa kuwa kama wananchi wataamua kuwa hawataki serikali tatu, wanachadema watakuwa tayari kuona meno yanamwagika!, maneno haya yaliadhiria umwagaji damu. Wananchi wa Geita pia wslidhangazwa na mabango yaliyokuwa yakimdhihaki Mh.Zitto na wakati huo huo Mbowe akishadadia kuwa waandishi wa habari wayapige picha, swali vichwani mwa watu hawa likawa, Mbona awali ilisemekana kuwa hakuna ajenda ya Zitto kwenye OPD?, Kingine ni ajabu kuona kuwa wajumbe wote wale wa baraza kuu wamekusanywa na kufanya mkutano wa siri ktk ukumbi ambao jina limehifadhiwa kwa sababu za kibiashara. Ajenda ni kummaliza Zitto kwenye baraza alikokata rufaa. Wana Geita waliotutumia taarifa hii, wameuliza kuwa; hivi kuna mambo gani muhimu saaana na yalazima saana ambayo yasingeweza kuongelewa na viongozi ngazi ya Mikoa na Wilaya? Je Viongozi wa Wilaya na Mikoa ni mbumbumbu kiasi cha kushindwa kueleza juu ya mchakato wa Katiba, pia juu ya Serikali tatu,Juu ya ngumi Bungeni na utovu wa nidhamu wa Mbowe? Wameapa kutouunga mkono harakati zozote za Mbowe na chama chake kuwaandamanisha wana Geita.

Tumechoka na wivu wenu wa kike .
 
Tangu nianze mwaka 2015 sijawahi kuona mtoa maada mwenye akili kama za ng'ombe kama huyu jamaa ANDERSON SHIMB.Yaani fule kenge.
 
Hivi m2 kuwa ----, mkuda, na fitna ni kipaji? Mwenyekiti wangu Freeman Mbowe wakati anautangazia umma juu ya hii operation M4C OPD, alisema malengo ya operation ni pamoja na:

1. Rasimu ya katiba mpya
2. Daftari la kudumu la wapiga kura
3. Kujenga chama nk.
Sasa wewe kenge nani kakumbia chadema wanakwenda kuongelea huo upuuzi wako ulioandika hapo juu. Mbwa we.
 
Back
Top Bottom