Hotuba ya Kikwete haina jipya kwa watuhumiwa wa Escrow. Muhongo ziarani Mara kesho

Kama mnasubiri hotuba ya rais Kikwete mkitegemea maamuzi chanya kwenye suala la Escrow basi mnapoteza muda wenu tu.

Kesho mwizi wa escrow na dalali mhimu katika wizi huo ndugu Prof Muongo anaanza ziara rasmi ya kiserikali mkoani mara.

Hii inatafsiriwa kuwa ktk hotuba ya mwenye jamhuri, watuhumiwa wa escrow sio sehemu ya agenda zake na wala hatambui uwepo wa agizo la Bunge.

Maandalizi yote kwaajili ya ziara hiyo ya le prof Muongo yamekamilika.

Atatembelea wachimbaji wadogo wilaya ya butiama, mgodi wa nyamongo na kueleza mafanikio ya wizara kuhusu umeme vijijini.

Atatoa mitaji kwa wachimbaji wadogo wadogo na kueleza fursa zilizopo katika Mkoa wa Mara, pia atatembelea wilaya zote na kuzungumza na wananchi.

Wewe msemaji wa ikulu?Wewe unaonekana kabisa umeshakuwa brain washed to the point of no return. Itabidi makachero wakutafute mapema kwani your thinking is unrealistic and you may be a danger to our modern society
 
Yericko, na mimi nataka iwe hivyo. Asifanye chochote kuhusika na Escrow scandal wala asigusie kabisa suala hilo kwenye hotuba zake.

Kwa nini kumlazimisha mtu mzima atazame anga kana kwamba ni kitu kidogo kilichofichika??? NOOOO.

Attitude yake iko bayana, msimamo wako uko wazi sana.....ni hivi yeye na Escrow thugs lao moja. So asishinikizwe kufanya asilo taka wala kuliamini.

Mimi ni kama wewe natamani kama akisunguza awasifie kama alivyo fanya kwa Werema na kuwasafisha wote na awambie wazee hawa watu ni wazuri tatizo ni bunge na pesa za mengi kama walivyo tuma watu wao kutoa matamko na kwenye mitandao kuwasafisha prof ushauri wangu wasafishe maprof wezako na wakina maswi na mlaani tumbili na bunge kwa ujumla wambie wazee hawa wanataka kukuaribia watendaji wako wazuri huo ndiyo ushauri wangu tu kwa prof JK
 
Na ni vizuriii asipofanya lolote ndio anakimaliza chama chake unajua hela alishachukua na watazitumia kwenye kampeni sasa unadhani watarudi nyuma? No Way ila sasa sijui Hao wahisani na misaada inakuwaje

Anakimaliza chama chake kivipi hebu elaborate,nyinyi hamna akili pelekeni watoto wenu shule hata haki zenu hamzijui kazi zenu kupiga kelele tu!
 
Mungu atupe subira, manaake hii ni dharau yakiwango cha juu mnoo, labda nililala sikusikia kua nchi yetu imekua yakifalme!!
 
inatia hasira sana hivi huko mara hamna suicide bombers?hakika huyo mtu nitamuita shujaa wangu wa escrow
 
Anakimaliza chama chake kivipi hebu elaborate,nyinyi hamna akili pelekeni watoto wenu shule hata haki zenu hamzijui kazi zenu kupiga kelele tu!
Mimi nitangulie kumpa HONGERA Rais wetu kama atakuwa amekataa kuburuzwa na Bunge kwa jazba, hasad, visasi, kukomoana na kukamiana kwingi.
 
South Africa wameshasema, ZUMA NI MWIZI..... Na wamelisema Bungeni.



Leo tarehe 22 Desemba, 2014 Mhe. Zuma atakutana kwa mazungumzo rasmi na Mhe. Rais Kikwete Ikulu kabla ya kuondoka nchini mchana wa leo kurejea nchini kwake. Nahisi hayo mazungumzo ndo yamefanya waandishi wa Habari waitwe. Kutakua kuna msaada Tanzania inaahidiwa.
 
Last edited by a moderator:
Mhongo ataenda Ndugu yerico this he is preparing for his campaign ya ubunge, although I support ccm I blv no lazima awajibike. Nchi kwanza siasa baadaye. I hope you guys at cdm will be the same when it comes to national interest.
 
Mhongo ataenda Ndugu yerico this he is preparing for his campaign ya ubunge, although I support ccm I blv no lazima awajibike. Nchi kwanza siasa baadaye. I hope you guys at cdm will be the same when it comes to national interest.
Mtu mvivu na mwoga wa mabaliko huwa anaishia kufanya assumption za Kijinga.
 
Back
Top Bottom