Hotuba ya Kikwete haina jipya kwa watuhumiwa wa Escrow. Muhongo ziarani Mara kesho

Yeriko nyerere, Binafsi nafarijika kwa kuona jamaa halishughulikii suala la escrow kwa sababu
1. Atatuongezea bure mzigo wa kuendelea kutunza mawaziri kwa kututumikia mda mdogo uliobaki.
2. Escrow imeshawauwa na hawana la kuokoa hata abadilishe baraza lote.
3. Kuna mjumbe mmoja wa lumumba alishasema jk hana human resource ya kutosha kuunda baraza kama atalifumua. Kumbuka kuwa wengi wao ni std seven, na wale wenye walau degree wameshavurunda na hawana tija. Huoni amewapa uwaziri mpaka viti maalumu?????
4. Kulingana na usemi wa askof kilaini kuwa jk ni chaguo la Mungu kwani atasaidia ukombozi wa nchi hii kufika mapema zaidi. Imagine isingekuwa Escrow unadhani elimu ya uraia ingesambaa haraka kama ilivyosambaa.
5. Watanzania wengi ni wagumu kuelewa bila kupatwa na shida. Hivyo kukatwa misaada kwa ajili ya escrow inasaidia sana watanzania kuamini kile ninachoongelewa na hivyo kuamka usingizini.
Hivyo mimi nadhani tumuombee aendelee kuwa kimya ili aokoe Taifa kwani linakoelekea ni pabaya zaidi endapo atachukua hatua kuliko kukaa kwake kimya.
 
Wanajukwaa, yule waziri anayetuhumiwa kuwa dalali wa mafisadi wa Uchotaji wa fedha za Escrow, Sospeter Muhongo, amemwaga fedha nyingi inayosadikiwa kupita mil 45 kwa ajili ya mapokezi atakayoyapata katika ziara yake mkoani. Mtu mmoja anayefahamika kwa jina la Nyangwene Masirori ndiye anayegawa fedha hizi.ambapo wenyeviti wa vijiji atakazopitia wanalewa laki tano.

Mbona haya mambo ni ya kawaida kwa mafisadi, Hata kaka chenge alifanyaga hivyo, cha maana kwa sasa ni jinsi wananchi walivyojitambua ndiyo jibu la kuondokana na ufisadi wa nchi hii.mahakama ya wananchi ndiyo jibu, sasa hivi sisiemu wamekuwa wapole na heshima mtaani,
 
Burkinafaso Inanukia Hapa Hakyamungu

Alex.jpg

mkuu Tee Bag. avatar yako imenikumbusha mbali sana. huyo jamaa anaitwa Alex Mahone, bonge la sniper.
 
Jzi ny
Kama mnasubiri hotuba ya rais Kikwete mkitegemea maamuzi chanya kwenye suala la Escrow basi mnapoteza muda wenu tu.

Kesho mwizi wa escrow na dalali mhimu katika wizi huo ndugu Prof Muongo anaanza ziara rasmi ya kiserikali mkoani mara.

Hii inatafsiriwa kuwa ktk hotuba ya mwenye jamhuri, watuhumiwa wa escrow sio sehemu ya agenda zake na wala hatambui uwepo wa agizo la Bunge.
j
Maandalizi yote kwaajili ya ziara hiyo ya le prof Muongo yamekamilika.

Atatembelea wachimbaji wadogo wilaya ya butiama, mgodi wa nyamongo na kueleza mafanikio ya wizara kuhusu umeme vijijini.

Atatoa mitaji kwa wachimbaji wadogo wadogo na kueleza fursa zilizopo katika Mkoa wa Mara, pia atatembelea wilaya zote na kuzungumza na wananchi.

Juzi wenye misiba wa mke wa Kamishna wa madini Nd Paul Masanja, Mheshimwa Maswi amesikika akitamba kuwa hawatafanywa lolote."Subirini hotuba ya rais Jumatatu, sisi sio wala rushwa bwana, hatutaondolewa" Alisikika akisema Bwana Maswi
 
Vicheko vitatawala hakuna la maana litalaotusaidia katika hotuba hii. Na ningeomba ukifika huwo muda wa hotuba yake wamuonyeshe tbc tu! Peke yao. Ila channel zengine watuwekee hotuba za mwalimu julius nyerere.. Tunataka tumuenzi huyu baba kwa kauli na matendo yake pia.
 
Asome Nyakati....kulindana hakuwezekana tena, meli ishatobolewa na mapanya, mafuko pamoja na mapimbi. Ha - ha- Ha - Haaaa!!
 
RICHMOND,alikubali LOWASSA kuwa kafara kwa ahadi ya kusafishwa, maskini lowassa mpaka leo haoshi na wanainchi wanaaminishwa ni fisadi

ESCROW :kwa kuwa LOWASSA hakuoshwa hamna anayekubali kujitolea kuwa kafara

mwisho: kwa akili ya kawaida richmond na escrow mwizi kiongozi unashindwa kumtambua?Kusoma hatujui basi hata picha kuangalia hatuitambui?

Na kinachonisikitisha ni pale unapokuwa kiongozi mkubwa wa nchi ambaye kiuhalisia haujui bei ya Sukari, mafuta ya kupikia, mkaa, umeme au gas na pia inawezekana haujui hata ada ya watoto wako shuleni na vyote hivyo vinafanywa na Serikali na huku pia wewe ukilipwa mshahara mkubwa sana LAKINI BADO UNAKUWA MPIGA DILI KWA WIZI WA FEDHA ZA UMMA.
 
Jzi ny

Juzi wenye misiba wa mke wa Kamishna wa madini Nd Paul Masanja, Mheshimwa Maswi amesikika akitamba kuwa hawatafanywa lolote."Subirini hotuba ya rais Jumatatu, sisi sio wala rushwa bwana, hatutaondolewa" Alisikika akisema Bwana Maswi


Waacheni wale vya mwisho kwani mwakani 2015 siyo mbali.

Tutakutana katika box la kura.

Waliyoona yale ya matokeo ya serikali ya mitaa ni cha mtoto kubwa lao matokeo ya Udiwani, ubunge na urais.

Tutaheshimiana tu.

MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Kama mnasubiri hotuba ya rais Kikwete mkitegemea maamuzi chanya kwenye suala la Escrow basi mnapoteza muda wenu tu.

Kesho mwizi wa escrow na dalali mhimu katika wizi huo ndugu Prof Muongo anaanza ziara rasmi ya kiserikali mkoani mara.

Hii inatafsiriwa kuwa ktk hotuba ya mwenye jamhuri, watuhumiwa wa escrow sio sehemu ya agenda zake na wala hatambui uwepo wa agizo la Bunge.

Maandalizi yote kwaajili ya ziara hiyo ya le prof Muongo yamekamilika.

Atatembelea wachimbaji wadogo wilaya ya butiama, mgodi wa nyamongo na kueleza mafanikio ya wizara kuhusu umeme vijijini.

Atatoa mitaji kwa wachimbaji wadogo wadogo na kueleza fursa zilizopo katika Mkoa wa Mara, pia atatembelea wilaya zote na kuzungumza na wananchi.

ni agizo la bunge ama ushauri ? So vizuri mkuu kabla ya kuandika pumba
 
Haya matukio ni utumbo tu sasa hivi duh, kila ukisema kitafanyika hiki wenzako wanafanya kile sasa sioni umuhimu wa kivipigia kura vyama vya siasa vyote mwakani...............
 
Mliopo madarakani endeleeni kufikiri Watanganyika bado ni wajinga.Boda boda, shule za kata, smartphone, redio na tv zimewawaelimisha Watanganyika, sio wajinga tena.
 
.
.
Jk hana mamlaka ya kimaadili ya kuweza kuwawajibisha kina Muhongo kwani wote ni wezi. Ikulu ilishiriki kuiba pesa za escrow.
.
Mwenye mamlaka ya kuthibitisha kuwa kuna wezi kwenye huu mchezo wa kuigiza wa PAC ni mahakama. Mpaka hapo mahakama itakapotoa hukumu hiyo hawa wote ni watuhumiwa na wanabaki kuwa wasafi mbele ya mkono wa sheria. Tatizo wabunge walichukua suala la kijinai na kuamua kutoa hukumu za kisiasa.
 
Haya matukio ni utumbo tu sasa hivi duh, kila ukisema kitafanyika hiki wenzako wanafanya kile sasa sioni umuhimu wa kivipigia kura vyama vya siasa vyote mwakani...............
Usipopiga kura unarudisha nyuma juhudi za kujikomboa.
 
Bw.Yericko,kuna mambo huwa unapatia,lakini siamini kama JK atajilipua kwa kutokutekeleza maazimio ya bunge,angalau kuwaondoa hawa waliotajwa na bunge.
Ni gharama mno kutofanya hivyo kwani hatutapata misaada.

Lazima atawaondoa
Hakuna namna hata kama kwa muono wake hawana makosa
Wazungu wamebana..Isingekuwa wazungu hata asingehangaika
 
NDUGU zangu watanzania, Sijui ni kwa nini tu wagumu wa kuona na kujua. Serikali YA CCM unajua fika inakaribia kuanguka. Kikwete hatazungumzia ESCROW au hata kuhusu a tu bila kuchukua au kutekeleza maamuzi YA BUNGE kwa sababu mbili kubwa.

1. Yeye ni sehemu ya scandal hiyo, anajihukumu vipi.

2. Hata kama watanzania tutaamua "kubukinaforise", ndio nafasi yao kuweka udikteta kwa kisingizio hicho. Tuwe makini sana hivi Sasa.

Haiwezekani Bunge liazimie na lielekeze serikali kuchukua hatua, kisha Rais asifanye hivyo na pasipo kulivunja Bunge kwa kutokuwa na imani nalo, kisha nasi watanzania tuendelee na business as usual. Nitajitoa utanzania wangu kabisa. Na nipo tayari kabisa Mataro wa mbele, kufanya kila tuwezalo kurudisha Tanzania yetu sasa. Maana hii imezidi.
 
Asome Nyakati....kulindana hakuwezekana tena, meli ishatobolewa na mapanya, mafuko pamoja na mapimbi. Ha - ha- Ha - Haaaa!!
 
Ni mwizi dalali bwabwa moja hivi la mukoa wa Mara
Hapa sasa unatukana watu wote wa mkoa wa Mara. Hebu sema Prof Muhongo kagawiywa shilingi ngapi?

Tusiimbishwe tu na mastaa wetu wapya wa siasa chafu za bongo.
 
Back
Top Bottom