Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,789
- 218,420
Hii ndio Taarifa mpya iliyotufikia hivi punde, hii Hotel inaisha muda huu kwa moto huku taarifa zikidai kwamba hakukuwa na gari ya zima moto(labda liko njiani linakuja)
Mpaka sasa hakuna taarifa za hasara, majeruhi wala vifo.
Mpaka sasa hakuna taarifa za hasara, majeruhi wala vifo.