Mbona ni taasisi isiyojitambua?Rais ni Taasisi
Wizi mtupu. Na TBS wapoKisingizio watakuambia ubora kwamba hizo dawa za elf 3 ni ulaya na hiyo ya buku ni India,
Na msdWizi mtupu. Na TBS wapo
Hatujawahi kuwa na taasisi ya kijinga/kipuuzi kama hii toka tupate uhuru!Mbona ni taasisi isiyojitambua?
Nakubaliana na Wewe kwa 100%Hatujawahi kuwa na taasisi ya kijinga/kipuuzi kama hii toka tupate uhuru!
Yaani hii taasisi (kama kweli urais ni taasisi) inataka kutuaminisha kwamba gharama za maisha zimepanda kila sehemu isipokuwa tu upande wa sekta ya Afya?
Just imagine mfumko wa bei (inflation) toka 2016; petroli lita imepanda toka 1,600/= hadi zaidi ya 3,200/=
Nauli ya daladala toka 300/= hadi 600/=
Mche wa Sabuni (Jamaa) toka 1,500/= hadi 3,500/= n.k
acheni ujinga, kuweni serious na Afya za watu.
Unapoandika haya, unajua hizi hospitali zinadai kiasi gani huko NHIF? Himiza serikali yako iwajibike! Au unafikiri hizo hospitali madawa wanaokota? Watumishi wanalipwaje? Anzisha wewe hospitali yako ukatoe huduma for free.Hapa ndiyo utamkumbuka mtu km Magu, maana jibu lao ni moja "wajaribu" na hakuna kima angejikuna. Huyu mama wanamchezea sana, eti watagoma kumhudumia mwananchi? Wauaji hao walitakiwa wakamatwe mara moja kwa tishio la kuua. Km wanaona hiyo biashara hailipi watafute kazi zingine
Hahahahah sisi wabongo #FIdQKIZIMKAZI hana muda na Watanganyika.
Watu wanapenda kuongea tuu lkn ukiangalia kisomi zaidi hao wafanyabiashara wapo sahihi.Unapoandika haya, unajua hizi hospitali zinadai kiasi gani huko NHIF? Himiza serikali yako iwajibike! Au unafikiri hizo hospitali madawa wanaokota? Watumishi wanalipwaje? Anzisha wewe hospitali yako ukatoe huduma for free.
Kuhusu ubora na kampuni,hili suala lipo!Kisingizio watakuambia ubora kwamba hizo dawa za elf 3 ni ulaya na hiyo ya buku ni India,
Tuwekee jina la hiyo dawa ili tuwe na ushahidi wa kutosha, kinyume na hapo utakuwa unajenga hoja tu.Ila hawa jamaa wa private wanapiga sana hela. Hapa juzi kati nikampeleka mtoto kutibiwa..nikaandikiwa dawa ambayo bima hailipii..nikaelekezwa dirisha la malipo nipewe hiyo dawa..ebwanaeehh..kidonge kimoja wakaniambia ni 3000..ile nataka kulipa wife kanivuta pembeni..kanishauri twende pharmacy..tukavipata Kwa 1000, yaani kwa 1/3 ya bei ya kile kituo cha afya cha private.
Hawa jamaa wanapiga sana hela. Ndio wanachangia kudhoofisha huu mfuko.
Sawa sawaKuhusu ubora na kampuni,hili suala lipo!
Lkn wasinipangie waniambie then nichague!
CCM Ni Laana, Jamani Mpaka Wanachama Wao WanashangaaNa bado watasimama bungeni kusema kazi nzuri aliyofsnya mama abdul haijawahi kufsnywa na mtu yoyote
Huna akili una mavi kichwaniKumbe wametishia nikajua wameshatangaza. Serikali imejenga vituo vya afya vya kutosha wasitishe tu wenye shida ya biashara watatoa huduma.
Huna akili una mavi kichwaniHawezi Kigoma. Hicho kitabakia kuwa kitisho tu. Atakayegoma kutii agizo la serikali tutamfutia leseni yake asitoe huduma hapa nchini.