Shapu
JF-Expert Member
- Jan 17, 2008
- 2,111
- 790
- Thread starter
- #41
Mifano mizuri hii ya kujifunza!
Kitu kimoja napenda kuweka sawa, DPP hana mamlaka ya kuchunguza. Hafanyi uchunguzi, yeye anatakiwa kuangalia uchunguzi na ushahidi na kuamua kama kuna kesi na kuendesha mashitaka. DPP Hachunguzi kabisa na Katiba haimtaki kuchunguza..........
Thanks. that is a big lesson to me. Sikuwa najua hili.