OSOKONI
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,965
- 5,336
Tukiweka ushambenga na ushabiki kando Lissu ana hoja nzito sana kuhusu mustakabali wa taifa na muungano wetu! hizo ndio hoja ambazo mwanasheria mkuu AG Alitakiwa kuzi adress na ku clarify wakati anachangia sio kumrukia prof. Shivji na kuanza kumkashifu lissu! Kuna mgongano mkubwa sana wa kisheria kati ya katiba ya zanzibar ya sasa na katiba ya JMT! Haya mambo yakiendelea kufumbiwa macho yafumuka yenyewe na madhara yake ni makubwa sana kuliko ambavo yangejadiliwa sasa!!