masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,882
- 13,168
Watanganyika tuwe na misimamo mingine ambayo ni ya kizalendo kama hoja hii ya Tundu Lissu Bungeni.
Nmeipenda hoja ya Tanganyika.
Kama Wazanzibari wameweza kujitoa katika muungano na wakawa na sera moja juu ya muungano(iwe CCM au CUF).
Gazeti la Nipashe leo 5 Julai 2012, (uk. wa 4)lina kichwa cha habari:
"Lissu ataka Serikali ya Tanganyika irudi
Na Muhibu Said, Dodoma
Kambi ya upinzani Bungeni imesema muungano wa Tanganyika na Zanzibar unakabiliwa na hatari kubwa ya kuvunjika kutokana na kitendo cha Zanzibar kujitangazia uhuru, na kwa hiyo ni wakati mwafaka sasa wa kuanzishwa tena kwa Seikali ya Tanganyika."
Mh Lissu ametoa argument yenye mantiki ya kutosha Bungeni kutetea hoja hii.
Kama walivyokubaliana kule Zanzibar(CCM na CUF) , kambi ya CCM Bungeni tunawaomba waone mantiki ya hoja ya Mh Lisuu katika hili suala la Muungano na hatma yake.
Tanganyika inabidi irudishwe kutokana na yaliyotokea Zanzibar , na kuelekea kukubalika na viongozi wote.
Wabunge wa CCM tafadhali walione hili bila woga.
Nawasilisha
Nmeipenda hoja ya Tanganyika.
Kama Wazanzibari wameweza kujitoa katika muungano na wakawa na sera moja juu ya muungano(iwe CCM au CUF).
Gazeti la Nipashe leo 5 Julai 2012, (uk. wa 4)lina kichwa cha habari:
"Lissu ataka Serikali ya Tanganyika irudi
Na Muhibu Said, Dodoma
Kambi ya upinzani Bungeni imesema muungano wa Tanganyika na Zanzibar unakabiliwa na hatari kubwa ya kuvunjika kutokana na kitendo cha Zanzibar kujitangazia uhuru, na kwa hiyo ni wakati mwafaka sasa wa kuanzishwa tena kwa Seikali ya Tanganyika."
Mh Lissu ametoa argument yenye mantiki ya kutosha Bungeni kutetea hoja hii.
Kama walivyokubaliana kule Zanzibar(CCM na CUF) , kambi ya CCM Bungeni tunawaomba waone mantiki ya hoja ya Mh Lisuu katika hili suala la Muungano na hatma yake.
Tanganyika inabidi irudishwe kutokana na yaliyotokea Zanzibar , na kuelekea kukubalika na viongozi wote.
Wabunge wa CCM tafadhali walione hili bila woga.
Nawasilisha