Ndagullachrles
Member
- Jun 20, 2023
- 55
- 52
Mbunge wa jimbo la moshi vijijini Profesa Patrick Ndakidemi licha ya kuwepo makundi hasi yanayopambana kuhakikisha yanakwamisha juhudi zake katika kuwaletea maendeleo wananchi wa jimbo lake,msomi huyo anaonekana mwaba kweli kweli,anapambana kuhakikisha anaziba masikio ili atekeleze ahadi zake kwa wananchi.
hivi karibuni amefanikisha mpango wa ujenzi wa Kituo cha Afya kwa wananchi wa kata ya Uru Kusini ambacho ni kituo cha afya cha kisasa kabisa kuwahi kujengwa ukanda huo wa juu kama picha za majengo hayo zinavyoonekana hapo chini
hivi karibuni amefanikisha mpango wa ujenzi wa Kituo cha Afya kwa wananchi wa kata ya Uru Kusini ambacho ni kituo cha afya cha kisasa kabisa kuwahi kujengwa ukanda huo wa juu kama picha za majengo hayo zinavyoonekana hapo chini