PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,725
Namaanisha muda wa mtori umefika.
Ila wewe nina kesi na wewe kubwa sana sijui utaimalizaje
Kwetu sisi, yeyote kati baba au mama akikasirika maziwa hayatoki kwa mtoto.
Hebu mwache kwanza huyu jamaa na hayo makesi yenu, mtamalizana mtoto akikua... kama ni hela sema unamdai shiing' ngapi nikufowadie fasta!-
Ila kama n mambo ya NANIHINO miye simo...jadilianeni mpate muafaka!