Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,171
- 3,346
Namuonyesha hongera anazopata toka JF, alicheka kweli uliponifukuzia hospital.PC ya nini hospital wewe??? Hebu kaa na mama kwanza hayo ma PC yako shughulika nayo usiku
Namuonyesha hongera anazopata toka JF, alicheka kweli uliponifukuzia hospital.PC ya nini hospital wewe??? Hebu kaa na mama kwanza hayo ma PC yako shughulika nayo usiku
Umeona eh kiongozi, Huyu Mzee wa Rula atakua anajisevia mwenyewe badala ya kumpelekea mama mtoto!! Shavu lazima litoke kwa staili hii!!Shavu litamtoka mbaya kabisa sasa hivi....
Namuonyesha hongera anazopata toka JF, alicheka kweli uliponifukuzia hospital.
Hilo siyo swali mkuu,Shavu litamtoka mbaya kabisa sasa hivi....
PC ya nini hospital wewe??? Hebu kaa na mama kwanza hayo ma PC yako shughulika nayo usiku
Kama ni kitendawili kwa kiswahili cha mtaani "Umenuku" yaani umekosea, si nipo hospital na mama nampa kamtori mkuu,Umeona eh kiongozi, Huyu Mzee wa Rula atakua anajisevia mwenyewe badala ya kumpelekea mama mtoto!! Shavu lazima litoke kwa staili hii!!
PC ndo nini?,...wait a minute:
PC=PRETTY CHICK!
Aisee, achana na hii maneno bana, msubiri mama apone... miezi3 sio mingi! .,
Si unakumbuka tokea jana nakukataza?
Ushauri umezingatiwa mkuu lakini nilimean laptop ili kuweka mambo sawa.PC ndo nini?,...wait a minute:
PC=PRETTY CHICK!
Aisee, achana na hii maneno bana, msubiri mama apone... miezi3 sio mingi! .,
Si unakumbuka tokea jana nakukataza?
Anna adhabu yake nimesha PM kwa kushindwa kuelewa kitu rahisi kama kileee. Nadhani kesha wahi kusema nimekwenda lakini nikamkuta hayupo!PakaJimmy
Asee kiongozi, msalimie mama hapa....mwambie nawatakie afya njema yeye na mtoto!! halafu na wewe uache kudoea mtori na supu ya mzazi umesikia eh!Kama ni kitendawili kwa kiswahili cha mtaani "Umenuku" yaani umekosea, si nipo hospital na mama nampa kamtori mkuu,
Tupo pamoja sana dada yangu.A little girl from up above
Is sent from heaven for you to love
So cherish all the early years
And raise a glass to all the cheers
Hongera kwa kupata mtoto wa kike Mzee wa Rula
:A S-baby:
Anna adhabu yake nimesha PM kwa kushindwa kuelewa kitu rahisi kama kileee. Nadhani kesha wahi kusema nimekwenda lakini nikamkuta hayupo!
Haya bwana karibu kwetuuu huku USA aitheee mekuuuu.Asee kiongozi, msalimie mama hapa....mwambie nawatakie afya njema yeye na mtoto!! halafu na wewe uache kudoea mtori na supu ya mzazi umesikia eh!
Ukisikia paa ujue imekukosa, sasa huo uzibe mpaka uombe bila shaka jimbo lina mgombea tena binafsi.Usiniwekee kauzibe basi au,,,,,,,,
Umesomeka lakini mimi sifukuzwi kwa kuwa muda eti umekwisha wa kuwaona wagonjwa au ulikusudiaje DA?Haya bana sita kasoro hii
Aika Mbe!!, Aika sana aisee!! na wewe karibu Usalule!Haya bwana karibu kwetuuu huku USA aitheee mekuuuu.
Ukisikia paa ujue imekukosa, sasa huo uzibe mpaka uombe bila shaka jimbo lina mgombea tena binafsi.Usiniwekee kauzibe basi au,,,,,,,,
Umesomeka lakini mimi sifukuzwi kwa kuwa muda eti umekwisha wa kuwaona wagonjwa au ulikusudiaje DA?