hongera kwa pongezi japo katika kutekeleza jukumu lako umekosea njia
nenda kwenye facebook page yake post pongezi zako huko maana yeye sio mpitaji huku kama ilivyo kwa wanasiasa wengine kama wakina dr. Slaa
kwa ushauri mzuri tu na wa maana, ni vema ukapeleka kule ni rahisi kwake kusoma kuliko kutuletea sie.......
and if you are thinking mmenytang'anya wapinzani (namaanisha wapinzani) hoja basi you are deadly wrong......kamasi litawatoka sana..........hoja mtakuwa mmewanyang'anya wale wanandoa wenzenu wale
watakao pita watamuambia kama amepewa pongezi. Hata mie nampa pongezi, na uhakika kuwa hata wewe kanafsi kanakubali alichokifanya. Na ninasikia kwa maamuzi hayo cdm kibao wanajiandaa kurudi kundini ccm