nipende kuuangana na watanzania wenzangu kukupongeza kwa uamuzi mgumu uliouchukua wa kusafisha chama cha mapinduzi,kwa mtu yoyote aliyekomaa kisiasa na mwenye busara hawezi kushindwa kutoa pongezi zake kwani ni viongozi wachache sana katika dunia hii wanaoweza kusafisha chama tena kwa kuondoa viongozi wa juu kabisa,hili liwe fundisho kwa wapinzani hapa nchini kwamba mabadiliko ndani ya chama yanawezekana ikiwa tuu watatumia busara.
sisi vijana wako tuko pamoja katika ujenzi wa nchi hii,Mungu akubariki na akulinde siku zote.
Mkuu Saigon huwa unanivunja mbavu kwa kicheko pindi nionapo majibu yako kwa watu kama hawa akina Kashaga....hakika unawaweza sana!Mimi kati ya kifo na CCM mimi nitachaguwa kifo. kama kuoga ni usafi taulo lisingechafuka, CCM ni ile ile, ni chama ambacho kiu yake ni kushinda uchaguzi tu basi, hakipo kwaajili ya kuwaletea watanzania maendeleo. mpaka leo ahadi ya kikwete aliyotimiza ni baadhi ya vibajaj tu na sio vyote, kwahiyo mtu makini kama mimi huwezi kunitoa kwenye mambo ya msingi ukanieleza habari za gamba, hizo ni information za kushare na watu wajinga na sio mimi.
Nyoka atabaki kuwa nyoka hata akuchunwa ngozi! Haliwezi kuwa jusi ! Dawa CCM ikate kichwa.......hawana mwenyekiti
nipende kuuangana na watanzania wenzangu kukupongeza kwa uamuzi mgumu uliouchukua wa kusafisha chama cha mapinduzi,kwa mtu yoyote aliyekomaa kisiasa na mwenye busara hawezi kushindwa kutoa pongezi zake kwani ni viongozi wachache sana katika dunia hii wanaoweza kusafisha chama tena kwa kuondoa viongozi wa juu kabisa,hili liwe fundisho kwa wapinzani hapa nchini kwamba mabadiliko ndani ya chama yanawezekana ikiwa tuu watatumia busara.
sisi vijana wako tuko pamoja katika ujenzi wa nchi hii,Mungu akubariki na akulinde siku zote.
Ooooh jamani!... Rev.masanilo umerudi? umefunguliwa lini kutoka jela? karibu sana mkuu!Nyoka atabaki kuwa nyoka hata akuchunwa ngozi! Haliwezi kuwa jusi ! Dawa CCM ikate kichwa.......hawana mwenyekiti
Kwa hakika JK anastahili pongezi za kila anayeamini "Bila CCM imara (chama dola), Nchi inakwenda mrama". Kwa hatua iliyofikiwa, tumpongeze ila tusiichie hapo. Tumwongezee msukumo kuona azimio la kuwaondoa mafisadi katika nyadhifa zao ndani ya chama linatimia katika muda uliowekwa. Ikitokea ukaidi wowote au mabadiliko yoyote kuwabakiza hao mafisadi; anguko la imani inayoanza kurejea kwa ccm na M/Kiti wake litakuwa kubwa zaidi kuliko ilivyo sasa. Na ukaidi huo unaweza kupelekea misuguano ndani ya chama kuwa ya Ki-Mafia zaidi kiasi cha hata kumwondoa M/Kiti kwa stahili ya AKUANZAE, MMALIZE!
Nyoka atabaki kuwa nyoka hata akuchunwa ngozi! Haliwezi kuwa jusi ! Dawa CCM ikate kichwa.......hawana mwenyekiti
nipende kuuangana na watanzania wenzangu kukupongeza kwa uamuzi mgumu uliouchukua wa kusafisha chama cha mapinduzi,kwa mtu yoyote aliyekomaa kisiasa na mwenye busara hawezi kushindwa kutoa pongezi zake kwani ni viongozi wachache sana katika dunia hii wanaoweza kusafisha chama tena kwa kuondoa viongozi wa juu kabisa,hili liwe fundisho kwa wapinzani hapa nchini kwamba mabadiliko ndani ya chama yanawezekana ikiwa tuu watatumia busara.
sisi vijana wako tuko pamoja katika ujenzi wa nchi hii,Mungu akubariki na akulinde siku zote.
Mkuu hivi kile kidude cha groan mnacho tu nyie premium members eeh? Nakitafuta ile mbaya! Hawa jamaa si ndo wamerudi kutoka dodoma...kila mara ushuzi tuu...watu tusitulie jamvini jamanii!