Hongera Lowassa, Sitta, Membe na wengine mfuate nyayo

naninibaraka

JF-Expert Member
Oct 13, 2011
910
668
Mtakumbuka kuwa hivi karibuni mh.Edward lowassa aliitisha mkutano na waandishi wa habari kijijini kwake Ngarash-Monduli,pamoja na mambo mengine alizungumzia masuala mbalimbali ikiwemo siasa,uchumi na jamii kwa ujumla,baada ya hotuba ile nilikaa nikaitafakari kwa kina nikajaribu kumlinganisha na wanasiasa wengine kama sitta,membe na wengine nikagundua mh lowassa ana uwezo mkubwa sana,anaonekana ana uelewa mkubwa sana kwenye maeneo aliyozungumzia tofauti na wanasiasa wengine kama sitta na Membe ambao wamekuwa wakipika majungu yasiyo na tija,Lowassa si sehemu ya baraza la mawazir la JK,Membe na Sitta ni miongoni mwa waziri wa JK ambao kwa sasa ni mzigo kwa serikali,hawamshauri Rais ipasavyo badala yake wamekuwa wakizungumza hovyo bila mpangalio,Lowassa ameonyesha ni wapi mambo hayaendi sawasawa amejaribu kutoa mifano mbali mbali ya nchi nyingine zilivyoathirika kwa uchumi na hatua mbalimbali zinazochukuliwa kukabliana na matatizo ya uchumi,Membe kwa nafasi ya uwazir wa mambo ya nnje ya nchi amepata nafasi ya kusafir nchi nyingi pamoja na mh rais lkn hatuoni jipya analokuja na vile vile mh Sitta,mh Membe na Sitta mtuambie mna lipi la kujivunia kwenye wizara mnazoziongoza au ni lipi mnajivunia mlilomshaur mh rais likazaa matunda? Lowassa amejaribu kuwaonyesha njia msipike majungu pokeeni mawazo yake kama changamoto,wazungu wana msemo usemao"ACTION SPEAKS LOUDER THAN WORDS" hatutaki maneno pigeni mzigo tuone,kufanya mikutano na kuonekana kwenye vyombo vya habari siyo maendeleo tunahitaji vitendo!
Hongera Mh Lowassa kwa kuonyesha njia...
Nawasilisha
 
Mtakumbuka kuwa hivi karibuni mh.Edward lowassa aliitisha mkutano na waandishi wa habari kijijini kwake Ngarash-Monduli,pamoja na mambo mengine alizungumzia masuala mbalimbali ikiwemo siasa,uchumi na jamii kwa ujumla,baada ya hotuba ile nilikaa nikaitafakari kwa kina nikajaribu kumlinganisha na wanasiasa wengine kama sitta,membe na wengine nikagundua mh lowassa ana uwezo mkubwa sana,anaonekana ana uelewa mkubwa sana kwenye maeneo aliyozungumzia tofauti na wanasiasa wengine kama sitta na Membe ambao wamekuwa wakipika majungu yasiyo na tija,Lowassa si sehemu ya baraza la mawazir la JK,Membe na Sitta ni miongoni mwa waziri wa JK ambao kwa sasa ni mzigo kwa serikali,hawamshauri Rais ipasavyo badala yake wamekuwa wakizungumza hovyo bila mpangalio,Lowassa ameonyesha ni wapi mambo hayaendi sawasawa amejaribu kutoa mifano mbali mbali ya nchi nyingine zilivyoathirika kwa uchumi na hatua mbalimbali zinazochukuliwa kukabliana na matatizo ya uchumi,Membe kwa nafasi ya uwazir wa mambo ya nnje ya nchi amepata nafasi ya kusafir nchi nyingi pamoja na mh rais lkn hatuoni jipya analokuja na vile vile mh Sitta,mh Membe na Sitta mtuambie mna lipi la kujivunia kwenye wizara mnazoziongoza au ni lipi mnajivunia mlilomshaur mh rais likazaa matunda? Lowassa amejaribu kuwaonyesha njia msipike majungu pokeeni mawazo yake kama changamoto,wazungu wana msemo usemao"ACTION SPEAKS LOUDER THAN WORDS" hatutaki maneno pigeni mzigo tuone,kufanya mikutano na kuonekana kwenye vyombo vya habari siyo maendeleo tunahitaji vitendo!
Hongera Mh Lowassa kwa kuonyesha njia...
Nawasilisha
huna cha kupost?Toa takataka zako hapa.Kawadanganye magamba wenzio,MITANZANIA mingine sijui ikoje.shame on you.
 
huna cha kupost?Toa takataka zako hapa.Kawadanganye magamba wenzio,MITANZANIA mingine sijui ikoje.shame on you.

mkuu huyu m2 bila shaka ametumwa na ni miongoni mwa wanamtandao wanaoteneza njia ya kumsafisha Lowassa, maana jamaa bado anaamini ataukwaa urais 2015.
 
Sina uhakika kama Lowasa baada ya shule ya kipindi hicho amewahi enda tena kujinoa. Alichokieleza hakieleweki kabisa. Sina uhakika na ubongo wake unavyofikiri. NAye anawania uraisi wa Wadanganyika. Taabu kwelikweli.
 
Ukiona mtu anamsapoti Lowassa basi ujue anakamilisha ule msemo wa wahenga kwamba kwenye vipofu chongo ndo mfalme wao. JF inashuhudia kwa mara nyingine mtu mwenye below avarage mind akijaribu ku-justify hela aliyolipwa kumsafisha. Hizi ni akili za akina Serukamba, Mhanga na wengine wenzake waliojitwisha mzoga huu. Tatizo hili la kichwa linahitaji kupumzika tu.
 
Ama kweli nimeamini watanzania hatujui kusoma yet hata kuangalia picha! Ushamba wa JF members hushambulia mtu badala ya kujadili hoja! Nawaita wapumbavu wazembe mafisadi wa fikra wote wanaobeza hoja nzito kwa kisingizio na chuki dhidi ya mtoa hoja.

Kamwe sitegemei wala sikutegemea JF wawe mstari wa mbele kumbeza Lowassa badala ya kujadili mantiki ya kile alichokisema, hii siyo haki wala estaarabu kwani twahitaji maendeleo na hoja za maendeleo zaweza tolewa na yeyote cha msingi ni mtnzania bila kujali kama akili zetu zinatutuma ni nani

najua tupo wengi hatupendi yaliyotokea kabla 2005 na baada ya 2005 hadi 2008, lakini kwa faida ya taifa ni vema tukatazama uzio na umuhimu wa hoja yenyewe badala ya kukurupuka na kushambulia mtu binafsi!

Hii JF haikuanzishwa kwa ajili ya movement against some one or a certain party, bali ilianzishwa kwa ajili ya kuibua mijadala yenye tija kwa maendeleo ya kiuchumi, kisiasa na kijamii ya taifa la Tanzania.

Inaniuma, mjadala unaanzishwa na mwana JF mwenzetu ambaye tunaamini ana fikra pevu kama makusudi ya uanzishwaji wa forums hizi yeti anaishia kubezwa na matusi juu yake kwamba ni fisadi, je huu si ndio ufisadi mkubwa kabisa.

Haijalishi hoja ni nzito au nyepesi kwa kiasi gani, lakini cha msingi tu ipo hapa lazima tusugue fikra zetu kuitafutia mwelekeo sahihi maana mtoaji ana neno labda tu makosa ya uwasilishi, na ndiyo maana akaiweka. kumkosoa mtu kwa vijembe vingi sana, si sawa.

Naomba moderator utoe mwongozo na kama JF ni kwa ajili ya kumov against some people and parties then weka wazi ili wengine tuwapishe mwendelee na kijiwe chenu. Inaniuma kuona hoja za wanaJF zikibezwa tu kwa sababu ana hoja yenye mwelekeo unaoonekana machoni pa wengi kama kwenda kinyume na imani (hiden) ya dini hii JF

Nawasilisha
 
Hivi upotoshaji huu unamfanyia nani ambaye hajui kusoma magazeti au hana macho ya kuangalia luninga. Labda wewe umetumwa kuongea usichokifahamu lakini kwa taarifa yako huyu bwana amejipiga mshikaki na kwa sababu uwezo wa kupima damage ni mdogo, watu kama nyie ambao mlitakiwa kumsikitikia ndo mnashabikia maumivu ya mwenzenu. Kwako wewe kusema kwamba hawakukutana barabarani na rais ndo uelewa mpana wa mambo. Let me tell you "a quiet fool is considered wise".
 
Ama kweli nimeamini watanzania hatujui kusoma yet hata kuangalia picha! Ushamba wa JF members hushambulia mtu badala ya kujadili hoja! Nawaita wapumbavu wazembe mafisadi wa fikra wote wanaobeza hoja nzito kwa kisingizio na chuki dhidi ya mtoa hoja.

Kamwe sitegemei wala sikutegemea JF wawe mstari wa mbele kumbeza Lowassa badala ya kujadili mantiki ya kile alichokisema, hii siyo haki wala estaarabu kwani twahitaji maendeleo na hoja za maendeleo zaweza tolewa na yeyote cha msingi ni mtnzania bila kujali kama akili zetu zinatutuma ni nani

najua tupo wengi hatupendi yaliyotokea kabla 2005 na baada ya 2005 hadi 2008, lakini kwa faida ya taifa ni vema tukatazama uzio na umuhimu wa hoja yenyewe badala ya kukurupuka na kushambulia mtu binafsi!

Hii JF haikuanzishwa kwa ajili ya movement against some one or a certain party, bali ilianzishwa kwa ajili ya kuibua mijadala yenye tija kwa maendeleo ya kiuchumi, kisiasa na kijamii ya taifa la Tanzania.

Inaniuma, mjadala unaanzishwa na mwana JF mwenzetu ambaye tunaamini ana fikra pevu kama makusudi ya uanzishwaji wa forums hizi yeti anaishia kubezwa na matusi juu yake kwamba ni fisadi, je huu si ndio ufisadi mkubwa kabisa.

Haijalishi hoja ni nzito au nyepesi kwa kiasi gani, lakini cha msingi tu ipo hapa lazima tusugue fikra zetu kuitafutia mwelekeo sahihi maana mtoaji ana neno labda tu makosa ya uwasilishi, na ndiyo maana akaiweka. kumkosoa mtu kwa vijembe vingi sana, si sawa.

Naomba moderator utoe mwongozo na kama JF ni kwa ajili ya kumov against some people and parties then weka wazi ili wengine tuwapishe mwendelee na kijiwe chenu. Inaniuma kuona hoja za wanaJF zikibezwa tu kwa sababu ana hoja yenye mwelekeo unaoonekana machoni pa wengi kama kwenda kinyume na imani (hiden) ya dini hii JF

Nawasilisha

Huu si wakati wa kuvumilia upuuzi eti in the name of kuvumiliana. A spade should be designated as such. Hapa tunachojadili ni hoja ya huyu mtu and in simple terms tunachosema ni kwamba ni hoja tasa na ambayo inastahili kuwa dismissed with the contempt it deserves na sidhani kama Mods wana uwezo wa kuvumilia unafiki. Hoja iliyotolewa na Lowassa ndiyo inayojadiliwa humu na mojawapo ni kusema hawakukutana barabarani na Rais. Unataka hiyo iwekwe vipi ili mantiki yake iwe tofauti na alivyomaanisha? hata siku moja hapa hatujadili personalities, na ndiyo maana urefu au ufupi wa mtu, mvi zake, ulemavu wake, uchamungu wake, ushetani wake na mengine hatuhusiki nayo. Lakini akitoa hoja potofu au inayopingana na kile anachokitenda au kusingizia uadilifu wakati si kweli, hilo tutalijadili kwa sababu lina relevance kwenye hoja yenyewe.

Hapa hakuna ulichotetea. Hoja haina mashiko na sisi tunatoa msaada ili watu wakija humu wajiandae na waelewe JF siyo uwanja wa mbumbumbu na wala mtu hatakiwi kujigeuza msanii ambaye kazi yake ni kuburudisha watu hata pasipostahili. Utetezi wako wenye makengeza hautapata manunuzi hapa.
 
Sasa nimeanza kuamini zile fununu kuwa kuna waandishi wamenunuliwa kumsafisha EL kabla ya 2013, huyu ni moja wao na sitamshangaa ila niseme kuwa mimi si mtetezi wa Sitta wala Membe na wala mtu yeyote ila naomba atuambie huyu mtumwa Lowasa alishawahi mumshauri nini JK ambacho kilizaa matunda?? huyu si ndo alikuwa waziri mkubwa kuliko wote? huyu si ndo alijiuzulu kwa madudu aliyoyafanya? Huyu si ndo alitenga 8billions kuhakikisha kuwa anakuwa rais 2015? au huyu mtoa maada ni kati ya waliofaidika na fundi hilo?
Pamoja na kwamba nchi yetu imeshakuwa ya ajabu kiasi hiki lakini EL mbunge wa monduli hafai kuwa rais wa nchi yyte dunian vinginevyo nchi hiyo itajutia historia yake
 
Mtakumbuka kuwa hivi karibuni mh.Edward lowassa aliitisha mkutano na waandishi wa habari kijijini kwake Ngarash-Monduli,pamoja na mambo mengine alizungumzia masuala mbalimbali ikiwemo siasa,uchumi na jamii kwa ujumla,baada ya hotuba ile nilikaa nikaitafakari kwa kina nikajaribu kumlinganisha na wanasiasa wengine kama sitta,membe na wengine nikagundua mh lowassa ana uwezo mkubwa sana,anaonekana ana uelewa mkubwa sana kwenye maeneo aliyozungumzia tofauti na wanasiasa wengine kama sitta na Membe ambao wamekuwa wakipika majungu yasiyo na tija,Lowassa si sehemu ya baraza la mawazir la JK,Membe na Sitta ni miongoni mwa waziri wa JK ambao kwa sasa ni mzigo kwa serikali,hawamshauri Rais ipasavyo badala yake wamekuwa wakizungumza hovyo bila mpangalio,Lowassa ameonyesha ni wapi mambo hayaendi sawasawa amejaribu kutoa mifano mbali mbali ya nchi nyingine zilivyoathirika kwa uchumi na hatua mbalimbali zinazochukuliwa kukabliana na matatizo ya uchumi,Membe kwa nafasi ya uwazir wa mambo ya nnje ya nchi amepata nafasi ya kusafir nchi nyingi pamoja na mh rais lkn hatuoni jipya analokuja na vile vile mh Sitta,mh Membe na Sitta mtuambie mna lipi la kujivunia kwenye wizara mnazoziongoza au ni lipi mnajivunia mlilomshaur mh rais likazaa matunda? Lowassa amejaribu kuwaonyesha njia msipike majungu pokeeni mawazo yake kama changamoto,wazungu wana msemo usemao"ACTION SPEAKS LOUDER THAN WORDS" hatutaki maneno pigeni mzigo tuone,kufanya mikutano na kuonekana kwenye vyombo vya habari siyo maendeleo tunahitaji vitendo!
Hongera Mh Lowassa kwa kuonyesha njia...
Nawasilisha

huitaji hata kufika darasa la nne na kuanza kutumia kalamu ya wino kujua huyu ni kibaraka wa EL ..Hivi unajua kwamba maudhui ya mikutano yote ilikua ni tofauti sasa hutapimaje mahojiano yenye maudhui tofauti na kusema haya ni mazuri kuliko haya. unaweza kuwa siyo kibaraka lakini ukawa ni mbumbumbu maana yake hata ukibaraka unahitaji kaakili kadogo
 
Hongera EL, nakukubali technic zako, 2015 wataisoma namba.
 
Ama kweli nimeamini watanzania hatujui kusoma yet hata kuangalia picha! Ushamba wa JF members hushambulia mtu badala ya kujadili hoja! Nawaita wapumbavu wazembe mafisadi wa fikra wote wanaobeza hoja nzito kwa kisingizio na chuki dhidi ya mtoa hoja.

Kamwe sitegemei wala sikutegemea JF wawe mstari wa mbele kumbeza Lowassa badala ya kujadili mantiki ya kile alichokisema, hii siyo haki wala estaarabu kwani twahitaji maendeleo na hoja za maendeleo zaweza tolewa na yeyote cha msingi ni mtnzania bila kujali kama akili zetu zinatutuma ni nani

najua tupo wengi hatupendi yaliyotokea kabla 2005 na baada ya 2005 hadi 2008, lakini kwa faida ya taifa ni vema tukatazama uzio na umuhimu wa hoja yenyewe badala ya kukurupuka na kushambulia mtu binafsi!

Hii JF haikuanzishwa kwa ajili ya movement against some one or a certain party, bali ilianzishwa kwa ajili ya kuibua mijadala yenye tija kwa maendeleo ya kiuchumi, kisiasa na kijamii ya taifa la Tanzania.

Inaniuma, mjadala unaanzishwa na mwana JF mwenzetu ambaye tunaamini ana fikra pevu kama makusudi ya uanzishwaji wa forums hizi yeti anaishia kubezwa na matusi juu yake kwamba ni fisadi, je huu si ndio ufisadi mkubwa kabisa.

Haijalishi hoja ni nzito au nyepesi kwa kiasi gani, lakini cha msingi tu ipo hapa lazima tusugue fikra zetu kuitafutia mwelekeo sahihi maana mtoaji ana neno labda tu makosa ya uwasilishi, na ndiyo maana akaiweka. kumkosoa mtu kwa vijembe vingi sana, si sawa.

Naomba moderator utoe mwongozo na kama JF ni kwa ajili ya kumov against some people and parties then weka wazi ili wengine tuwapishe mwendelee na kijiwe chenu. Inaniuma kuona hoja za wanaJF zikibezwa tu kwa sababu ana hoja yenye mwelekeo unaoonekana machoni pa wengi kama kwenda kinyume na imani (hiden) ya dini hii JF

Nawasilisha

nakubaliana nawew.tunatakiwa kujadili sio kupingapinga kila kitu
 
Mtakumbuka kuwa hivi karibuni mh.Edward lowassa aliitisha mkutano na waandishi wa habari kijijini kwake Ngarash-Monduli,pamoja na mambo mengine alizungumzia masuala mbalimbali ikiwemo siasa,uchumi na jamii kwa ujumla,baada ya hotuba ile nilikaa nikaitafakari kwa kina nikajaribu kumlinganisha na wanasiasa wengine kama sitta,membe na wengine nikagundua mh lowassa ana uwezo mkubwa sana,anaonekana ana uelewa mkubwa sana kwenye maeneo aliyozungumzia tofauti na wanasiasa wengine kama sitta na Membe ambao wamekuwa wakipika majungu yasiyo na tija,Lowassa si sehemu ya baraza la mawazir la JK,Membe na Sitta ni miongoni mwa waziri wa JK ambao kwa sasa ni mzigo kwa serikali,hawamshauri Rais ipasavyo badala yake wamekuwa wakizungumza hovyo bila mpangalio,Lowassa ameonyesha ni wapi mambo hayaendi sawasawa amejaribu kutoa mifano mbali mbali ya nchi nyingine zilivyoathirika kwa uchumi na hatua mbalimbali zinazochukuliwa kukabliana na matatizo ya uchumi,Membe kwa nafasi ya uwazir wa mambo ya nnje ya nchi amepata nafasi ya kusafir nchi nyingi pamoja na mh rais lkn hatuoni jipya analokuja na vile vile mh Sitta,mh Membe na Sitta mtuambie mna lipi la kujivunia kwenye wizara mnazoziongoza au ni lipi mnajivunia mlilomshaur mh rais likazaa matunda? Lowassa amejaribu kuwaonyesha njia msipike majungu pokeeni mawazo yake kama changamoto,wazungu wana msemo usemao"ACTION SPEAKS LOUDER THAN WORDS" hatutaki maneno pigeni mzigo tuone,kufanya mikutano na kuonekana kwenye vyombo vya habari siyo maendeleo tunahitaji vitendo!
Hongera Mh Lowassa kwa kuonyesha njia...
Nawasilisha
hizi mbio za urais zitatufanya tuwe wajinga tusipokuwa wajanja.
 
Ama kweli nimeamini watanzania hatujui kusoma yet hata kuangalia picha! Ushamba wa JF members hushambulia mtu badala ya kujadili hoja! Nawaita wapumbavu wazembe mafisadi wa fikra wote wanaobeza hoja nzito kwa kisingizio na chuki dhidi ya mtoa hoja.

Kamwe sitegemei wala sikutegemea JF wawe mstari wa mbele kumbeza Lowassa badala ya kujadili mantiki ya kile alichokisema, hii siyo haki wala estaarabu kwani twahitaji maendeleo na hoja za maendeleo zaweza tolewa na yeyote cha msingi ni mtnzania bila kujali kama akili zetu zinatutuma ni nani

najua tupo wengi hatupendi yaliyotokea kabla 2005 na baada ya 2005 hadi 2008, lakini kwa faida ya taifa ni vema tukatazama uzio na umuhimu wa hoja yenyewe badala ya kukurupuka na kushambulia mtu binafsi!

Hii JF haikuanzishwa kwa ajili ya movement against some one or a certain party, bali ilianzishwa kwa ajili ya kuibua mijadala yenye tija kwa maendeleo ya kiuchumi, kisiasa na kijamii ya taifa la Tanzania.

Inaniuma, mjadala unaanzishwa na mwana JF mwenzetu ambaye tunaamini ana fikra pevu kama makusudi ya uanzishwaji wa forums hizi yeti anaishia kubezwa na matusi juu yake kwamba ni fisadi, je huu si ndio ufisadi mkubwa kabisa.

Haijalishi hoja ni nzito au nyepesi kwa kiasi gani, lakini cha msingi tu ipo hapa lazima tusugue fikra zetu kuitafutia mwelekeo sahihi maana mtoaji ana neno labda tu makosa ya uwasilishi, na ndiyo maana akaiweka. kumkosoa mtu kwa vijembe vingi sana, si sawa.

Naomba moderator utoe mwongozo na kama JF ni kwa ajili ya kumov against some people and parties then weka wazi ili wengine tuwapishe mwendelee na kijiwe chenu. Inaniuma kuona hoja za wanaJF zikibezwa tu kwa sababu ana hoja yenye mwelekeo unaoonekana machoni pa wengi kama kwenda kinyume na imani (hiden) ya dini hii JF

Nawasilisha
point kabisa mkuu! wewe umesema ! siku moja kulikuwa na mkutano wa CHADEMA Mwanga. Viongozi wa wilaya wakatangaza kuwa anakuja G. Lema kumbe anakuja Basili lema. Mkutano haukufana kuna mtu akasema wamefunika kumbe uwongo mtupu! nikamweleza akanishambulia tena sana. WanaCDM mfikie mahali mseme ukweli tusifarijiane kwa vitu ambavyo havipo. Tunamdanganya nani!
 
Ukiona mtu anamsapoti Lowassa basi ujue anakamilisha ule msemo wa wahenga kwamba kwenye vipofu chongo ndo mfalme wao. JF inashuhudia kwa mara nyingine mtu mwenye below avarage mind akijaribu ku-justify hela aliyolipwa kumsafisha. Hizi ni akili za akina Serukamba, Mhanga na wengine wenzake waliojitwisha mzoga huu. Tatizo hili la kichwa linahitaji kupumzika tu.

.....james ole millya,benno malisa....ongeza na wengine
 
Wabongo tunapenda kukurupuka, sasa nyinyi mmeskia richmond tayari mmekimbilia Lowasa, Binafsi mm namkubari Lowasa kwanza nimuwajibikaji, hivyo kivyovyote Ogopa mtu wa namna hiyo maana ukifanya mchezo lazima atakuwajibisha papo hapo I wish angetuongoza yeye amini usiamini watu wangekuwa wamenyooka.ccm kuna mamtu mengi yana haribu chama alafu viongozi wanajua kuwa nimanachama kumbe ni maharibifu yanaharibu chama cha watu na kwavile hakuna kufatilia basi chama kinapoteza mvuto. Chadema wako makini sana nawasifu ukileta ujinga wanakufukuza huku wakikutazama machoni.
Kiongozi gani mjasiri tuliekuwanae kama Ngoyayi Lowasa?
 
Back
Top Bottom