Hongera kwa Cameraman wa TBC1, JWTZ ila pole sana kwa huyu Mlinzi Mlalavi wa Rais JPM kutoka PSU

Katika Lugha ya Kiswahili hatuna neno lako la Khiyana ambalo umeliandika hapo bali tuna neno sahihi la Hiyana. Pumbavu. Unajifanya unajua na Mkosoaji Mkuu wakati kumbe ni Duduna ( Juha ) Mwandamizi tu kama wengineo.
Unaonesha wazi kuwa Kiswahili chako ni cha shule za kusomea ujinga. Kiswahili ni lugha mama kwangu.

Hiyana = Khiyana
Haini = Khain

Ningekupa darsa zaidi kuhusu chanzo cha maneno hayo lakini nakupa "homework" kidogo, nenda kachimbue kuhusu "Cain" wa kwenye Bible halafu urudi kueleza jina hilo Kihebrania linatamkwaje na uje utupe kisa cha Cain. Pia Ukisoma kwenye Biblia ukikuta anaitwa "Haini" uje kusema.

Huwa sikisii.

Nnakuuliza...

Ulijuwaje kama huyo mlinzi wa Rais ni "mlalavi"? Uliwahi kulala nae mwanamme mwenzio?
 
Huyu Jamaa nina muda mrefu sana sijamuona hapa JF na nakumbuka Mada kama hizi huwa anajitahidi mno Kuzichangia na hata hii naamini sasa hivi angekuwa anaichangia mno. Asante Kiongozi kwa Kumtaja hapa kwani nilikuwa nimeshamsahau.
Hujajiona muda mrefu au sio.
 
Kwa mara ya Kwanza kabisa nitoe pongezi zangu za dhati kabisa kwa Cameraman wa TBC1 hasa aliyekuwepo zamu leo huko Chato Geita kwa Kitendo chake cha Kuonyesha Uweledi wake na kutofanya Kazi yake Kinafiki ambapo kila mara alikuwa akiuonyesha Udhaifu wa Mmoja wa Walinzi wa Rais JPM ambaye ni Mlalavi ( Mpenda Kusinzia / Mpono ) sana awapo eneo la Tukio.
Pili nizidi Kutoa pongezi zangu kwa Jeshi la Wananchi wa Tanzania ( JWTZ ) hasa kwa Kuzalisha Wapiganaji ( Wanajeshi ) ambao kiukweli wamekuwa wameiva hasa na kweli Kimedani ambapo mfano wake amekuwa ni huyu Mpambe wa Rais ( ADC ) ambaye Kiukweli tokea awe hapo baada ya Kuchukua nafasi ya aliyekuwepo sijawahi Kuona akifanya Makosa ya Kiulinzi na Kiusalama kama ambavyo amekuwa akiyafanya Mmoja wa Walinzi wa Rais JPM anayetokea PSU.
Tatu na mwisho kabisa nitoe pole zangu kubwa kwa Kikosi cha Ulinzi wa Rais PSU chini ya Idara ya Usalama wa Taifa nchini ( TISS ) hasa kwa kuzidi Kuendelea Kulilea tatizo la Kimsingi kabisa na la Kiusalama la huyu Mmoja wa Walinzi wa Rais JPM ambaye ni Mlalavi ( Mpenda Kusinzia hovyo ) awapo Kazini hali ambayo Kiusalama sidhani kama ina Afya bali ni mwendelezo wa Udhaifu.
Kama kawaida huyu Mlinzi Mlalavi wa Rais JPM na leo tena amerudia Udhaifu wake ule ule wa Kulala na tokea nianze Kumuona akipenda Kusinzia nadhani hii ya leo kule Chato Geita atakuwa amevunja Rekodi kwani alikuwa akisinzia kwa Intervals japo namsifu kwa kuwa Mjanja kwani kila akisinzia tu na akishtuka utamuona anajifanya yupo attentive kisha anazuga kidogo kwa Kumuangalia Bosi wake kisha anaendelea tu na Ulalavi ( Upono ) wake.
Uzi huu wala hauna nia ya Kumuharibia hicho Kibarua chake na natambua fika kuwa Kiutendaji yupo vizuri tena sana tu na ndiyo maana PSU wakaamua kumpa hilo Jukumu zito la kuwa Mmoja wa Walinzi wa karibu sana wa Rais JPM ila nadhani huyu Mlinzi atakuwa na matatizo ambayo labda Mimi, Wewe na Yule hatujui hivyo basi Wahusika waliangalie hili kwa haraka na walitatue kwani kwa Kitendo chake cha kila mara Kuonekana akisinzia hovyo tena mbele ya Camera huku Watanzania wote wakiwa wamempa dhamana ya Kiulinzi ya Rais wao kiukweli inatia mno shaka.
Najua kuna wale wenye Viherehere, Visebusebu na Viroho Papa watakuja mbio hapa na kudhani kuwa labda nimekurupuka tu au nimebuni haya Madai hivyo basi kabla hamjapoteza muda wenu rejeeni Footage ya TBC1 leo huko Chato Geita hasa kuanzia pale Yule Kijana wa Kisukuma alipokuwa akitumbuiza ambapo ilikuwa ni Saa 6 na dakika 5 ambapo huyu Mlinzi alianza Kulala Saa 6 na dakika 13 akaja Kushtuka na Kuzuga Saa 6 na dakika 17 kisha akaendelea tena na huo Utaratibu wake ambapo Saa 6 na dakika 19 hadi na dakika 21 wakati Wanakwaya wa Kwaya ya AIC Mganza wakiimba kwa Hisia alisinzia tena na nadhani kuna Wakubwa zake walimshtua kwani kuna muda alionekana ameshtuka hivi na kama anapokea Maelekezo fulani kupitia Mawasiliano yao ya Siri na tangia hapo Umakini wake ukarejea.
Kinachonishangaza zaidi ni kwamba huyu Mlinzi Mlalavi ( Mpono ) wa Rais JPM hakuanza utaratibu wake huu wa Kupenda Kusinzia leo, jana wala juzi bali ndiyo umekuwa utaratibu wake lakini nashangaa Wahusika ( Wenye Mamlaka ) wala hawashtushwi nalo. Hii siyo Sifa kwa Kikosi cha Ulinzi wa Rais na utaratibu huu wa huyu Mlinzi ni kama vile anadhakidhalilisha hicho Kikosi cha PSU ambacho hajiwahi kuwa na Sifa hii mbaya tokea Awamu zote kuanzia ile ya Hayati Baba wa Taifa Nyerere, Mzee Mwinyi, Mzee Mkapa, Mzee Kikwete ila haya Maajabu tumeanza kuyaona Awamu hii.
Kama kwa huu Uzi wangu An Eagle nitabatizwa kwa Kuitwa Mchochezi au Msaliti au Wakala wa Mabeberu au siyo Mzalendo sitojali na pengine nitawashukuru pia ila nadhani huu Uzi wangu unaweza ukawa na Msaada na Suluhisho kwa hili tatizo kwani naamini kuwa Kiusalama hiki si Kitendo kizuri na pengine kama wakitokea Watu wenye nia mbaya na Rais wetu basi wanaweza Kuutumia huo Udhaifu wa huyo Mlinzi wa hatimaye wakafanya yao na Historia mpya Kutengenezwa Tanzania kitu ambacho sipendi kije kutokea na wala sikiombei kitokee.
PSU liangalieni hili Kiumakini na mlifanyie Kazi kwani linachafua sana Taswira yenu kama Kikosi chenye Dhamana kubwa ya Ulinzi wa Mheshimiwa Rais wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu John Pombe Magufuli. Sitaki kuwapangieni nini cha Kufanya kwani hata uwezo huo sina na ukizingatia Mimi ni Mtu wa kawaida tena mno ila najiuliza na mpaka sasa nashangaa yupo wapi kule Mlinzi mwenye Kutoka Zanzibar ambaye nasikia hivi sasa ni RSO sijui DSO huko Mkoani Kilimanjaro. Ukimuangalia Kimedani Umakini wa Kiutendaji wa Yule Jamaa ( huyo Mzanzibari ) ana uwezo mkubwa sana kuliko huyu Mlalavi ( Mpono ) na huwa anakuwa hana Sifa wala Mashauzi bali muda wote alikuwa akijua Majukumu yake na Itifaki ilikuwa imempendeza na aliifanya vyema kabisa Kazi yake.
Yangu ni hayo tu.
Pole Sana Mkuu, ile ni moja ya style wanayoitumia wawapo kazini, mapoyoyo Kama ww ni vigumu Sana kuelewa
 
Naona hii kazi unaitamani sana maana kutwa kutujia na id’s , tofauti kuhusiana na hawa walinzi,mara ....mbona yule simuoni,mara mbona yule anakitambi,mara ooh yule mbona ana macho madogo!!!!
 
Kwa mara ya Kwanza kabisa nitoe pongezi zangu za dhati kabisa kwa Cameraman wa TBC1 hasa aliyekuwepo zamu leo huko Chato Geita kwa Kitendo chake cha Kuonyesha Uweledi wake na kutofanya Kazi yake Kinafiki ambapo kila mara alikuwa akiuonyesha Udhaifu wa Mmoja wa Walinzi wa Rais JPM ambaye ni Mlalavi ( Mpenda Kusinzia / Mpono ) sana awapo eneo la Tukio.

Pili nizidi Kutoa pongezi zangu kwa Jeshi la Wananchi wa Tanzania ( JWTZ ) hasa kwa Kuzalisha Wapiganaji ( Wanajeshi ) ambao kiukweli wamekuwa wameiva hasa na kweli Kimedani ambapo mfano wake amekuwa ni huyu Mpambe wa Rais ( ADC ) ambaye Kiukweli tokea awe hapo baada ya Kuchukua nafasi ya aliyekuwepo sijawahi Kuona akifanya Makosa ya Kiulinzi na Kiusalama kama ambavyo amekuwa akiyafanya Mmoja wa Walinzi wa Rais JPM anayetokea PSU.

Tatu na mwisho kabisa nitoe pole zangu kubwa kwa Kikosi cha Ulinzi wa Rais PSU chini ya Idara ya Usalama wa Taifa nchini ( TISS ) hasa kwa kuzidi Kuendelea Kulilea tatizo la Kimsingi kabisa na la Kiusalama la huyu Mmoja wa Walinzi wa Rais JPM ambaye ni Mlalavi ( Mpenda Kusinzia hovyo ) awapo Kazini hali ambayo Kiusalama sidhani kama ina Afya bali ni mwendelezo wa Udhaifu.

Kama kawaida huyu Mlinzi Mlalavi wa Rais JPM na leo tena amerudia Udhaifu wake ule ule wa Kulala na tokea nianze Kumuona akipenda Kusinzia nadhani hii ya leo kule Chato Geita atakuwa amevunja Rekodi kwani alikuwa akisinzia kwa Intervals japo namsifu kwa kuwa Mjanja kwani kila akisinzia tu na akishtuka utamuona anajifanya yupo attentive kisha anazuga kidogo kwa Kumuangalia Bosi wake kisha anaendelea tu na Ulalavi ( Upono ) wake.

Uzi huu wala hauna nia ya Kumuharibia hicho Kibarua chake na natambua fika kuwa Kiutendaji yupo vizuri tena sana tu na ndiyo maana PSU wakaamua kumpa hilo Jukumu zito la kuwa Mmoja wa Walinzi wa karibu sana wa Rais JPM ila nadhani huyu Mlinzi atakuwa na matatizo ambayo labda Mimi, Wewe na Yule hatujui hivyo basi Wahusika waliangalie hili kwa haraka na walitatue kwani kwa Kitendo chake cha kila mara Kuonekana akisinzia hovyo tena mbele ya Camera huku Watanzania wote wakiwa wamempa dhamana ya Kiulinzi ya Rais wao kiukweli inatia mno shaka.

Najua kuna wale wenye Viherehere, Visebusebu na Viroho Papa watakuja mbio hapa na kudhani kuwa labda nimekurupuka tu au nimebuni haya Madai hivyo basi kabla hamjapoteza muda wenu rejeeni Footage ya TBC1 leo huko Chato Geita hasa kuanzia pale Yule Kijana wa Kisukuma alipokuwa akitumbuiza ambapo ilikuwa ni Saa 6 na dakika 5 ambapo huyu Mlinzi alianza Kulala Saa 6 na dakika 13 akaja Kushtuka na Kuzuga Saa 6 na dakika 17 kisha akaendelea tena na huo Utaratibu wake ambapo Saa 6 na dakika 19 hadi na dakika 21 wakati Wanakwaya wa Kwaya ya AIC Mganza wakiimba kwa Hisia alisinzia tena na nadhani kuna Wakubwa zake walimshtua kwani kuna muda alionekana ameshtuka hivi na kama anapokea Maelekezo fulani kupitia Mawasiliano yao ya Siri na tangia hapo Umakini wake ukarejea.

Kinachonishangaza zaidi ni kwamba huyu Mlinzi Mlalavi ( Mpono ) wa Rais JPM hakuanza utaratibu wake huu wa Kupenda Kusinzia leo, jana wala juzi bali ndiyo umekuwa utaratibu wake lakini nashangaa Wahusika ( Wenye Mamlaka ) wala hawashtushwi nalo. Hii siyo Sifa kwa Kikosi cha Ulinzi wa Rais na utaratibu huu wa huyu Mlinzi ni kama vile anadhakidhalilisha hicho Kikosi cha PSU ambacho hajiwahi kuwa na Sifa hii mbaya tokea Awamu zote kuanzia ile ya Hayati Baba wa Taifa Nyerere, Mzee Mwinyi, Mzee Mkapa, Mzee Kikwete ila haya Maajabu tumeanza kuyaona Awamu hii.

Kama kwa huu Uzi wangu An Eagle nitabatizwa kwa Kuitwa Mchochezi au Msaliti au Wakala wa Mabeberu au siyo Mzalendo sitojali na pengine nitawashukuru pia ila nadhani huu Uzi wangu unaweza ukawa na Msaada na Suluhisho kwa hili tatizo kwani naamini kuwa Kiusalama hiki si Kitendo kizuri na pengine kama wakitokea Watu wenye nia mbaya na Rais wetu basi wanaweza Kuutumia huo Udhaifu wa huyo Mlinzi wa hatimaye wakafanya yao na Historia mpya Kutengenezwa Tanzania kitu ambacho sipendi kije kutokea na wala sikiombei kitokee.

PSU liangalieni hili Kiumakini na mlifanyie Kazi kwani linachafua sana Taswira yenu kama Kikosi chenye Dhamana kubwa ya Ulinzi wa Mheshimiwa Rais wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu John Pombe Magufuli. Sitaki kuwapangieni nini cha Kufanya kwani hata uwezo huo sina na ukizingatia Mimi ni Mtu wa kawaida tena mno ila najiuliza na mpaka sasa nashangaa yupo wapi kule Mlinzi mwenye Kutoka Zanzibar ambaye nasikia hivi sasa ni RSO sijui DSO huko Mkoani Kilimanjaro. Ukimuangalia Kimedani Umakini wa Kiutendaji wa Yule Jamaa ( huyo Mzanzibari ) ana uwezo mkubwa sana kuliko huyu Mlalavi ( Mpono ) na huwa anakuwa hana Sifa wala Mashauzi bali muda wote alikuwa akijua Majukumu yake na Itifaki ilikuwa imempendeza na aliifanya vyema kabisa Kazi yake.

Yangu ni hayo tu.
Hii ni story ndefu sana ni vigumu kupata watu wa kuisoma yote hata nusu yake, humu watu hawataki wala kupenda story ndefu kama za yule Joseph yona anayesaka ukuu wa wilaya usiku na mchana kwa story ndefu kama hizi
 
Pole Sana Mkuu, ile ni moja ya style wanayoitumia wawapo kazini, mapoyoyo Kama ww ni vigumu Sana kuelewa
Rais anakuwa na walinzi wengi huyo akisinzia wengine wapo macho pia waachwe wasinzie kwani Rais si kasema ni Rais wa wanyonge kipindi akiwa na wanyonge watamlinda hapo anapokuwa mda huo
 
Kweli ni hasara ila ni hasara zaidi kuendelea kuwa na"YONA" kwenye merikebu!!!!
Yona kwa CCM ni mzigo pia hawamtaki ndiyo maana story zake ndefu wamegoma kuzisoma na kumpa cheo anachokililia usiku na mchana
 
Sw
Unaonesha wazi kuwa Kiswahili chako ni cha shule za kusomea ujinga. Kiswahili ni lugha mama kwangu.

Hiyana = Khiyana
Haini = Khain

Ningekupa darsa zaidi kuhusu chanzo cha maneno hayo lakini nakupa "homework" kidogo, nenda kachimbue kuhusu "Cain" wa kwenye Bible halafu urudi kueleza jina hilo Kihebrania linatamkwaje na uje utupe kisa cha Cain. Pia Ukisoma kwenye Biblia ukikuta anaitwa "Haini" uje kusema.

Huwa sikisii.

Nnakuuliza...

Ulijuwaje kama huyo mlinzi wa Rais ni "mlalavi"? Uliwahi kulala nae mwanamme mwenzio?
Swaafi
 
Kwa mara ya Kwanza kabisa nitoe pongezi zangu za dhati kabisa kwa Cameraman wa TBC1 hasa aliyekuwepo zamu leo huko Chato Geita kwa Kitendo chake cha Kuonyesha Uweledi wake na kutofanya Kazi yake Kinafiki ambapo kila mara alikuwa akiuonyesha Udhaifu wa Mmoja wa Walinzi wa Rais JPM ambaye ni Mlalavi ( Mpenda Kusinzia / Mpono ) sana awapo eneo la Tukio.

Pili nizidi Kutoa pongezi zangu kwa Jeshi la Wananchi wa Tanzania ( JWTZ ) hasa kwa Kuzalisha Wapiganaji ( Wanajeshi ) ambao kiukweli wamekuwa wameiva hasa na kweli Kimedani ambapo mfano wake amekuwa ni huyu Mpambe wa Rais ( ADC ) ambaye Kiukweli tokea awe hapo baada ya Kuchukua nafasi ya aliyekuwepo sijawahi Kuona akifanya Makosa ya Kiulinzi na Kiusalama kama ambavyo amekuwa akiyafanya Mmoja wa Walinzi wa Rais JPM anayetokea PSU.

Tatu na mwisho kabisa nitoe pole zangu kubwa kwa Kikosi cha Ulinzi wa Rais PSU chini ya Idara ya Usalama wa Taifa nchini ( TISS ) hasa kwa kuzidi Kuendelea Kulilea tatizo la Kimsingi kabisa na la Kiusalama la huyu Mmoja wa Walinzi wa Rais JPM ambaye ni Mlalavi ( Mpenda Kusinzia hovyo ) awapo Kazini hali ambayo Kiusalama sidhani kama ina Afya bali ni mwendelezo wa Udhaifu.

Kama kawaida huyu Mlinzi Mlalavi wa Rais JPM na leo tena amerudia Udhaifu wake ule ule wa Kulala na tokea nianze Kumuona akipenda Kusinzia nadhani hii ya leo kule Chato Geita atakuwa amevunja Rekodi kwani alikuwa akisinzia kwa Intervals japo namsifu kwa kuwa Mjanja kwani kila akisinzia tu na akishtuka utamuona anajifanya yupo attentive kisha anazuga kidogo kwa Kumuangalia Bosi wake kisha anaendelea tu na Ulalavi ( Upono ) wake.

Uzi huu wala hauna nia ya Kumuharibia hicho Kibarua chake na natambua fika kuwa Kiutendaji yupo vizuri tena sana tu na ndiyo maana PSU wakaamua kumpa hilo Jukumu zito la kuwa Mmoja wa Walinzi wa karibu sana wa Rais JPM ila nadhani huyu Mlinzi atakuwa na matatizo ambayo labda Mimi, Wewe na Yule hatujui hivyo basi Wahusika waliangalie hili kwa haraka na walitatue kwani kwa Kitendo chake cha kila mara Kuonekana akisinzia hovyo tena mbele ya Camera huku Watanzania wote wakiwa wamempa dhamana ya Kiulinzi ya Rais wao kiukweli inatia mno shaka.

Najua kuna wale wenye Viherehere, Visebusebu na Viroho Papa watakuja mbio hapa na kudhani kuwa labda nimekurupuka tu au nimebuni haya Madai hivyo basi kabla hamjapoteza muda wenu rejeeni Footage ya TBC1 leo huko Chato Geita hasa kuanzia pale Yule Kijana wa Kisukuma alipokuwa akitumbuiza ambapo ilikuwa ni Saa 6 na dakika 5 ambapo huyu Mlinzi alianza Kulala Saa 6 na dakika 13 akaja Kushtuka na Kuzuga Saa 6 na dakika 17 kisha akaendelea tena na huo Utaratibu wake ambapo Saa 6 na dakika 19 hadi na dakika 21 wakati Wanakwaya wa Kwaya ya AIC Mganza wakiimba kwa Hisia alisinzia tena na nadhani kuna Wakubwa zake walimshtua kwani kuna muda alionekana ameshtuka hivi na kama anapokea Maelekezo fulani kupitia Mawasiliano yao ya Siri na tangia hapo Umakini wake ukarejea.

Kinachonishangaza zaidi ni kwamba huyu Mlinzi Mlalavi ( Mpono ) wa Rais JPM hakuanza utaratibu wake huu wa Kupenda Kusinzia leo, jana wala juzi bali ndiyo umekuwa utaratibu wake lakini nashangaa Wahusika ( Wenye Mamlaka ) wala hawashtushwi nalo. Hii siyo Sifa kwa Kikosi cha Ulinzi wa Rais na utaratibu huu wa huyu Mlinzi ni kama vile anadhakidhalilisha hicho Kikosi cha PSU ambacho hajiwahi kuwa na Sifa hii mbaya tokea Awamu zote kuanzia ile ya Hayati Baba wa Taifa Nyerere, Mzee Mwinyi, Mzee Mkapa, Mzee Kikwete ila haya Maajabu tumeanza kuyaona Awamu hii.

Kama kwa huu Uzi wangu An Eagle nitabatizwa kwa Kuitwa Mchochezi au Msaliti au Wakala wa Mabeberu au siyo Mzalendo sitojali na pengine nitawashukuru pia ila nadhani huu Uzi wangu unaweza ukawa na Msaada na Suluhisho kwa hili tatizo kwani naamini kuwa Kiusalama hiki si Kitendo kizuri na pengine kama wakitokea Watu wenye nia mbaya na Rais wetu basi wanaweza Kuutumia huo Udhaifu wa huyo Mlinzi wa hatimaye wakafanya yao na Historia mpya Kutengenezwa Tanzania kitu ambacho sipendi kije kutokea na wala sikiombei kitokee.

PSU liangalieni hili Kiumakini na mlifanyie Kazi kwani linachafua sana Taswira yenu kama Kikosi chenye Dhamana kubwa ya Ulinzi wa Mheshimiwa Rais wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu John Pombe Magufuli. Sitaki kuwapangieni nini cha Kufanya kwani hata uwezo huo sina na ukizingatia Mimi ni Mtu wa kawaida tena mno ila najiuliza na mpaka sasa nashangaa yupo wapi kule Mlinzi mwenye Kutoka Zanzibar ambaye nasikia hivi sasa ni RSO sijui DSO huko Mkoani Kilimanjaro. Ukimuangalia Kimedani Umakini wa Kiutendaji wa Yule Jamaa ( huyo Mzanzibari ) ana uwezo mkubwa sana kuliko huyu Mlalavi ( Mpono ) na huwa anakuwa hana Sifa wala Mashauzi bali muda wote alikuwa akijua Majukumu yake na Itifaki ilikuwa imempendeza na aliifanya vyema kabisa Kazi yake.

Yangu ni hayo tu.

[/QUOTENdugu yangu siyo wote wasinziao ni kweli huwa wamesinzia. Kama mnadhani watakuwa wamesinzia jaribu kuleta Fuji nadhani utaona
 
umefanya jambo jema sana kumtahadharisha kuhusu tabia yake ya kupenda kuwaandama walinzi wa rais.

amekuwa akianzisha mada nyingi sana za namna hii na kujifanya kuwa yeye ni mjuvi wa masuala ya ulinzi wa viongozi.

jambo zuri ni kwamba tayari ameshafahamika japo amekuja kwa ID nyingine.

Kama Mtanzania tena Mzalendo kabisa kama Mimi na wengine Kuongolea Jambo la Usalama tena wa Rais wetu na Kuainisha mapungufu ya baadhi ya Watendaji wake ni Dhambi au Kosa basi nabeba lawama na niko tayari kwa lolote lile. Na kupitia Uzi wangu huu ndiyo leo nimeamini kuwa kumbe kuna Watanzania wengi ni Wapumbavu ( Maduduna ) kuliko wengine.

Ila najua na nina uhakika kuwa huu Uzi wangu kwa wenye Akili ( ambao bahati mbaya wapo wachache sana Jukwaani ) utakuwa na Tija na Manufaa makubwa na huenda hili Angalizo langu likafanyiwa Kazi haraka kwa Maslahi mapana na Kikosi cha Ulinzi wa Rais ( PSU )

Sijawahi Kuidhihaki Taasisi ya Rais ya TISS mahala popote pale na sitokuja Kuikosoa kwa Mahaba Binafsi bali Ukosoaji wangu Kwao utakuwa ni wa Kuwajenga zaidi na Kuwaonyesha tu pale ambapo naona kuna Mapungufu ya Kimsingi ambayo hata Sisi tusio na Uweledi wowote ule wa Masuala ya Usalama tunaweza Kuona.

Naiheshimu Kuliko hiyo Idara ( Taasisi ) hasa nikitambua kuwa tokea enzi za Hayati Baba wa Taifa hadi sasa imekuwa na Uweledi wake wa hali ya Juu hasa Kiufanisi na ndiyo maana pengine hadi hivi leo hatujawahi Kusikia Rais wetu yoyote yule amekumbwa na tatizo lolote lile la Kiusalama na hapa ndipo Utendaji wao mzuri unapoonekana na nawasifu kwa hilo.

Mzalendo wa kweli siyo Mtu Mnafiki kama ulivyo Wewe na hao Wapumbavu wenzako wacheche hapo waliokupa Likes. Uzalendo wa kweli Mtu kuwa Muwazi na Mkweli hasa anapoona kuna tatizo au upungufu fulani. Hivi mnajua madhara makubwa ya Kiusalama hasa kwa Kitendo cha huyo Mlinzi wa Rais kupenda Kusinzia hivyo hovyo na mara kwa mara? Je ni kweli kwamba Mimi An Eagle namuonea kwa haya Madai? Je hakuna Malalamiko mengine au Observations zingine juu yake yaliyowahi Kutolewa na Wadau ( Members ) wengine hapa?

Ninachojua ni kwamba nimetekeleza Wajibu wangu Kikatiba kama Mtanzania na Mzalendo na wala sitishiki na Wanafiki nyie. Hivi Mimi An Eagle ambaye ninatahadharisha hapa ili hatua za haraka zichukuliwe na Yule ambaye anaona tatizo na analinyamazia na pindi likija kutokea la kutokea ndiyo anajifanya Kukosoa na Kulaumu nani ana afadhali hasa Kimantiki na Kitija?

Acheni Unafiki na nasisitiza tena kuwa huyo Mlinzi wa Rais Mlalavi abadilishwe upesi ameanza kuwa / kuonyesha Mapungufu ambayo kwa nafasi yake hapaswi kuyaonyesha na ni aibu kwa Kikosi Kizima cha PSU kilicho chini ya Mtu Mwenye hizi Initials za JK. Mbona hamshangai na hamjiulizi ni kwanini sijamsema Mpambe ( ADC ) wa Rais yule Mwanajeshi ambaye naamini kama ni Mtu ambaye basi angetakiwa kuwa anachoka basi alitakiwa awe Yeye kwakuwa muda wake mwingi Kiitifaki huwa anakuwa na Mheshimiwa Rais lakini cha Kushangaza Yeye ( huyo ADC ) huwa yuko Fiti 24/7 na ndiyo maana hata katika Utangulizi wangu nimelisifu sana Jeshi la JWTZ kwa Kuzalisha Wapiganaji ( wana Medani ) wa ukweli.

Ni matumaini yangu makubwa kubwa Ufafanuzi wangu huu utakuwa Msaada mkubwa Kwako Wewe Duduna na hao Maduduna wenzako pamoja na wale ambao watajitokeza katika Uzi huu nao wakiwa na Upumbavu ( Ududuna ) kama huu wako. Na pia ni Desturi yangu pale nikikutana na Wapuuzi na Washamba kama Wewe / Nyie na Kuwatoleeni Maelezo ya Kujenga na Kiufanisi kama haya.

Cc: Tobinho , TUJITEGEMEE , FaizaFoxy, mbutamaseko, Jocasta, minyoo, smarte_r
 
Unaonesha wazi kuwa Kiswahili chako ni cha shule za kusomea ujinga. Kiswahili ni lugha mama kwangu.

Hiyana = Khiyana
Haini = Khain

Ningekupa darsa zaidi kuhusu chanzo cha maneno hayo lakini nakupa "homework" kidogo, nenda kachimbue kuhusu "Cain" wa kwenye Bible halafu urudi kueleza jina hilo Kihebrania linatamkwaje na uje utupe kisa cha Cain. Pia Ukisoma kwenye Biblia ukikuta anaitwa "Haini" uje kusema.

Huwa sikisii.

Nnakuuliza...

Ulijuwaje kama huyo mlinzi wa Rais ni "mlalavi"? Uliwahi kulala nae mwanamme mwenzio?

Naona unaendeleza tu Ududuna wako hapa. Haya nifafanulie basi na hilo neno la Duduna kwa Utaalam wako wa Kiswahili.
 
Pole Sana Mkuu, ile ni moja ya style wanayoitumia wawapo kazini, mapoyoyo Kama ww ni vigumu Sana kuelewa

Hujawahi Kuchangia au Kuandika Jambo lenye Akili hapa Jukwaani na ningeshangaa mno kama leo ungefanya hivyo.
 
Ukitaka mtu apate shavu la maana na promotion ya uhakika utawala huu we mkandie
 
Naona hii kazi unaitamani sana maana kutwa kutujia na id’s , tofauti kuhusiana na hawa walinzi,mara ....mbona yule simuoni,mara mbona yule anakitambi,mara ooh yule mbona ana macho madogo!!!!

Unaweza ukazitaja ( ikibidi Kuziorodhesha ) hizo ID's tofauti haraka Kiongozi kabla na Wewe sijakubatiza kwa Jina la Duduna ( Pumbavu ) Mwandamizi?
 
Back
Top Bottom