chazy255
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 1,367
- 1,763
He he he Genta banaHuyu Jamaa nina muda mrefu sana sijamuona hapa JF na nakumbuka Mada kama hizi huwa anajitahidi mno Kuzichangia na hata hii naamini sasa hivi angekuwa anaichangia mno. Asante Kiongozi kwa Kumtaja hapa kwani nilikuwa nimeshamsahau.