"Hongera JK kwa kukuza uchumi"-watanzania wa Australia

Upumbavu mtupu, toka lini wanafahamu mambo ya huku'wanajua jinsi thamani ya shilingi invyopolomoka
 
hao watanzania wanafikiria "Kimasaburi" wanafanya deiwaka za kulea na kutawaza watoto wa kizungu.
 
Hao "watanzania wa australia" walishafika hapa bongo? Waambieni huku hatuna umeme na shilingi "inaporomoka" soon wote tutakuwa mabilioneo huku, unaenda kununua mkate na laki tano!!!
 
Kama kuna watu viazi ni hawa eti wanampongeza uchumi umekua uchumi gani umekua???wao wanakaa tu huko australia wanashangaa shangaa majengo marefu wakaona na dsm yanatokea wanaona uchumi umekua...kila siku thamani ya shilingi inashuka eti uchumi umekuwa inflation rate inapanda kila siku......mijitu kama hii bora ibaki huko huko isirudi.........
 
Umoja wa Watanzania waishio Australia umempöngeza rais Kikwete kwa kukuza uchumi wa nchi,na kuifanya Tanzania kuwa ni miongoni mwa nchi 10 dunian,ambazo uchumi wake unakua kwa kasi sana.
Pia wamempongeza kwa kuruhusu uhuru wa habari,kwani japo wao wapo ughaibuni lakin wanapata habari
sosi:habari kwa ufupi ya saa kumi alasiri@ radio one
Uchumi unakua au unaporomoka kwa kasi?Uchumi utakuwa vipi wakati umeme hakuna?Viwanda vingi vimefungwa na shilingi imeshuka
thamani sana kuliko kawaida.
 
Hawa wajinga wako nchi ya watu wanakula bata, ya huku hawayajui wana bwabwanya tu. Hivi hawawasiliani na wanyumbani? Wanadanganya na figure za kupika kwa makusudi kumpa chati mk.were.
 
Kuna matamshi ya Botha kuhusu waafrika, huwa nikiyasoma naumia sana lakini alichosema ni kweli kabisa jk alikwenda usa waswahili wanao ishi huko wakamsifia sana leo australia wanamsifia ukiwauliza mbona hamrudi bongo utasikia kipato kidogo, wanafiki wakubwa.
 
Hawa wajinga wako nchi ya watu wanakula bata, ya huku hawayajui wana bwabwanya tu. Hivi hawawasiliani na wanyumbani? Wanadanganya na figure za kupika kwa makusudi kumpa chati mk.were.
Unauhakika gani wanakula bata?
 
Ni watoto wa wakubwa hao na ndiyo maana wanamsifia huku wananchi wa kawaida wanaumia.
 
The economy has been steadily growing over the years.
Evidence: There are more wealthy people, cars, motor cycles, taxis, bajajis, in Dar and the rest of the country in 2011 compared to 1990's and 1980's.There are more modern hotels, TV stations, bloggers, cell phone and internet users than ever before. Tourism sector is booming! There are more universities in Tanzania and Zanzibar than any other country in the EAC. The middle income class is growing very fast in Tanzania.
Numbers don't lie!!
 
Je inamaana waliomzomea hawalijui hli?mb0na raia wa hapa h0me wanamlaumu sana,wakat wenze2 wa UGHAIBUN WAO WANA-MPAMBA TU?
 
Back
Top Bottom