...Safi kijana, lakini sio ndio uvimbe mbichwa ukajiona matawi ya juu mazee unatakiwa kukaza msuli mwanzo mwisho..Big Up sana Jerry.hongera mwanahanari Jerry Muro kwa kutwaa mataji matatu, mojawapo la mwanahabari bora wa mwaka. hakika unastahili na ninaithamini sana kazi yako, kaza buti uendelee kung'ara.
hizi ni chuki zake binafsi!pamoja na kukaa ujerumani zaidi ya miaka 12,huyu mama is AS GOOD AS NOTHING!Mama Mhaville alipoambiwa aongee nenoalisema."iNATAKIWA HAWA WAANDAAJI WATUONYESHE HUYO MSHINDI KAFANYA KAZI GANI, WATUONYESHE HAPA NDO TURIDHIKE.." sijui kama ni comment ya kawaida au vp!
hizi ni chuki zake binafsi!pamoja na kukaa ujerumani zaidi ya miaka 12,huyu mama is AS GOOD AS NOTHING!
so far....!ANAZEEKA VIBAYA SASA
HAHAHAHA!u think so?hahaha hayaHapana mkuu, pamoja na kwamba namkubali muro kv kazi zake zinaonekana lakini na mama nae ana pointi!!!Ningemlaumu maradufu endapo hoja yake asingeitowa pale mshindi asingekuwa muro, i guess it was just a coincidence!!!! BRAVO KAKA JERRY MURO
hongera mwanahanari Jerry Muro kwa kutwaa mataji matatu, mojawapo la mwanahabari bora wa mwaka. hakika unastahili na ninaithamini sana kazi yako, kaza buti uendelee kung'ara.
Mama Mhaville alipoambiwa aongee neno alisema."iNATAKIWA HAWA WAANDAAJI WATUONYESHE HUYO MSHINDI KAFANYA KAZI GANI, WATUONYESHE HAPA NDO TURIDHIKE.." sijui kama ni comment ya kawaida au vp!
mate ni dalili ya kumtakia mtu baraka uchagani au siyo mangi?! hongera sana msee!Hongera kijana..
Yale mate pia yamechangia kukufika hapo na kuongeza uzito kwenye career yako.