Lekanjobe Kubinika
JF-Expert Member
- Dec 6, 2006
- 3,020
- 577
Hahahahahaaaaa! Kumbe ndiye mwenye kutemewa mate? Basi anachoulizwa na Mhavile ndilo jibu lake hilo, kitu alichokifanya ni kutemewa mate na mzungu, halafu hakusema "swela, nene mvifile hiro"isije ikawa ndio kaanza kupoozwa kwa kuwa katemea mate na Mzungu.
Hongera sana
Leka